Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Kuna ndugu yao humu kunbe ndio desturi yao
Ila yule wa humu hauwi anawatunza😅
 
Kule Shinyanga walianza kuwaua watu kama hawa , mkaleta demokrasi ila washirikina ni nuksi kinoma .
 
Again hivi vyama vya kufa na kuzikana vipo kisheria kabisa, mfano niliotoa hapo juu UMARO. Wanachama hudunduliza hela kwa ajili ya ku cover misiba inapotokea nyumbani

Again,.misiba ya kaskazini ni gharama sana kuliko mnavyodhani kwa sababu ukiwa hujatoka kaskazini utaona ajabu.

Alipofariki babu yangu walikuja watu 600 hivi. Ila matanga ilikuwa na watu 800 sio poa

Hakuwa kwenye chama cha kufa na kuzikana hivyo hela ilitutoka mfukoni. Ila kama angekuwepo huwa wanatoa fungu kwa mfiwa

Kawaida wachaga kuzikwa nyumbani. Kusafirisha gari ya msiba kwenda Moshi minimum ni million 1 gari. Unakuta zinatola coster zaidi ya moja huku

Bado huko unapoenda hawajala na huku dar lazima msiba ulillala..

Nadhani nimewafungua macho kuhusu vyama vya kufa na kuzikana

Ila swala la kukutwa mkono huko halihusiqna na vyama hivi.

Ni chama ambacho tunaweza anzisha hata JF
kuna baadhi ya karatasi ni ushirikina pure labda kama hujui ....Mimi uniniletea maandishi ya kishirikina wakiwa na michoro hata uandike kichina najua .

pia , naweza kukuambia walikuwa wanaaminisha nn? hiyo elimu ipo wapi kabisa ni sanaa ila sio nzuri.
 
Ndugu, unashindwa kabisa kuelewa kilichotokea. Malipo hufanyika baada ya idadi fulani ya vifo kwa kuua... Ukipata i.e vichwa tisa unalipwa.. Chama kipi hicho cha maiti kuwekwa chini ya uvungu wa kitanda... Jaribu kusikiliza kwa umakini ufaham wako upanuke
Mbona kama inaonekana ni risiti za malipo ya michango ya chama chao cha kufa na kuzikana?

Hakuna cha ajabu hapo
 
Ndugu, unashindwa kabisa kuelewa kilichotokea. Malipo hufanyika baada ya idadi fulani ya vifo kwa kuua... Ukipata i.e vichwa tisa unalipwa.. Chama kipi hicho cha maiti kuwekwa chini ya uvungu wa kitanda... Jaribu kusikiliza kwa umakini ufaham wako upanuke
Ndio mambo mnapenda wabongo haya. Ushajipa na uhakika kabisa kuwa risiti ni za idadi ya vifo mtu akiua.

Kila mtu abaki na mawazo yake. Wewe kama umeshapanuka baki hivyo hivyo inatosha
 
Back
Top Bottom