Pre GE2025 ARUSHA: Rais Samia alirudishia Kanisa Katoliki eneo lao pamoja na Tsh milioni 500 zilizochukuliwa na Halmashauri ya Jiji

Pre GE2025 ARUSHA: Rais Samia alirudishia Kanisa Katoliki eneo lao pamoja na Tsh milioni 500 zilizochukuliwa na Halmashauri ya Jiji

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938

Rais Dkt. Samia amewarudishia kanisa katoliki Mkoani Arusha eneo lao walilokuwa wanalimiki kwa muda mrefu na bada uongozi wa Mkoa kwa kushirikiana na halmashauri ya Jiji la Arusha na kisaha kuwataka kanisa katoliki kulipia eneo lao milioni 500 kitu ambacho Rais Samia ameutaka uongozi wa Mkoa kuresha eneo hilo pamoja na fedha walizo chukua.

Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa ufafanuzi juu ya eneo la kanisa katoliki walilokuwa wakimiliki kwa siku nyingi na wakanyang'anywa na badae wakatakiwa kulinunua tena na wala eneo hilo halikuwa la serikali ila viongozi waliyokuwepo walikubali kupokea fedha ambazo hawakustahili.

"Jana nimezungumza na Mhe. Rais Samia kumueleza jambo hili na akanambia kwamba, Niwaelekeze Mkoa pamoja na Jiji kuwa eneo hilo lilejeshwe haraka kanisa mara moja na fedha hizo Milioni 500 zilejeshwe kanisani mara moja". Amesema Mchengerwa.

"Nawaelekeza nyinyi Mkoa chini yako Rc Paul Makonda mzirejeshe fedha hizo kwa namna mlivyo zichukua mwanzo na njia hiyo hiyo zirudi kanisani hayo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia". Amesema Mchengerwa.
 
Rais Dkt. Samia amewarudishia kanisa katoliki Mkoani Arusha eneo lao walilokuwa wanalimiki kwa muda mrefu na bada uongozi wa Mkoa kwa kushirikiana na halmashauri ya Jiji la Arusha na kisaha kuwataka kanisa katoliki kulipia eneo lao milioni 500 kitu ambacho Rais Samia ameutaka uongozi wa Mkoa kuresha eneo hilo pamoja na fedha walizo chukua.
Halmashauri=CCM=Mh. Raisi
 

Attachments

  • Screenshot_20241005_195251_Instagram.jpg
    Screenshot_20241005_195251_Instagram.jpg
    216.1 KB · Views: 7
Samia nampenda sana Samia namkubali sana Samia ni Mama wa Taifa Samia tumuunge mkono jmn!

Nipo Kitambaa cheupe mpya Mbagala aisée watu wanakula bata kinomanoma *****!

Lazima nitafute chumba huku Dar!

Dah! Mnaojenga Dar nyie wanaume..

Samia....Mitano tena!

Mnyantuzu safarini kuelekea Kibololoni
 
Ni eneo lipi na lipo wapi?? Mungu ambariki mheshimiwa Rais kwa hili.. hapa Arusha Kuna UONEVU sana..kuna kipindi watu walipatwa na mikasa ya kunyang'anywa mali zao, kumbe mpaka taasisi nazo zilimyang'anywa mali... Mchengerwa hili ulilofanya la kugikisha hili kwa Rais barikiwa sana.

Huyo kijana ambae kwa sasa ni mbunge (Mzee wa shoti)kipindi akiwa mkuu wa mkoa aliumiza sana watu.. Yani unasingiziwa CHADEMA Ili ushughulikiwe. It was sad
 
Rais Dkt. Samia amewarudishia kanisa katoliki Mkoani Arusha eneo lao walilokuwa wanalimiki kwa muda mrefu na bada uongozi wa Mkoa kwa kushirikiana na halmashauri ya Jiji la Arusha na kisaha kuwataka kanisa katoliki kulipia eneo lao milioni 500 kitu ambacho Rais Samia ameutaka uongozi wa Mkoa kuresha eneo hilo pamoja na fedha walizo chukua.

Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa ufafanuzi juu ya eneo la kanisa katoliki walilokuwa wakimiliki kwa siku nyingi na wakanyang'anywa na badae wakatakiwa kulinunua tena na wala eneo hilo halikuwa la serikali ila viongozi waliyokuwepo walikubali kupokea fedha ambazo hawakustahili.

"Jana nimezungumza na Mhe. Rais Samia kumueleza jambo hili na akanambia kwamba, Niwaelekeze Mkoa pamoja na Jiji kuwa eneo hilo lilejeshwe haraka kanisa mara moja na fedha hizo Milioni 500 zilejeshwe kanisani mara moja". Amesema Mchengerwa.

"Nawaelekeza nyinyi Mkoa chini yako Rc Paul Makonda mzirejeshe fedha hizo kwa namna mlivyo zichukua mwanzo na njia hiyo hiyo zirudi kanisani hayo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia". Amesema Mchengerwa.
Warudishe na maeneo ya kanisa waliyopora na kuyageuza kuwa chuo cha ADEM, mfano Bagamoyo na Moro, pale ADEM Bagamoyo kuna kanisa la zamani limegeuzwa sehemu ya kuchekia TV (mpira), kulia chakula na kuchezea pool table.
 

Rais Dkt. Samia amewarudishia kanisa katoliki Mkoani Arusha eneo lao walilokuwa wanalimiki kwa muda mrefu na bada uongozi wa Mkoa kwa kushirikiana na halmashauri ya Jiji la Arusha na kisaha kuwataka kanisa katoliki kulipia eneo lao milioni 500 kitu ambacho Rais Samia ameutaka uongozi wa Mkoa kuresha eneo hilo pamoja na fedha walizo chukua.

Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa ufafanuzi juu ya eneo la kanisa katoliki walilokuwa wakimiliki kwa siku nyingi na wakanyang'anywa na badae wakatakiwa kulinunua tena na wala eneo hilo halikuwa la serikali ila viongozi waliyokuwepo walikubali kupokea fedha ambazo hawakustahili.

"Jana nimezungumza na Mhe. Rais Samia kumueleza jambo hili na akanambia kwamba, Niwaelekeze Mkoa pamoja na Jiji kuwa eneo hilo lilejeshwe haraka kanisa mara moja na fedha hizo Milioni 500 zilejeshwe kanisani mara moja". Amesema Mchengerwa.

"Nawaelekeza nyinyi Mkoa chini yako Rc Paul Makonda mzirejeshe fedha hizo kwa namna mlivyo zichukua mwanzo na njia hiyo hiyo zirudi kanisani hayo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia". Amesema Mchengerwa.
Sawa, ila kwanini asiwajereshee wapinzani haki yao ya kufanya siasa bila kubugudhiwa na dola? Anajenga huko anabomoa huku.
 
Tungejua fedha zililipwa mwaka gani ingekuwa vizuri. Kama walilipa kwa control number ka utaratibu ka kurudisha sijui katakuwaje!
 
Ni eneo lipi na lipo wapi?? Mungu ambariki mheshimiwa Rais kwa hili.. hapa Arusha Kuna UONEVU sana..kuna kipindi watu walipatwa na mikasa ya kunyang'anywa mali zao, kumbe mpaka taasisi nazo zilimyang'anywa mali... Mchengerwa hili ulilofanya la kugikisha hili kwa Rais barikiwa sana.

Huyo kijana ambae kwa sasa ni mbunge (Mzee wa shoti)kipindi akiwa mkuu wa mkoa aliumiza sana watu.. Yani unasingiziwa CHADEMA Ili ushughulikiwe. It was sad
ccm na conspiracy theories...
 
Back
Top Bottom