Arusha ni sehemu isiyo na mpinzani katika matumizi ya bangi

Arusha bangi ni kama sigara tu, sio big deal, Mikoa miingine watu wakijua unavuta bangi huwa unaonekana kama jambazi hivi...
Si ndiyo maana Godbless Lema anataka kurudi nchini eti anadai kule aliko analindwa sana anashindwa kuvuta bangi kama alivyokuwa huru Arusha pia anadai bangi za kule zimechakachuliwa mno anavuta kama sigara tu wala hazimpi wazimu.
 
Kweli Arusha bangi ni kama sigara tu watu wanavuta tu huko vichochoroni.
 
Wew unashangaaa hao Ss kipind tunasoma tulikuwa tunavuta tukiwa darasan tunapanda juu ya Dari ila najutia Sana ile kitu haina faida mkuu zaid ya hasara tu
 
Kumbe na matajiri wanavuta🤣😚😄😄😄😄😄😄
Kijana unakwama wapi kuanza kutumia marijuana ili utoboe faster
 
Watu wanakula kaya opposite na Kituo cha Polisi Usa River
 
I think people need to be educated to the fact that marijuana isn't a drug. Sikieni' marijuana is an herb and just a flower. God put it here, if HE put it here and He wants it to grow, what gives the government the right to say God is wrong as they say marijuana is a drug?

W. N. S 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unajichanganya sasa, tangu lini wanyiramba na wanyaturu wakawa wanaiwakilisha Arusha? Au unaongelea singida? Hao uliowataja ni mahouse girl na wauza baa kama ambavyo utawapata Dodoma, Iringa na kwingineko.

Bangi haivutwi na majority, kama alivyokujibu mdau mmoja hapo juu waliokuwa wanakuzunguka ndio watabe wa hiyo maneno.
 
Oraa mjuba mbona unatocheresha kiwaki asee!! Wewe Nan kakwambia chuga tunapenda bange? Kwa taarifa yako kule meru mmea unaota kama majani ya asili meru hakuna majani chin hata ukipanda ukoka ukifika umri wa miezi miwili unabadili dini na kua ganja kwahiyo bange iko kila sehem sasa kosa letu ni lipi au kuamua kuivuta harakaharaka ili iishe watoto wetu wasije kuiukuta ikawaharibu?
Acha tuivute wanjiwanji mwendo wa ngiri ili iishe
 
Nofap challenge nilifanya nikafanikiwa kufikisha siku 60 baada ya hapo nika relapse
Ngoja sahiv niianze upya hakuna nyeto hakuna kula demu had nifikishe miez 6 labda npige bao kwenye ndoto.
 
M sivuti ila harufu naijua zaidi ya mvutaji coz kila baada ya chocho watu wanapuliza....kwa huku n kama sigara nyota hakuna maajabu.
 
Nofap challenge nilifanya nikafanikiwa kufikisha siku 60 baada ya hapo nika relapse
Ngoja sahiv niianze upya hakuna nyeto hakuna kula demu had nifikishe miez 6 labda npige bao kwenye ndoto.
wakati mzuri wa kufanya hii ni kabla hujafikia 28, maana baada ya hapo wengi wana ndoa zenye kutimiza majujumu
 
Wengine inabidi serikali itufikirie, tunatumia wenyewe, hatuuzi kwa mtu yoyote, tunapiga kazi na kujiingizia kipato halali kwa mujibu wa sheria, hatumsumbui mtu yoyote na mmea wetu
[emoji2]Utetezi mzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…