Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani polisi ahangaike kumkamata jambazi anaemfyatulia risasi umewai kuona wapi hiyo?? Dawa ya moto ni motoHii kuua watu,badala ya kuwakamata na kuwapeleka mahakamani imekuwa fashion!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siku zote nikisikia taarifa za namna hii huwa najiuliza maswali kama uliyouliza, watu wengi sana wanauawa kwenye mazingira kama haya bila hatia yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] itakuwa show off, naona hadi darubini wakati tukio lilifanyika 3:45 usikuRisasi zenyewe haziingiliani bunduki aliyobeba
Unamkamataje mtu ana mimina risasi tena usiku !!Hii kuua watu,badala ya kuwakamata na kuwapeleka mahakamani imekuwa fashion!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kwanini walimtoa mwanza huyu kamanda
Siku majambazi yakikimata hicho kinyeo chako utamukumbuka kamanda shanaHii kuua watu,badala ya kuwakamata na kuwapeleka mahakamani imekuwa fashion!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa ngoja nianze kumpeleleza lazima nidake mtoto wake kama atakuwa na bintiHahaha angalia asije akakutandika risasi ukigombana na mtoto wake!
Huna akili wewe dogo wa for four. Sio kioa kijana wa Arusha ni jambazi. Na kwa taarifa yako majambazi Arusha sio wote ni wakazi wa Arusha, most of the wanatoka nchi jirani japo kweli kuna wenyeji.Vijana wa chuga hao...polisi piga sana hao hadi wanyooke.
Iwavyo na iwe, jambazi ni kuua tu!!Siku nilipokuja kugundua taarifa za polisi ni za uongo ni mwaka 2007 jijini mwanza maeneo ya liberty kulitokea tukio la majambazi kuvamia maduka mida ya saa sita mchana,bahati nzuri polisi walifika na majambazi wale walijisalimisha na silaha zao na waliingizwa kwenye gari la polisi raia tukiwa tunaona.Huwezi amini kwenye taarifa ya habari baadae usiku nashangaa kuona kuwa majambazi watano wameuliwa wakati wakirushiana risasi na polisi!!!! Sitetei wahalifu lakini kwa tukio lile sijawahi waamini polisi mpaka leo,KWA LUGHA NYEPESI TU HUWA HAKUNA CHA MAJIBIZANO YA RISASI WALA NINI BALI HUCHUKULIWA WAKIWA WAZIMA NA KUPELEKWA SEHEMU NA KUPIGWA RISASI, F**k police.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani jambazi anarusha risasi polis waende wakamkamate? Hivi wee jamaa umesha kula mtura?Hii kuua watu,badala ya kuwakamata na kuwapeleka mahakamani imekuwa fashion!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii kuua watu,badala ya kuwakamata na kuwapeleka mahakamani imekuwa fashion!
Sent using Jamii Forums mobile app
huyo kamanda huwa ana mbwembwe.
Mshehereshsji tu huyu kamandaNa kamanda nae alishiriki?namuona amevaa mkanda wa risasi hapo au ni maonyesho tu.
Sent using Jamii Forums mobile app