Arusha ni sehemu isiyo na mpinzani katika matumizi ya bangi

Arusha ni sehemu isiyo na mpinzani katika matumizi ya bangi

Arusha bangi ni kama sigara tu, sio big deal, Mikoa miingine watu wakijua unavuta bangi huwa unaonekana kama jambazi hivi...
Si ndiyo maana Godbless Lema anataka kurudi nchini eti anadai kule aliko analindwa sana anashindwa kuvuta bangi kama alivyokuwa huru Arusha pia anadai bangi za kule zimechakachuliwa mno anavuta kama sigara tu wala hazimpi wazimu.
 
Kweli Arusha bangi ni kama sigara tu watu wanavuta tu huko vichochoroni.
 
Wew unashangaaa hao Ss kipind tunasoma tulikuwa tunavuta tukiwa darasan tunapanda juu ya Dari ila najutia Sana ile kitu haina faida mkuu zaid ya hasara tu
 
Kumbe na matajiri wanavuta🤣😚😄😄😄😄😄😄
Kijana unakwama wapi kuanza kutumia marijuana ili utoboe faster
 
Arusha bangi ni kama sigara tu, sio big deal, Mikoa miingine watu wakijua unavuta bangi huwa unaonekana kama jambazi hivi 😂

Watalii wa nchi mbali mbali waliojaa Arusha wanavuta kitu cha chuga.

Watu wazito, kuanzia mtajiri wa madini, ma ceo wa makampuni, wafanyabiashara wakubwa, n.k wanavuta.

Watoto wa kishua wanavuta, hata supermarket ya Njiro complex nmekutana nao mara kibao wakiwa kwenye range za wazazi wao.

Wanafunzi wa vyuoni kama kawa, nliwahi soma pale chuo cha uhasibu (IAA), hostel kibao huwezi kukosa mvuta bange, pia vyuo vya Arusha Tech kule mianzini nako niliskia wanapuliza.

Boda boda, wauza chips, n.k kama kawa

Na list inaendelea ni ndefu mno.

Sifa kuu ya hii bangi inayofanya isifiwe sana na kupewa jina la kipekee almarufu "kitu cha arusha" ni ubora wake, wakulima wa bangi nahisi wana elimu nzuri ya kulima na kuvuna bangi ili kuteka soko lenye watumiaji wengi wanaohitaji viwango bora kuanzia mapedeshee hadi watalii, kuna bangi hazinaga ubora kabisa, unakuta mkulima anaogopa kukamatwa anavuna haraka haraka wakati muda bado ama hajailima vizuri hizo bangi huwa ni sawa na makapi.

Binafsi nlijifunzia bangi huku Arusha, Nakumbuka siku ya kwanza napiga kitu, nliogopa sana ile mapigo ya moyo yanavyoenda spidi maradufu ili kufidia spidi ya damu inayoanza kutembea taratibu baada ya kuvuta bangi, ila baada ya hapo mapigo yakatulia, kajicho nyanya kwa mbali, nikaanza kusikilizia stim tamu za kitu cha A town.

Pia nakumbuka nikiwa Arusha nilitokea kuwaelewa sana mabinti wake, niliambiwa kwamba mabinti wanapenda ugumu wa kiume ila nikaona huwa wanafosi tu, Mabinti warembo wa kinyaturu, kimbulu na kinyiramba wapi na wapi na ugumu, nilianza kuwa na uraibu nao kwa uzuri wao ila nashukuru nilistuka kuacha uraibu huo ambao ungeweza kuniletea magonjwa, kunifanya nisahau kilichonipeleka chuo, kuishiwa pesa kwa kuhonga, n.k,

Anyway nliacha, siku hizi sipendi kutumia kitu kinacho fujunyua akili ili nijiskie vizuri kuanzia pombe, sigara, bangi, uzinzi, n.k. starehe pekee ninayoipenda ni kusoma biblia, kuchek muvi na kufanya tendo lililoruhusiwa na mke wangu.
Watu wanakula kaya opposite na Kituo cha Polisi Usa River
 
I think people need to be educated to the fact that marijuana isn't a drug. Sikieni' marijuana is an herb and just a flower. God put it here, if HE put it here and He wants it to grow, what gives the government the right to say God is wrong as they say marijuana is a drug?

W. N. S 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unajichanganya sasa, tangu lini wanyiramba na wanyaturu wakawa wanaiwakilisha Arusha? Au unaongelea singida? Hao uliowataja ni mahouse girl na wauza baa kama ambavyo utawapata Dodoma, Iringa na kwingineko.

Bangi haivutwi na majority, kama alivyokujibu mdau mmoja hapo juu waliokuwa wanakuzunguka ndio watabe wa hiyo maneno.
 
Oraa mjuba mbona unatocheresha kiwaki asee!! Wewe Nan kakwambia chuga tunapenda bange? Kwa taarifa yako kule meru mmea unaota kama majani ya asili meru hakuna majani chin hata ukipanda ukoka ukifika umri wa miezi miwili unabadili dini na kua ganja kwahiyo bange iko kila sehem sasa kosa letu ni lipi au kuamua kuivuta harakaharaka ili iishe watoto wetu wasije kuiukuta ikawaharibu?
Acha tuivute wanjiwanji mwendo wa ngiri ili iishe
 
Mkuu yani acha tu, niliwahi kufanya vitu kama seed retention (kutopiga bao kwa ngono au nyeto) miezi 5, kwa mabadiliko posotive nikawa nalalamika nilikuwa wapi jamani, ila ndo ivyo tena mda ukafika nikashindwa kuruka matamanio ya kupata gf na nilirudi kwa spidi ya 4g.

Ningependa siku moja upitie video za seed retention huko youtube, kutunza bao kuna faida kubwa sana, wale wajinga waliokuwa wana hamasisha nyeto haina madhara wameharibu vijana wengi sana, wenzetu siku hizi huko majuu wana kampeni ya "no fap" hakuna kujipiga selfie, maana madhara ni mengi mno.

Pia kuhusu bangi na pombe, hizi ni "mind altering substances" a man with no purpose seeks pleasure which will make him a slave for more pleasures.

Ukiona kwamba kimefika kipindi huwezi kufurahi bila sigara, bangi, kupasua tui kwa ngono au selfie, pombe, ponografia n.k basi hapo jua upo danger zone, addiction mpya ni hii ya internet + social media, mtu yupo radhi ale mihogo ilimradi awe na bando
Nofap challenge nilifanya nikafanikiwa kufikisha siku 60 baada ya hapo nika relapse
Ngoja sahiv niianze upya hakuna nyeto hakuna kula demu had nifikishe miez 6 labda npige bao kwenye ndoto.
 
M sivuti ila harufu naijua zaidi ya mvutaji coz kila baada ya chocho watu wanapuliza....kwa huku n kama sigara nyota hakuna maajabu.
 
Nofap challenge nilifanya nikafanikiwa kufikisha siku 60 baada ya hapo nika relapse
Ngoja sahiv niianze upya hakuna nyeto hakuna kula demu had nifikishe miez 6 labda npige bao kwenye ndoto.
wakati mzuri wa kufanya hii ni kabla hujafikia 28, maana baada ya hapo wengi wana ndoa zenye kutimiza majujumu
 
Wengine inabidi serikali itufikirie, tunatumia wenyewe, hatuuzi kwa mtu yoyote, tunapiga kazi na kujiingizia kipato halali kwa mujibu wa sheria, hatumsumbui mtu yoyote na mmea wetu
[emoji2]Utetezi mzuri
 
Back
Top Bottom