Pre GE2025 Arusha: RC Makonda aiagiza TAKUKURU kumhoji Mrisho Gambo upotevu wa Tsh. Milioni 400 zilizochangwa na wadau kwa ajili ya kusaidia bodaboda

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Magufuli alimtoa wakati tayari kashajaza fomu za kuutaka ubunge. Uwe na kumbukumbu.
Haijalishi,Wamtoe sasa hivi ili kuweka mnyukano sawa, siyo atumie madaraka kumkandamiza mwenzake. Kama anataka ubunge aende jimboni kwake?

Kwani makonda ni mkazi wa Arusha?

kule alipelekwa kikazi.
 
Haijalishi,Wamtoe sasa hivi ili kuweka mnyukano sawa, siyo atumie madaraka kumkandamiza mwenzake. Kama anataka ubunge aende jimboni kwake?

Kwani makonda ni mkazi wa Arusha?

kule alipelekwa kikazi.
Wewe unaipangia mamlaka ya uteuzi kama nani? Kuna mtu anamiliki jimbo hadi useme aende jimboni kwake? Swali lako la kama Makonda ni mkazi wa Arusha ni la kipumbavu sana lililojaa ubaguzi. Mtanzania anaruhusiwa kuishi popote ndani ya Tanzania bila kuvunja sheria. Hata wewe unaweza kwenda kuishi mkoa mwingine na ukagombea nafasi ya uongozi ukiwa huko.
 
Kwani na yeye ametoa wapi hela za kununua ngombe 400 na kugawa bure
 
Pia TAKuKURU wasisahau kuhoji hela za kununua Ng'ombe 400 zimetoka wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…