Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini!? Au wwe unataka katiba ya kuchapana kama kenya!?Wewe ni Mpuuzi sana! Rubbish!
CrapRushwa ya uchaguzi
Mkuu, na wale walio bomolewa nyumba zao kule Kimara/Mbezi/Kiluvia awakumbuke, japo kwa kifuta machozi tu.Sasa mmeenda kwenye kisababishi kilichofikisha hapo? Maana naona imeamuliwa kirahisi sana kama vile halikuwa tatizo,ilikuwaje mpaka kanisa wakalipia kiwanja chao? Ni wangapi watakutana na hiyo bahati ya mtende ya kurudishiwa mali waliyoporwa?hakuna wengine wenye changamoto kama hizo?rip Babu Rama.