Arusha ni sehemu isiyo na mpinzani katika matumizi ya bangi

Arusha ni sehemu isiyo na mpinzani katika matumizi ya bangi

Nimekaa Arusha miaka mitatu sijawahi kuona mtu akivuta bhangi Wala kusikia inakouziwa. Ila mirungi nimeona boda boda wengi tu wakitafuna Kama mbuzi anavyokula majani.
 
Kama ni hali ya hewa ya baridi mikoa ya Njombe, Mbeya na Iringa naipa saluti, Mikoa hii sio wavuta bangi sana nahisi imepitwa hadi na Moro. Watu A town wanapenda bangi aisee.

Alafu pia nagusia katika fani yako ya ulimwengu wa Roho.

Niliacha haya mambo ya Bangi, uzinzi, sigara, nyeto, ponografia, n.k maana nliona nafungulia milango roho chafu,
Njombe hutumia tumia majani ya bangi kama mboga.
 
I think people need to be educated to the fact that marijuana isn't a drug. Sikieni' marijuana is an herb and just a flower. God put it here, if HE put it here and He wants it to grow, what gives the government the right to say God is wrong as they say marijuana is a drug?

W. N. S [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Subiri Kingai akukute nayo afu umweleze hayo.
 
Hiyo no fap inabidi niitumie kuanzia leo naacha nyeto japo kuna ugumu ila nitapambana
Ila mjani naendelea kuvuta aisee siachiiiiīi
 
Arusha bangi ni kama sigara tu, sio big deal, Mikoa miingine watu wakijua unavuta bangi huwa unaonekana kama jambazi hivi [emoji23]

Watalii wa nchi mbali mbali waliojaa Arusha wanavuta kitu cha chuga.

Watu wazito, kuanzia mtajiri wa madini, ma ceo wa makampuni, wafanyabiashara wakubwa, n.k wanavuta.

Watoto wa kishua wanavuta, hata supermarket ya Njiro complex nmekutana nao mara kibao wakiwa kwenye range za wazazi wao.

Wanafunzi wa vyuoni kama kawa, nliwahi soma pale chuo cha uhasibu (IAA), hostel kibao huwezi kukosa mvuta bange, pia vyuo vya Arusha Tech kule mianzini nako niliskia wanapuliza.

Boda boda, wauza chips, n.k kama kawa

Na list inaendelea ni ndefu mno.

Sifa kuu ya hii bangi inayofanya isifiwe sana na kupewa jina la kipekee almarufu "kitu cha arusha" ni ubora wake, wakulima wa bangi nahisi wana elimu nzuri ya kulima na kuvuna bangi ili kuteka soko lenye watumiaji wengi wanaohitaji viwango bora kuanzia mapedeshee hadi watalii, kuna bangi hazinaga ubora kabisa, unakuta mkulima anaogopa kukamatwa anavuna haraka haraka wakati muda bado ama hajailima vizuri hizo bangi huwa ni sawa na makapi.

Binafsi nlijifunzia bangi huku Arusha, Nakumbuka siku ya kwanza napiga kitu, nliogopa sana ile mapigo ya moyo yanavyoenda spidi maradufu ili kufidia spidi ya damu inayoanza kutembea taratibu baada ya kuvuta bangi, ila baada ya hapo mapigo yakatulia, kajicho nyanya kwa mbali, nikaanza kusikilizia stim tamu za kitu cha A town.


Anyway nliacha hizo bangi, ilianza kunifanya mtumwa nikiikosa nlikuwa sina furaha na pia nkivuta nlikuwa mvivu natulia kusikilizia zile stimu muda unaklenda spidi nimekaa tu huku nikisahau malengo yangu ya kwenda chuoni.

Anyway ni ujana tu ule wa kuwa huru kwa mara ya kwanza, ila kwa siku hizi sipendi kutumia kitu kinacho hamisha akili ili nijiskie vizuri kuanzia pombe, sigara, bangi, uzinzi, nyeto, n.k. hivi vyote nmepiga chini, starehe pekee ninayoipenda ni kusoma biblia, kusoma vitabu, kuchek muvi , kubuni miradi na kufanya tendo lililoruhusiwa na mke wangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umesema starehe yako ni kusoma nn.......!?????? Uliwezajeeeeee!?????
 
Yan mtaa wangu ndo utasema amnaga serikali maana sio ajabu kukuta mtu anavuta hata dukani au njiani openly kabsa af hawawazi yan
 
Arusha bangi ni kama sigara tu, sio big deal, Mikoa miingine watu wakijua unavuta bangi huwa unaonekana kama jambazi hivi [emoji23]

Watalii wa nchi mbali mbali waliojaa Arusha wanavuta kitu cha chuga.

Watu wazito, kuanzia mtajiri wa madini, ma ceo wa makampuni, wafanyabiashara wakubwa, n.k wanavuta.

Watoto wa kishua wanavuta, hata supermarket ya Njiro complex nmekutana nao mara kibao wakiwa kwenye range za wazazi wao.

Wanafunzi wa vyuoni kama kawa, nliwahi soma pale chuo cha uhasibu (IAA), hostel kibao huwezi kukosa mvuta bange, pia vyuo vya Arusha Tech kule mianzini nako niliskia wanapuliza.

Boda boda, wauza chips, n.k kama kawa

Na list inaendelea ni ndefu mno.

Sifa kuu ya hii bangi inayofanya isifiwe sana na kupewa jina la kipekee almarufu "kitu cha arusha" ni ubora wake, wakulima wa bangi nahisi wana elimu nzuri ya kulima na kuvuna bangi ili kuteka soko lenye watumiaji wengi wanaohitaji viwango bora kuanzia mapedeshee hadi watalii, kuna bangi hazinaga ubora kabisa, unakuta mkulima anaogopa kukamatwa anavuna haraka haraka wakati muda bado ama hajailima vizuri hizo bangi huwa ni sawa na makapi.

Binafsi nlijifunzia bangi huku Arusha, Nakumbuka siku ya kwanza napiga kitu, nliogopa sana ile mapigo ya moyo yanavyoenda spidi maradufu ili kufidia spidi ya damu inayoanza kutembea taratibu baada ya kuvuta bangi, ila baada ya hapo mapigo yakatulia, kajicho nyanya kwa mbali, nikaanza kusikilizia stim tamu za kitu cha A town.


Anyway nliacha hizo bangi, ilianza kunifanya mtumwa nikiikosa nlikuwa sina furaha na pia nkivuta nlikuwa mvivu natulia kusikilizia zile stimu muda unaklenda spidi nimekaa tu huku nikisahau malengo yangu ya kwenda chuoni.

Anyway ni ujana tu ule wa kuwa huru kwa mara ya kwanza, ila kwa siku hizi sipendi kutumia kitu kinacho hamisha akili ili nijiskie vizuri kuanzia pombe, sigara, bangi, uzinzi, nyeto, n.k. hivi vyote nmepiga chini, starehe pekee ninayoipenda ni kusoma biblia, kusoma vitabu, kuchek muvi , kubuni miradi na kufanya tendo lililoruhusiwa na mke wangu.
Wewe ulikua ukivuta unaegesha gari? Kuna wenzako wakivuta analima shamba lote hachoki, wewe ilikuaje
 
Arusha bangi ni kama sigara tu, sio big deal, Mikoa miingine watu wakijua unavuta bangi huwa unaonekana kama jambazi hivi [emoji23]

Watalii wa nchi mbali mbali waliojaa Arusha wanavuta kitu cha chuga.

Watu wazito, kuanzia mtajiri wa madini, ma ceo wa makampuni, wafanyabiashara wakubwa, n.k wanavuta.

Watoto wa kishua wanavuta, hata supermarket ya Njiro complex nmekutana nao mara kibao wakiwa kwenye range za wazazi wao.

Wanafunzi wa vyuoni kama kawa, nliwahi soma pale chuo cha uhasibu (IAA), hostel kibao huwezi kukosa mvuta bange, pia vyuo vya Arusha Tech kule mianzini nako niliskia wanapuliza.

Boda boda, wauza chips, n.k kama kawa

Na list inaendelea ni ndefu mno.

Sifa kuu ya hii bangi inayofanya isifiwe sana na kupewa jina la kipekee almarufu "kitu cha arusha" ni ubora wake, wakulima wa bangi nahisi wana elimu nzuri ya kulima na kuvuna bangi ili kuteka soko lenye watumiaji wengi wanaohitaji viwango bora kuanzia mapedeshee hadi watalii, kuna bangi hazinaga ubora kabisa, unakuta mkulima anaogopa kukamatwa anavuna haraka haraka wakati muda bado ama hajailima vizuri hizo bangi huwa ni sawa na makapi.

Binafsi nlijifunzia bangi huku Arusha, Nakumbuka siku ya kwanza napiga kitu, nliogopa sana ile mapigo ya moyo yanavyoenda spidi maradufu ili kufidia spidi ya damu inayoanza kutembea taratibu baada ya kuvuta bangi, ila baada ya hapo mapigo yakatulia, kajicho nyanya kwa mbali, nikaanza kusikilizia stim tamu za kitu cha A town.


Anyway nliacha hizo bangi, ilianza kunifanya mtumwa nikiikosa nlikuwa sina furaha na pia nkivuta nlikuwa mvivu natulia kusikilizia zile stimu muda unaklenda spidi nimekaa tu huku nikisahau malengo yangu ya kwenda chuoni.

Anyway ni ujana tu ule wa kuwa huru kwa mara ya kwanza, ila kwa siku hizi sipendi kutumia kitu kinacho hamisha akili ili nijiskie vizuri kuanzia pombe, sigara, bangi, uzinzi, nyeto, n.k. hivi vyote nmepiga chini, starehe pekee ninayoipenda ni kusoma biblia, kusoma vitabu, kuchek muvi , kubuni miradi na kufanya tendo lililoruhusiwa na mke wangu.
Nyeto hujaacha tusidanganyane hapa, bangi pia unapiga kisera kuna vitu ukiviacha ni lazima ukate damu uweke nadharia
 
Nyeto hujaacha tusidanganyane hapa, bangi pia unapiga kisera kuna vitu ukiviacha ni lazima ukate damu uweke nadharia
Nakwambia yani nimeacha haya mambo.

Zamani nilikuwa najiuliza sana kwamba nikoacha haya mambo ntakosa furaha na ntakosa kitu muhimu cha kufanya.

Katika safari ya kuacha haya mambo kuna kitu kinaitwa "relapse" yaani hamu inakuzidi unaamua kujaribu tena, mfano unakaa siku 3 unarudi tena, na uzuri wa hizi relapse ni kwamba leo ukirelapse baada ya siku 3 basi safari ijayo uzoefu unaongezeka uta relapse baada ya wiki, baada ya hapo uta relapse baada ya wiki 2, yani hapa unaipa akili uzoefu wa kuondoa sumu ya addiction, mwishowe unajikuta ushakuwa mtaalam wa kuji controll, unaaacha kabisa.

Kwa sasa hivi vitu vya kunihamisha akili sina mda navyo, addiction zangu kwa sasa ni kukuza malengo yangu, biblia, mziki, wife, watoto.
 
Nakwambia yani nimeacha haya mambo.

Zamani nilikuwa najiuliza sana kwamba nikoacha haya mambo ntakosa furaha na ntakosa kitu muhimu cha kufanya.

Katika safari ya kuacha haya mambo kuna kitu kinaitwa "relapse" yaani hamu inakuzidi unaamua kujaribu tena, mfano unakaa siku 3 unarudi tena, na uzuri wa hizi relapse ni kwamba leo ukirelapse baada ya siku 3 basi safari ijayo uzoefu unaongezeka uta relapse baada ya wiki, baada ya hapo uta relapse baada ya wiki 2, yani hapa unaipa akili uzoefu wa kuondoa sumu ya addiction, mwishowe unajikuta ushakuwa mtaalam wa kuji controll, unaaacha kabisa.

Kwa sasa hivi vitu vya kunihamisha akili sina mda navyo, addiction zangu kwa sasa ni kukuza malengo yangu, biblia, mziki, wife, watoto.
Umeongea bonge la point mkuu kuna kitu umenifundisha hapa
 
Back
Top Bottom