Pre GE2025 Arusha: RC Makonda aiagiza TAKUKURU kumhoji Mrisho Gambo upotevu wa Tsh. Milioni 400 zilizochangwa na wadau kwa ajili ya kusaidia bodaboda

Pre GE2025 Arusha: RC Makonda aiagiza TAKUKURU kumhoji Mrisho Gambo upotevu wa Tsh. Milioni 400 zilizochangwa na wadau kwa ajili ya kusaidia bodaboda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
bashite ni mvurugaji tu na huwa anapenda san akutumia vyombo vya dola kunyanyasa wenzake. naamini kuna siku na yeye atalamba nondo kama mwenzake sabaya tu.
 
Makonda hangaika na stand hapo Arusha wahuni wanakula hela tu za jiji bila kufanya vitu vya maana hayo michango ya harusi ya achana nayo naona umeamua kutumia jeshi kupambana na mzala mwenzio na hii katika itifaki za kazi sijui kama inakubaliaka yaani Mkuu wa mkoa anaagiza Takukuru wamchunguze Mkuu wa Mkoa aliepita Tanzania mimi sihami aisee..
 
Makonda hangaika na stand hapo Arusha wahuni wanakula hela tu za jiji bila kufanya vitu vya maana hayo ya michango ya harusi ya achana nayo naona umeamua kutumia jeshi kupambana na mzala mwenzio na hii katika itifaki za kazi sijui kama inakubaliaka yaani Mkuu wa mkoa anaagiza Takukuru wamchunguze Mkuu wa Mkoa aliepita Tanzania mimi sihami aisee..
bashite siku zote huwa hatumii akili.
 
Lema gombea ubunge Arusha mjini. Siasa za bashite ni za kisenge. Huu ndio mda wa chedema kufanya mashambulizi ya kutosha arusha
 
Lema gombea ubunge Arusha mjini. Siasa za bashite ni za kisenge. Huu ndio mda wa chedema kufanya mashambulizi ya kutosha arusha
wawaache kwanza hao massm wawili watafunaneeee wakichoka Lema akachukue lile jimbo.
 
Viongozi wanayo nafasi ya kukutana na kuongea mambo yote, na baadaye wakatafuta njia ya kuyamaliza badala ya kulumbana hadharani.
 
Tume iundwe pia kuchunguza kifo cha Ben Sanane na wengineo
Hivi nae akichunguzwa matumizi makubwa ya fedha nha kukaa mahotelini anapata wapi atapona?
 
Hivi TAKUKURU na Makonda Mkuu wa Mkoa nani ametangulia kufika Arusha? Ni nani anayo pua ya kunusa harufu ya rushwa kambla ya mwingine?
Yaani ikifikia hatua mwalimu anakumbushiwa kuingia darasani kufundisha wanafunzi kila wakati japo ni kazi yake, huyo mwalimu hastahili kuendelea kuwa na sifa ya mwalimu.

TAKUKURU NYIE NI MZIGO KWA TAIFA. Inastahili TAKUKURU ivunjwe inaleta hasara kubwa kuliko faida.
Binafsi sijawahi kuona faida ya takukuru nchi hii Haina mana yoyote wanakula pesa za Bure tu kama mishahara,,labda kama mwamba JPM angekuepo..
 
Karma ni Kama kula nyama ya mtu

By the way wenye D mbili tunaelewa ni movie ya kututoa kwenye No reform no election na NETO

Lissu na Walimu shikilieni hapo hapo
Ni kweli kabisa..maugomvi yao watajua wenyewe wauane wakitane visu watajua
Watanzania wanataka kujadili mambo ya msingi
 
Mwenye Ile Picture Ya Fisi Akiwa Amekibeba Kichwa Cha Fisi Mwenzake Ailete Sasa Kwenye Thread Hii. Kumeanza Kupata Moto Arusha Kuelekea October 2025

Asiye Na Mwana Aeleke Jiwe
 

Attachments

  • Screenshot_20230406_213532.jpg
    Screenshot_20230406_213532.jpg
    59.8 KB · Views: 1
Huyu zero brain aanze kuchunguzwa yeye kwanza na atueleze kwanini alizuia huu mchakato ambao upo kisheria.
images (33).jpeg
 
Back
Top Bottom