Sasa mmeenda kwenye kisababishi kilichofikisha hapo? Maana naona imeamuliwa kirahisi sana kama vile halikuwa tatizo,ilikuwaje mpaka kanisa wakalipia kiwanja chao? Ni wangapi watakutana na hiyo bahati ya mtende ya kurudishiwa mali waliyoporwa?hakuna wengine wenye changamoto kama hizo?rip Babu Rama.