MAGNATE
Member
- Jan 12, 2015
- 70
- 141
Ukiwa muongo basi ujitahidi kuwa na kumbukumbu maana unaweza kukuumbua muda wowote. Kichwa cha habari kinasema umelishwa na ukiingia kwenye habari yenyewe unasema umeitupa, uwongo ulioje ila kama ulitaka michango ya mawazo tuu kwenye habari yako umefanikiwa.
Kitu cha pili bei ya nyama ya mbuzi na ya mkuu wa meza hazifanani hata kidogo. Mimi ninahitimisha kwa kusema umekula kwa kudhamiria kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
Kitu cha pili bei ya nyama ya mbuzi na ya mkuu wa meza hazifanani hata kidogo. Mimi ninahitimisha kwa kusema umekula kwa kudhamiria kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]