Arusha: Rais Samia atoa TZS 520BL sawa na 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka

Arusha: Rais Samia atoa TZS 520BL sawa na 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO

Hakuna kama Samia nasisitiza,

Haya mambo sio madogo
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO

Safi sana Arusha jiji
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO


Kama si mahaba niue basi ni kampeni zetu 2025 😁😁
 

Hakika mahaba ya Rais Samia kwa watu wa Kaskazini usipime, ametoa TZS 520BL za maji Arusha ikiwa ni zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa ya mwaka.​

" Hakuna kama Samia "​


Hakika kasi ya Rais Samia Suluhu Hassan haikamatiki,Rais ametoa Jumla ya Tshs 520BL zaidi ya 80% ya bajeti nzima ya maji ya Taifa kwaajili ya kuzika kabisa tatizo sugu la maji la nenda urudi uje,tatizo lililowashinda wabunge wote wa NCCR, TLP na CHADEMA katika nyakati na muda tofauti tofauti ukanda huo hatimaye Rais Samia amelimaliza kirahisi tu na hii ndio raha ya kuwa na Rais Mzalendo kama Mama Samia Suluhu,

Bajeti nzima ya maji ya Taifa kwa mwaka wa fedha 2021|22 ni karibu 589BL hii ni kwa mujibu wa bajeti kuu ya Serikali, Rais Samia Suluhu kwa mahaba yake na watu wa Kaskazini kama ilivyo kwa maeneo mengine nchini ameamua kufanya reallocation ya pesa ili Arusha na viunga vyake wapate kiasi hicho cha fedha na hapa nainyooshea kidole CHADEMA kwa kuwachelewesha watu wa Arusha kwa kiasi hiki na kwahakika hawapashwi kuchaguliwa tena,

Kwamsiofahamu,Mradi huu mkubwa wa kihistoria wa Mama Samia unategemewa kutoa Jumla ya Lita 200Milioni kwa siku huku mahitaji halisi ikiwa ni Lita 109Milioni tu kwa siku na hivyo kuwa na ziada ya karibu lita 91Milioni kwa siku ziada ambayo itapelekwa maeneo ya Arumeru na maeneo mengine mengi,

Wakati huohuo Mhe Rais akiwa katika mradi huo wa maji alimmwagia pongezi za dhati Mhe Juma Aweso Waziri wa Maji kwa kile alichokiita uwajibikaji wa kutiliwa mfano ndani ya baraza Lake la Mawaziri,Hongera Aweso kazi zako ni awesome kila Mtanzania atakubaliana na Mhe Rais unastahili songa mbele,


RAIS SAMIA MZALENDO WA VITENDO
Unakosea unapomtaja mbunge kushindwa kusolve tatizo la maji.
Unajua mbunge hakusanyi kodi au ushuru kokote, kazi yake ni kupeleka matatizo ya wananchi wake serikalini ili yatatuliwe. Na hilo tayari wamelifanya na ndio maana serikali imetoa hela. Hadi tutakapoacha kuamini kuwa mbunge anatatua kero zinazohitaji budget ya serikali ndipo tutakapoondokana na utamaduni wa kupigwa ahadi za uongo na hawa wabunge wakati wa kampeni.
 
Hizo pesa ni nyingi sana hujafafanua ni za mradi mmja au? Na zimetoka wapi? Maana 80% ya bajeti sio mchezo..

Anyway congrats kwake,ni vyema tuwe tunafanya vitu kama hivi tukitoka tumetoka.Samia hoyeee.
Ni fedha za mradi mzima hizo alizindua Magufuli mradi bado haujakamilika ni za mkopo toka Benki ya maendeleo ya Africa, Mama alipita kukagua mradi umefikia asilimia ngapi...
 
mziki wa ukweli wa maji upo Kiteto na handeni...huko kwingine watapiga hela tu
 
Onyesha zilipotolewa ile awamu ya masifa, yaani watoa pesa yote hiyo waache kwenda kuuza sura na kujigamba kwenye vyombo vya habari,labda sio awamu ya 5 nayoijua..mtu hadi kuzindua choo ilikuwa sherehe ya kitaifa sembuse mradi wa mabilioni?
Kama kitu hujui ni bora ukae kimya tu
 
Kwani uongo,awamu ya masifa hapo wangeweka sherehe nchi nzima
Ilikuwa ni mwaka 2018 Magufuli alizindua huu mradi, akaenda kwenye kisima kata ya Kimnyak wilayani Arumeru na hii picha yake, mradi kwa sasa umefikia asilimia 75
images%20(20).jpg
 
Ilikuwa ni mwaka 2018 Magufuli alizindua huu mradi, akaenda kwenye kisima kata ya Kimnyak wilayani Arumeru na hii picha yake, mradi kwa sasa umefikia asilimia 75View attachment 1978279
Unaelewa maana ya kuzindua? Au aliweka Jiwe la msingi?

Magu alikuwaga hana Kazi alizindua hata barabara zilozokamilika toka 2014..

Sasa miaka yote kwa nini mradi haujakamilika?
 
Rudi shule ukajifunze propaganda, huo mradi ni wa enzi za JK, tena dhalimu alitaka kupora hizo hela apeleke huo mradi kanda ya ziwa, watoa mkopo wakamgomea. Katafuteni wajinga wasiojua lolote ndio uwalishe hii propaganda mfu.

Tena huu mradi una mkono wa WB sijui Samia jaingiaje hapa.

Nadhani shule propaganda wanahitaji kubadili sylabus kwasababu hata namna ya kudanganya watu imekuwa ya kijinga sana.
 
Unaelewa maana ya kuzindua? Au aliweka Jiwe la msingi?

Magu alikuwaga hana Kazi alizindua hata barabara zilozokamilika toka 2014..

Sasa miaka yote kwa nini mradi haujakamilika?
Huu mradi ulianza 2018 na yeye ndio alizindua kwa kuweka jiwe la msingi... na fedha ni za mkopo kutoka Afdb...
 
Kuna zingine hizi hapa


Ni Billion 514 ambazo waliwahi kupewa Arusha wakati wa hayati JPM, mwaka 2017 kwa ajli ya mradi wa maji vievile. Aidha zitakuwa hazikumaliza tatizo, au ziliibiwa
 
Huu mradi ulianza 2018 na yeye ndio alizindua kwa kuweka jiwe la msingi... na fedha ni za mkopo kutoka Afdb...

Point hapo ni kweli labda mradi ulikuwepo na pesa zilitoka lkn labda hazijafika kwenye eneo la tukio kwa asilimia zote kutokana hasa na siasa za kipindi cha awamu ya tano mtizamo wao hasi kuhusu kanda ya Kaskazini lkn alipoingia mama haoni sababu ya kuweka figisu za kuumalizia mradi ndo maana pesa imetoka yote na mradi ukamilike

Point sio ulianza lini ila why ulikuwa unasua sua labda isije ikawa ile dhana ya awamu fulani kuhusu kanda fulani
 
Point hapo ni kweli labda mradi ulikuwepo na pesa zilitoka lkn labda hazijafika kwenye eneo la tukio kwa asilimia zote kutokana hasa na siasa za kipindi cha awamu ya tano mtizamo wao hasi kuhusu kanda ya Kaskazini lkn alipoingia mama haoni sababu ya kuweka figisu za kuumalizia mradi ndo maana pesa imetoka yote na mradi ukamilike

Point sio ulianza lini ila why ulikuwa unasua sua labda isije ikawa ile dhana ya awamu fulani kuhusu kanda fulani
Unchoandika si sahihi ni hisia, kama unajua miradi huwezi andika kitu cha namna hii, mbona Barabara ya Tengeru - Sakina ilikamilika

kama unakumbuka kampeni alipokuja Arusha Magufuli alitamani ukamilike Desemba mwaka jana...

tena huu mradi unaendelea huku watu wakipata maji, mfano visima vya Kimnyak vyote vinatoa maji tanki kubwa kwa sasa linatumika...
 
Back
Top Bottom