Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Naye ni kama mkuu wake alishasema KIFO NI KIFO TU!Mkuu wa mkoa Yuko na landrover
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naye ni kama mkuu wake alishasema KIFO NI KIFO TU!Mkuu wa mkoa Yuko na landrover
Tukukomboe kwa tunguli gani tena,,huko ndo itakua moja kwa moja hio ushawekwa kwenye mapango kule milimani kazi kulishwa unga tu na kufanya kazi za wakwe zakoHalafu ndo mtakuja kunikomboa au ndo ntaishia?😄
DahUPDATE:
Nyumba ya bwana Ramji imevunjwa na wananchi na baada ya kuvunjwa, Polisi walikuja na mtuhumiwa kuonesha mambo mbali mbali yaliyojificha kwenye nyumba hiyo na walichimbua ardhini na kukuta baadhi ya viungo na vitu vilivyofungwa mithili ya vifurushi vidogo vya nguo.
baadhi ya viungo ni macho, moyo, vidole, sehemu za siri pamoja na mijusi iliokauka.
View attachment 3123738
Kwahiyo unadhani Ana kipaji cha kuota na kujua maafa yatatokea wapi?Mkuu wa mkoa Yuko na landrover
Nahisi ni rambirambi......
Bado maelezo zaidi yanahitajika,kuelewa hizo risiti sio kazi ndogo.
Ada ya tsh 100,200,kwa ajili ya kifo mbona ni vitu visivyoeleweka?,Je ni vifo kweli au wameamua kutumia neno "Vifo" kumaanisha kitu kingine?
Pia inawezekana ni mchango wa chama kwa ajili ya rambirambi kwa waliofiwa.
200/- around 1990s ilikuwa kitita kikubwa cha pesa.Mia mbili nadhani ni 200k
Hicho ni kitabu cha Ben R Mtobwa kimekutwa hapo ndaniZipo risiti zinasomeka Habari kutoka kuzimu
Risiti ni nyingi sana
🤣🤣🤣🤣🤭200/- around 1990s ilikuwa kitita kikubwa cha pesa.
Hayo ni majina ya Kipare sio ya KichaggaUo ndo utajiri wa wachagga! Hii mijitu miuaji!
Nikiangalia hizo risiti naona zilikua printed and not typed( kutumia type writer),, sidhani kama miaka ya 90's printer zilikua common kiasi cha kuprint risiti kwa matumizi ya michango ya vifo (maybe).. Pengine wakongwe wanaweza eleza.200/- around 1990s ilikuwa kitita kikubwa cha pesa.
Acha Ujinga hao ni wapare , pumbafu kabisaUo ndo utajiri wa wachagga! Hii mijitu miuaji!
Kumbuka ni arusha mjini, sio kijijinii kwetu majohe.Nikiangalia hizo risiti naona zilikua printed and not typed( kutumia type writer),, sidhani kama miaka ya 90's printer zilikua common kiasi cha kuprint risiti kwa matumizi ya michango ya vifo (maybe).. Pengine wakongwe wanaweza eleza.
Sioni dalili ya kuhurumiwa walahTukukomboe kwa tunguli gani tena,,huko ndo itakua moja kwa moja hio ushawekwa kwenye mapango kule milimani kazi kulishwa unga tu na kufanya kazi za wakwe zako