Wachache kama wewe ndio wanaelewa..wengi hapa wana oda ya kuleta moyo na utumbo wa nguruwe kutoka rombo moshi..wanaendekeza ubishi tu..kwa maslahi yao..pumbxvu kabisaUkienda kiboya pale unalishwa snoop..
Wanabandika mkia wa mbuz kw spaglu kwny nyama ya lili bow wow
Wewe haujui mbinu za biashara na ujasiara mali.ndio changamoto uliyonayoKichwa cha habari kinasema umelishwa nyama ya Nguruwe ila ukisoma thread ni kwamba hukula hiyo nyama. Hadi hapo tayari wewe ni mzushi unafaa kupuuzwa. Pia nyama ya Nguruwe ni tofauti na ya mbuzi kuanzia harufu hadi bei. Panapochomwa Nguruwe panakuwa na harufu tofauti kabisa. Watu wangeshajua. Pia kwa utofauti wa bei hakuna mfanyabiashara atataka apate hasara. Kwa jinsi ninavyopajua kwa Mromboo ni kwamba sehemu wanazochoma kitimoto haziko sehemu moja na za mbuzi. WEWE NI MZUSHI MWENYE NIA OVU. Mods wafute huu uzi wa kuharibu biashara za watu.
Sa itakuwaje kikiwa na kifafa.. bora liende tuYaani uuziwe nyama ya nguruwe kwa bei ya nyama ya mbuzi? Unajua thamani ya nyama ya nguruwe lakini?
Ni sawa na kusema nimeenda kunua mafuta ya taa wakanifanyia uhuni wakanipa dizeli.
Soma hivyo hivyo.Mbona kama nyama yenyewe hukuila!
Title ya uzi umeandika kama ulilishwa mbuzi katoliki
Acha upumbavu, huo ni uongoooWachache kama wewe ndio wanaelewa..wengi hapa wana oda ya kuleta moyo na utumbo wa nguruwe kutoka rombo moshi..wanaendekeza ubishi tu..kwa maslahi yao..pumbxvu kabisa
.
Kwa morombo panasifika kwa nyama ya mbuzi duniani Sasa wewe huwezi tofautisha mbuzi na nguruwe njaa zitakuuaHapo vip!!
Leo siku ya mwaka mpya,nikaona nimalizie siku pale kwa murombo kwa lengo la kupata nyama ya kuchomaa:
Nilipo ingia pale nilikuta pako busy sana ila nilipo waangalia watu wengi waliopo pale ni watu wa class ya kawaida sana ila wengi wanakunywa pombe sana.
Anyway nikaona sio hiyana ngoja nijichanganye na wenzangu. Nikaenda pale nikachagua nyama ila wakati nachagua kuna mwanaume wenzangu ametitazama sana kwa muda mrefu.
Alikuwa anakunywa sprite,nilipo agiza nilitafuta sehemu ya kukaa,yule bwana aliniita kwa ishara nikamuelewa,nilipi mkaribia akanisalimia kama tunafahamiana alafu akaniambia kuwa makini hapo hao jamaa wanachoma watakulisha nyama ya nguruwe .niliagiza moyo kwasababu napenda ulaini .
Kiukweli,baada ya ushauri huo nikamuambia jamaa nashukuru jwa ushauri nikaenda sehemu nikamuita mdada mmoja nikamuulize ukweli wa hilo jambo akaniambi nikweli ila nimfichie siri.
Kiukweli nilidhishiwa nguvu,baada ya hapo nililipia hizo nyama ni
Kawaambia wanifungie kwenye foili kisha nikaenda kutupa ninapojua.
kwa muromboo sio sehemu salama,kuna ujanja wa kishamba sana pale ya watu kutaka kuwaumiza wengine ili tu wapate pesa.
Sasa hivi nakula nyama iliyoandaliwa na mmasai at least wapo honest kama wazungu na wanahofu ya Mungu.
Mkuu unajua thamani ya kilo ya mbuzi iliyochomwa ?Yaani uuziwe nyama ya nguruwe kwa bei ya nyama ya mbuzi? Unajua thamani ya nyama ya nguruwe lakini?
Ni sawa na kusema nimeenda kunua mafuta ya taa wakanifanyia uhuni wakanipa dizeli.
Nimecheka kifala Sana πππUkienda kiboya pale unalishwa snoop..
Wanabandika mkia wa mbuz kw spaglu kwny nyama ya lili bow wow
Umepost ushuzi wa kufungulia mwakaWewe haujui mbinu za biashara na ujasiara mali.ndio changamoto uliyonayo
Wengine tumekulia na kufanya kazi maeneo hayo. Hakuna haja ya research. Anachokisema ni uzushi mtupu. Mabucha ya kitimoto pale kwa mromboo hayako sehemu moja na ya mbuzi. Isitoshe kwa mromboo sio maarufu kabisa kwa kitimoto. Mianzini kwa Shirima ndo sehemu maarufu zaidi.Huyu jamaa anasema kauliza kwa Watu wawili kaambiwa hivyo. Sasa kwanini mnapinga bila ya nyinyi kufanya research kidogo. Kama nikweli hao jamaa wanacheza na Imani zawatu
Kwenda mbxwa wewe,alafu toa picture ya mama hapo we mnywa mbege na supu ya kitimoto..unataka kubuashia mama na picture kwa kuweka picture yake hapo..mbwx weweUmepost ushuzi wa kufungulia mwaka
Acha nicheke.Yaani uuziwe nyama ya nguruwe kwa bei ya nyama ya mbuzi? Unajua thamani ya nyama ya nguruwe lakini?
Ni sawa na kusema nimeenda kunua mafuta ya taa wakanifanyia uhuni wakanipa dizeli.