Arusha ni tofauti na inavyozungumziwa kwenye mitandao

Arusha ni tofauti na inavyozungumziwa kwenye mitandao

Tuachie chuga yetu tunaielewa sisi wenyewe

Mbona wewe unajiita Pesanyingi wakati huna pesa nahatuja lalamika
Pesa ninayo ndiyo ila siyo ya kuwajengea miundo mbinu.Tatizo ma chalii ya R ni mnapuliza Moshi sana na ugoro
 
Hapa Tanzania hakuna mji wala jiji lolote la maana ni porojo tuu. Kila utakoenda mambo ni yaleyale..
Ukiwaambia ukweli wanasema tunajifanya tunajua sana,kwa nchi yetu hakuna jiji hata moja la kujivunia...
 
Back
Top Bottom