Arusha ni sehemu isiyo na mpinzani katika matumizi ya bangi

Arusha ni sehemu isiyo na mpinzani katika matumizi ya bangi

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Arusha bangi ni kama sigara tu, sio big deal, Mikoa miingine watu wakijua unavuta bangi huwa unaonekana kama jambazi hivi 😂

Watalii wa nchi mbali mbali waliojaa Arusha wanavuta kitu cha chuga.

Watu wazito, kuanzia mtajiri wa madini, ma ceo wa makampuni, wafanyabiashara wakubwa, n.k wanavuta.

Watoto wa kishua wanavuta, hata supermarket ya Njiro complex nmekutana nao mara kibao wakiwa kwenye range za wazazi wao.

Wanafunzi wa vyuoni kama kawa, nliwahi soma pale chuo cha uhasibu (IAA), hostel kibao huwezi kukosa mvuta bange, pia vyuo vya Arusha Tech kule mianzini nako niliskia wanapuliza.

Boda boda, wauza chips, n.k kama kawa

Na list inaendelea ni ndefu mno.

Sifa kuu ya hii bangi inayofanya isifiwe sana na kupewa jina la kipekee almarufu "kitu cha arusha" ni ubora wake, wakulima wa bangi nahisi wana elimu nzuri ya kulima na kuvuna bangi ili kuteka soko lenye watumiaji wengi wanaohitaji viwango bora kuanzia mapedeshee hadi watalii, kuna bangi hazinaga ubora kabisa, unakuta mkulima anaogopa kukamatwa anavuna haraka haraka wakati muda bado ama hajailima vizuri hizo bangi huwa ni sawa na makapi.

Binafsi nlijifunzia bangi huku Arusha, Nakumbuka siku ya kwanza napiga kitu, nliogopa sana ile mapigo ya moyo yanavyoenda spidi maradufu ili kufidia spidi ya damu inayoanza kutembea taratibu baada ya kuvuta bangi, ila baada ya hapo mapigo yakatulia, kajicho nyanya kwa mbali, nikaanza kusikilizia stim tamu za kitu cha A town.


Anyway nliacha hizo bangi, ilianza kunifanya mtumwa nikiikosa nlikuwa sina furaha na pia nkivuta nlikuwa mvivu natulia kusikilizia zile stimu muda unaklenda spidi nimekaa tu huku nikisahau malengo yangu ya kwenda chuoni.

Anyway ni ujana tu ule wa kuwa huru kwa mara ya kwanza, ila kwa siku hizi sipendi kutumia kitu kinacho hamisha akili ili nijiskie vizuri kuanzia pombe, sigara, bangi, uzinzi, nyeto, n.k. hivi vyote nmepiga chini, starehe pekee ninayoipenda ni kusoma biblia, kusoma vitabu, kuchek muvi , kubuni miradi na kufanya tendo lililoruhusiwa na mke wangu.
 
Tatizo hali ya hewa
Kama ni hali ya hewa ya baridi mikoa ya Njombe, Mbeya na Iringa naipa saluti, Mikoa hii sio wavuta bangi sana nahisi imepitwa hadi na Moro. Watu A town wanapenda bangi aisee.

Alafu pia nagusia katika fani yako ya ulimwengu wa Roho.

Niliacha haya mambo ya Bangi, uzinzi, sigara, nyeto, ponografia, n.k maana nliona nafungulia milango roho chafu,
 
Umefanya vema sana kuacha hayo yote uliyotaja yana viasili vya mapepo wabaya.. Jithidi usirudi tena huko .. Nakuombea sana
Mkuu yani acha tu, niliwahi kufanya vitu kama seed retention (kutopiga bao kwa ngono au nyeto) miezi 5, kwa mabadiliko posotive nikawa nalalamika nilikuwa wapi jamani, ila ndo ivyo tena mda ukafika nikashindwa kuruka matamanio ya kupata gf na nilirudi kwa spidi ya 4g.

Ningependa siku moja upitie video za seed retention huko youtube, kutunza bao kuna faida kubwa sana, wale wajinga waliokuwa wana hamasisha nyeto haina madhara wameharibu vijana wengi sana, wenzetu siku hizi huko majuu wana kampeni ya "no fap" hakuna kujipiga selfie, maana madhara ni mengi mno.

Pia kuhusu bangi na pombe, hizi ni "mind altering substances" a man with no purpose seeks pleasure which will make him a slave for more pleasures.

Ukiona kwamba kimefika kipindi huwezi kufurahi bila sigara, bangi, kupasua tui kwa ngono au selfie, pombe, ponografia n.k basi hapo jua upo danger zone, addiction mpya ni hii ya internet + social media, mtu yupo radhi ale mihogo ilimradi awe na bando
 
Mkuu yani acha tu, niliwahi kufanya vitu kama seed retention (kutopiga bao kwa ngono au nyeto) miezi 5, kwa mabadiliko posotive nikawa nalalamika nilikuwa wapi jamani, ila ndo ivyo tena mda ukafika nikashindwa kuruka matamanio ya kupata gf na nilirudi kwa spidi ya 4g...
Mind altering substances" a man with no purpose seeks pleasure which will make him a slave for more pleasures.[emoji1534][emoji1533]
 
mind altering substances" a man with no purpose seeks pleasure which will make him a slave for more pleasures.[emoji1534][emoji1533]
Shetani hatumuoni ila yuko pembeni yetu na hii ni kwa kila mtu, hutumia starehe kama silaha yake kuu, ana kwaya yake kabisa inakupa motisha ya kukuimbia dont stop till you get enough, kwaya hio inahamasisha kuzungusha raundi za bia mpaka ulewe chali, kupiga t*ko mpaka umwage tui, kupiga pafu za moshi hadi akili ihame, n.k

Just, dont stop till you get enough 😂😂

Keep on with the force don't stop
Don't stop 'til you get enough
Keep on with the force don't stop
Don't stop 'til you get enough
Keep on with the force don't stop
Don't stop 'til you get enough
Keep on with the force don't stop
Don't stop 'til you get enough

 
Shetani hatumuoni ila yuko pembeni yetu na hii ni kwa kila mtu, hutumia starehe kama silaha yake kuu, ana kwaya yake kabisa inakupa motisha ya kukuimbia dont stop till you get enough...
 
Hizo zote ni exaggerations tu mkuu. Kila mahali bangi inavutwa na sio kila mtu wa Arusha ni mvuta bangi.

Nikuhakikishie tu kuwa wakati ukiwa unaishi Arusha hukufanikiwa ku interact na hata aslimia 0.0001 ya wakazi wa Arusha.

Hivyo hao wachache iliointeract nao kwasababu walikuwa kwenye cycle yako ya uvutaji haikupi kibali cha ku generalize hilo jambo.

Wewe kutokana na kuwa unatumia bangi basi mazingira hayo lazima yakufanye ukutane zaidi na wavutaji wenzako kuliko watu wengine. Kwahiyo kwa akili zenu za bangi mna generalize kuwa watu wote (wengi) wanavuta.

It's your cycle that made you have that illusion.
 
Back
Top Bottom