Hii Kuoga unamsingizia hamna mkoa wa watu wachafu kama Dar ase kuoga kwao tatizoKuna mshikaji wangu wa Arusha alikuja Dar kwa issue zake,bahati nzuri akafikia kwangu ila nilimshangaa sana!
Hivi kwa hali ya joto la Dar unawezaje kukaa siku tatu bila kuoga wala kubadilisha nguo?
Asante sana, inabidi tuanze kuichukua Tanzania yetu sasa naona inakwenda kuuzwa kwa waarabu.Habari wakuu.
Jiji la Arusha lina tatizo gani? Viongozi inabidi wajitafakari sijuwi ni wanafanya kazi kwa mazoea (kwa kukaa kituo kimoja cha kazi kwa muda mrefu) au hakuna ubunifu wa kiutendaji.
Hadi leo huu mkoa ni aibu na fedhea ya karne wameshindwa kujenga stand ya mabasi ya kisasa. Iliyokuwepo na inayotumika sasa nadhani ni tangu enzi za mkoloni. Yaani, Arusha inazidiwa hata na Wilaya ya Korogwe na zingine kwa upande wa stand za mabasi ya kisasa.
Arusha bado wanakimbizana na usafiri wa Toyota Hiace maarufu kama vi fodi (nadhani jina hili wamekopi tangu enzi magari aina ya Ford yakitumika kama magari ya kubeba abiria). Vigari vyenyewe vidogo siti kama za wanafunzi.
Arusha haina masoko ya kisasa yaliyokuwepo. Mfano, soko kuu ni aibu kwa mgeni anaweza asiamini. Soko la Kilombero nalo ni majanga matupu. Viongozi wa mkoa wa Arusha si vibaya kwenda kujifunza maeneo mengine waliofanyika mabadiliko kama Morogoro, Mwanza, Tanga, Dar, n.k. Kuliko kujifungia hapa hapa bila kuwa na mabadiliko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejuajee km hana pesa??Tuachie chuga yetu tunaielewa sisi wenyewe
Mbona wewe unajiita Pesanyingi wakati huna pesa nahatuja lalamika
Wewe arusha umetoka lini???hiyo dar unayoisifia inabuka mavi kila kona mpaka wanaume wa huko wananuka mavi kwa kufirwa:dar unakutana na jamaa kumbe shoga pumbavu sanaaaOngezea na mamigomba katikati ya hicho kimji.
Vibarabara vyembamba vumejaa vumbi na viraka
Wewe vijana wa arusha wanamaendeleo sana huku sisi hatutegemei urithi na uwezi mkuta kijana anaishi kwao:nenda sasa dar yani dada anazalia kwao anamleta mwanaume kwao,kaka mtu naye anazehekea kwao yani aibu sana:kazi unawaombea wazazi wenu wafe muuze nyumba pumbavu sanaaaHuwa nikiangalia mikato na swag za masela wa A town sioni kabisa ni kwa namna gani hawa watu wanaweza kuwa na mipango ya maendeleo ya mji wao
Huyo anayeandika uzi kumbe shogaKuna watu wanaishi Dar zaidi ya Jehanam...nyumba zimezunguukwa na visiwa vya vinyesi ...una zalisha mabomu mchana usiku unayavurumishia nje....I think NEMIKI wangejikita huko.....
Arusha ni Geneva.....ngareroo Ostabeyii....teh teh....Mbauda uzunguni....Haf Landani Sekei....
Huwezi ishi arusha mtoto laini laini kama wewe.wewe ishi dar ndo panakufaa maana unaonekana shoga:huku daimambele nyuma mwiko tena pachafuMie mwenyewe nashindwa kuelewa wanao usifia huu mkoa wanatumia kigezo gani hasa?
Barbara za rami zimechoka choka, wakati wa kiangazi vumbi kama lote, wakati wa mvua tope kama lote. yaani hakuna unafuu kwa vipindi vyote vya mwaka.
Masoko yote ya hovyo hovyo, stend zao ndo usiseme, vijana nao wako hoi.
Kiukweli Mimi Arusha hapana.
Mkuu unataka nicheke aseee...Arusha ni Pana mkuu nenda ngorongoro utakuja kutoa ushuhuda hata hivyo kinachonipa fraha Ina sehemu za bata kila maeneo
Kwenye vi ford kuwepo Nigeria, Haiwezi kuwa mfano mzuri, ni bora kuiga maendeleo siyo kila kitu sababu tu kipo Nigeria.Kwanza arusha upajui vinzuri hata kidogo:arusha kuna masoko mengi sana kuna soko kuu(bondeni),kilombero,Samunge aisee arusha kuna mSoko mengi sana yani kila mtaa kuna masoko 2::
Arusha inajengwa stendi kubwa africa mashariki hakuna nenda murieti ukaone.
Viford ni aina ya magari yanayopendwa,
Hivyo viford pia vipo nigeria sasa unashangaa nini.
Kama upajui arusha vinzuri uliza wenyeji Acha kujifanya ujuaji kwenye miji ya watu
Sasa mbona vijana wa Dar wana life standard ya juu kuliko wa Chuga?Wewe vijana wa arusha wanamaendeleo sana huku sisi hatutegemei urithi na uwezi mkuta kijana anaishi kwao:nenda sasa dar yani dada anazalia kwao anamleta mwanaume kwao,kaka mtu naye anazehekea kwao yani aibu sana:kazi unawaombea wazazi wenu wafe muuze nyumba pumbavu sanaaa
Mwandiko tu arifu.......[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umejuajee km hana pesa??
Kwakweli Mwanza unyama mwingi sana! wanasoko kuu lao pale City Center nikubwa sana halafu zuri balaa. Na zile stend zao 2 zaukweli balaa.Mwanza wamekamilisha soko na stendi za kisasa mbili kubwa
Life standard ya mtandaoni nawewe una hadaika?Sasa mbona vijana wa Dar wana life standard ya juu kuliko wa Chuga?
Kama kuanzia shoprite ya zaman mpaka unaenda kona ya mbaunda ile sehemu ni mbaya atafutwe muwekezaji au wafanye namna waondoe ule uchafuArusha siasa imezidi. Imagine mpaka Leo katikati ya mji Pana garage bubu, pombe zinauzwa hovyo, Moshi na moto vinawashwa.... Hayo mavijiwe Kuna watu walipwa na hao wachafuzi. Yaani Arusha Kuna mambo mengine mbunge anatetea upumbavu, mbunge apuuze siasa
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app