The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Labda mzigo wa matako.mademu wanawalia hela kishenzi wenzenu wanatupa bureNdo tushakuja Sasa na tuna mzigo kuliko nyie wazawa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda mzigo wa matako.mademu wanawalia hela kishenzi wenzenu wanatupa bureNdo tushakuja Sasa na tuna mzigo kuliko nyie wazawa..
Tunapisha mahali pengi pakiwamo na hapa. Ni ama mbili ama Moja!!!?....Muungano wa serikali 3,...
Tunapisha mahali pengi pakiwamo na hapa. Ni ama mbili ama Moja!!!?
okay , hivyo mnatambua kuna mitume, manabii , wachunjaji na wainjilisti ambao YESU aliwaaacha alipopaa mbinguni na kwamba wapo mpaka sasa?Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
Nali aliyetoa amri kanisa liporwe?
Rais Dkt. Samia amewarudishia kanisa katoliki Mkoani Arusha eneo lao walilokuwa wanalimiki kwa muda mrefu na bada uongozi wa Mkoa kwa kushirikiana na halmashauri ya Jiji la Arusha na kisaha kuwataka kanisa katoliki kulipia eneo lao milioni 500 kitu ambacho Rais Samia ameutaka uongozi wa Mkoa kuresha eneo hilo pamoja na fedha walizo chukua.
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa ufafanuzi juu ya eneo la kanisa katoliki walilokuwa wakimiliki kwa siku nyingi na wakanyang'anywa na badae wakatakiwa kulinunua tena na wala eneo hilo halikuwa la serikali ila viongozi waliyokuwepo walikubali kupokea fedha ambazo hawakustahili.
"Jana nimezungumza na Mhe. Rais Samia kumueleza jambo hili na akanambia kwamba, Niwaelekeze Mkoa pamoja na Jiji kuwa eneo hilo lilejeshwe haraka kanisa mara moja na fedha hizo Milioni 500 zilejeshwe kanisani mara moja". Amesema Mchengerwa.
"Nawaelekeza nyinyi Mkoa chini yako Rc Paul Makonda mzirejeshe fedha hizo kwa namna mlivyo zichukua mwanzo na njia hiyo hiyo zirudi kanisani hayo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia". Amesema Mchengerwa.
Hii ni kampeni tu ya Samia, akijua Tanzania kuna Wakatoliki wengi na hadi sasa ni kura za Waislamu wachache tu anazotumainia kumvusha 2025"Nawaelekeza nyinyi Mkoa chini yako Rc Paul Makonda mzirejeshe fedha hizo kwa namna mlivyo zichukua mwanzo na njia hiyo hiyo zirudi kanisani hayo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia". Amesema Mchengerwa.
Rais Dkt. Samia amewarudishia kanisa katoliki Mkoani Arusha eneo lao walilokuwa wanalimiki kwa muda mrefu na bada uongozi wa Mkoa kwa kushirikiana na halmashauri ya Jiji la Arusha na kisaha kuwataka kanisa katoliki kulipia eneo lao milioni 500 kitu ambacho Rais Samia ameutaka uongozi wa Mkoa kuresha eneo hilo pamoja na fedha walizo chukua.
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa ametoa ufafanuzi juu ya eneo la kanisa katoliki walilokuwa wakimiliki kwa siku nyingi na wakanyang'anywa na badae wakatakiwa kulinunua tena na wala eneo hilo halikuwa la serikali ila viongozi waliyokuwepo walikubali kupokea fedha ambazo hawakustahili.
"Jana nimezungumza na Mhe. Rais Samia kumueleza jambo hili na akanambia kwamba, Niwaelekeze Mkoa pamoja na Jiji kuwa eneo hilo lilejeshwe haraka kanisa mara moja na fedha hizo Milioni 500 zilejeshwe kanisani mara moja". Amesema Mchengerwa.
"Nawaelekeza nyinyi Mkoa chini yako Rc Paul Makonda mzirejeshe fedha hizo kwa namna mlivyo zichukua mwanzo na njia hiyo hiyo zirudi kanisani hayo ni maelekezo ya Rais Dkt. Samia". Amesema Mchengerwa.
Kwenye kupenda vya bure hamjambo...ndomaana mnapiddy-iwa Sana machokonizers wakubwa nyie!Labda mzigo wa matako.mademu wanawalia hela kishenzi wenzenu wanatupa bure
MAshoga wengi wao ni wasukyuma na wachaga,uishi na ngombe afu uwe na akiliKwenye kupenda vya bure hamjambo...ndomaana mnapiddy-iwa Sana machokonizers wakubwa nyie!
Unakuta kijitu kizima na hakina ulemavu kinaomba hela kama kingese vile
Ushanielewa...muache kuomba-omba hela Mbwa nyie!MAshoga wengi wao ni wasukyuma na wachaga,uishi na ngombe afu uwe na akili
Nenda kasome katiba ya Tanzania ndiyo utajua mamlaka ya Rais achaa kulialia!!WAHADAA WAKUBWA hawa, stori hai make sense... wanatufanya sisi ni maboya kupindukia... Waziri anasema hajui utaratibu uliotumika kuchukua kanisa, watakuja wamweleza baadae. Sasa kampa taarifa gani Rais ? Rais hakutaka kujua the whole story kabla ya kutoa maamuzi ????
Halafu, mamlaka ya kudai haki /dhulma za majengo, ardhi, mali, ziko mahakamani, na ziko kwenye rufaa ndani na juu ya taasisi zilizotoa maamuzi. Sio kwa Rais. Vipi mali ambazo Mchengerwa hajazitembelea, na hazijafika kwa Rais, na sio makanisa na misikiti? Wapateje hazi zao ???
Mkimpa Rais nguvu za kurudisha ardhi kwa amri, bila maelezo ya palipokosewa utaratibu, na wanarekebishaje, ila mnachekelea tu, basi msilalamike anapojitwalia maeneo, na kuwahamisha, na kuwapa Waarabu, again, bila maelezo, na bila utaratibu, na bila rufaa.
Watanganyika, tuchangamshe akili zetu kidogo, tuamke! Hivi vitu si sawa, na sivyo wanavyotawalana nchi zilizoendelea...
Nenda kasome katiba ya Tanzania ndiyo utajua mamlaka ya Rais achaa kulialia!!
So far katiba ya Tanzania iko vizuri sana kuliko katiba zote za Africa Mashariki!!
Ndio hiyo tunayotaka kuichana chana Katiba kichaa ya Nyerere.
Kwa nini binadamu mmoja apewe trusteeship ya mali ya nchi ?
Ila Jiji la Arusha tangu ikiwa manispaa ya Arusha ni majambazi na mafisadi wakubwa sana kuliko halmashauri zote nchini! Wana laana kubwa sana na wanabebwa na maccm TU!Rushwa ya uchaguzi
Wewe ni Mpuuzi sana! Rubbish!So far katiba ya Tanzania iko vizuri sana kuliko katiba zote za Africa Mashariki!!