Arusha: Pale kwa Mromboo nimelishwa nyama ya nguruwe

Arusha: Pale kwa Mromboo nimelishwa nyama ya nguruwe

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!!

Leo siku ya mwaka mpya, nikaona nimalizie siku pale kwa murombo kwa lengo la kupata nyama ya kuchomaa, nilipo ingia pale nilikuta pako busy sana ila nilipo waangalia watu wengi waliopo pale ni watu wa class ya kawaida sana ila wengi wanakunywa pombe sana.

Anyway nikaona sio hiyana ngoja nijichanganye na wenzangu. Nikaenda pale nikachagua nyama ila wakati nachagua kuna mwanaume wenzangu ametitazama sana kwa muda mrefu.

Alikuwa anakunywa sprite, nilipo agiza nilitafuta sehemu ya kukaa, yule bwana aliniita kwa ishara nikamuelewa, nilipi mkaribia akanisalimia kama tunafahamiana alafu akaniambia kuwa makini hapo hao jamaa wanachoma watakulisha nyama ya nguruwe, niliagiza moyo kwasababu napenda ulaini.

Kiukweli, baada ya ushauri huo nikamuambia jamaa nashukuru kwa ushauri nikaenda sehemu nikamuita mdada mmoja nikamuulize ukweli wa hilo jambo akaniambi ni kweli ila nimfichie siri.

Kiukweli nilidhishiwa nguvu, baada ya hapo nililipia hizo nyama ni
Kawaambia wanifungie kwenye foili kisha nikaenda kutupa ninapojua.

kwa muromboo sio sehemu salama, kuna ujanja wa kishamba sana pale ya watu kutaka kuwaumiza wengine ili tu wapate pesa. Sasa hivi nakula nyama iliyoandaliwa na mmasai at least wapo honest kama wazungu na wanahofu ya Mungu.

NB: naweza kutofautisha moyo wa nguruwe na wa mbuzi anyoshe kidole na sehemu wanayochoma kitimoto.

Sijawahi kuona wakichoma moyo na utumbo wa kitimoto.
 
Yaani uuziwe nyama ya nguruwe kwa bei ya nyama ya mbuzi? Unajua thamani ya nyama ya nguruwe lakini?
Ni sawa na kusema nimeenda kunua mafuta ya taa wakanifanyia uhuni wakanipa dizeli.
moyo wa nguruwe inauzwaga sh.ngap?..nimeuziwa sh.elf 12000
 
Kama wewe ni mlaji wa mbuzi hutashindwa kujua ukichanganyiwa na isitoshe ukienda pale unachagua mwenyewe ndo unachomewa. Tena kabla ya kukatwakatwa unaitwa uone inavyokatwa katwa.
Wengine sio wataalam wa kutest vitu
 
Hapo vip!!
Leo siku ya mwaka mpya,nikaona nimalizie siku pale kwa murombo kwa lengo la kupata nyama ya kuchomaa:
Nilipo ingia pale nilikuta pako busy sana ila nilipo waangalia watu wengi waliopo pale ni watu wa class ya kawaida sana ila wengi wanakunywa pombe sana.


Anyway nikaona sio hiyana ngoja nijichanganye na wenzangu. Nikaenda pale nikachagua nyama ila wakati nachagua kuna mwanaume wenzangu ametitazama sana kwa muda mrefu.
Alikuwa anakunywa sprite,nilipo agiza nilitafuta sehemu ya kukaa,yule bwana aliniita kwa ishara nikamuelewa,nilipi mkaribia akanisalimia kama tunafahamiana alafu akaniambia kuwa makini hapo hao jamaa wanachoma watakulisha nyama ya nguruwe .niliagiza moyo kwasababu napenda ulaini .

Kiukweli,baada ya ushauri huo nikamuambia jamaa nashukuru jwa ushauri nikaenda sehemu nikamuita mdada mmoja nikamuulize ukweli wa hilo jambo akaniambi nikweli ila nimfichie siri.
Kiukweli nilidhishiwa nguvu,baada ya hapo nililipia hizo nyama ni
Kawaambia wanifungie kwenye foili kisha nikaenda kutupa ninapojua.

kwa muromboo sio sehemu salama,kuna ujanja wa kishamba sana pale ya watu kutaka kuwaumiza wengine ili tu wapate pesa.
Sasa hivi nakula nyama iliyoandaliwa na mmasai at least wapo honest kama wazungu na wanahofu ya Mungu.
Uongo huo hamna hio kitu
 
Kama wewe ni mlaji wa mbuzi hutashindwa kujua ukichanganyiwa na isitoshe ukienda pale unachagua mwenyewe ndo unachomewa. Tena kabla ya kukatwakatwa unaitwa uone inavyokatwa katwa.
Pork na mbuZi nyama wala havifanani.
 
Kiukweli nilidhishiwa nguvu,baada ya hapo nililipia hizo nyama ni
Kawaambia wanifungie kwenye foili kisha nikaenda kutupa ninapojua

Mbona kama nyama yenyewe hukuila!

Title ya uzi umeandika kama ulilishwa mbuzi katoliki
 
"Nililishwa"
"Nikatupa nakojua"
Bei ya mee ni ngap?
Bei ya mbuzi katoliki ni ngap?
Bora ukale kwa "masai" wako honest kama wazungu. Huu ni upumbavu mtupuu unakaliz za kizaman sana yan unatukuza wazungu ukiamin wako honest na wanahofu ya Mungu. Acha ulimbuken hao unaona wanahofu ya Mungu ndo wanakuibia maana we n kilaza hujui kama unaibiwa na unauliwa taratibu taratibu.
Kweli mtu akikushika ufahamu unakuwa kama box tupu
 
Back
Top Bottom