Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Salamu toka kuzimuHicho ni kitabu cha Ben R Mtobwa kimekutwa hapo ndani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salamu toka kuzimuHicho ni kitabu cha Ben R Mtobwa kimekutwa hapo ndani
Na maiti nayo alikuwa anatunza sio?Ila Wabongo uelewa mdogo sana , mbona hizo ni risiti za kawaida huyo atakuwa alikuwa anatunza risiti za maafa kwenye chama chao
InawezekanaMbona kama inaonekana ni risiti za malipo ya michango ya chama chao cha kufa na kuzikana?
Hakuna cha ajabu hapo
au unaongelea miaka 60s?200/- around 1990s ilikuwa kitita kikubwa cha pesa.
Huo ni ushirikina pureView attachment 3123363
Hii picha iliondoka na roho nane za wanaume,kama umewahi kusikia mtu amemrushia paka jiwe kesho yake hajaamka ndiyo inakuaga hivi.
kuna baadhi ya karatasi ni ushirikina pure labda kama hujui ....Mimi uniniletea maandishi ya kishirikina wakiwa na michoro hata uandike kichina najua .Again hivi vyama vya kufa na kuzikana vipo kisheria kabisa, mfano niliotoa hapo juu UMARO. Wanachama hudunduliza hela kwa ajili ya ku cover misiba inapotokea nyumbani
Again,.misiba ya kaskazini ni gharama sana kuliko mnavyodhani kwa sababu ukiwa hujatoka kaskazini utaona ajabu.
Alipofariki babu yangu walikuja watu 600 hivi. Ila matanga ilikuwa na watu 800 sio poa
Hakuwa kwenye chama cha kufa na kuzikana hivyo hela ilitutoka mfukoni. Ila kama angekuwepo huwa wanatoa fungu kwa mfiwa
Kawaida wachaga kuzikwa nyumbani. Kusafirisha gari ya msiba kwenda Moshi minimum ni million 1 gari. Unakuta zinatola coster zaidi ya moja huku
Bado huko unapoenda hawajala na huku dar lazima msiba ulillala..
Nadhani nimewafungua macho kuhusu vyama vya kufa na kuzikana
Ila swala la kukutwa mkono huko halihusiqna na vyama hivi.
Ni chama ambacho tunaweza anzisha hata JF
Mbona kama inaonekana ni risiti za malipo ya michango ya chama chao cha kufa na kuzikana?
Hakuna cha ajabu hapo
Ndio mambo mnapenda wabongo haya. Ushajipa na uhakika kabisa kuwa risiti ni za idadi ya vifo mtu akiua.Ndugu, unashindwa kabisa kuelewa kilichotokea. Malipo hufanyika baada ya idadi fulani ya vifo kwa kuua... Ukipata i.e vichwa tisa unalipwa.. Chama kipi hicho cha maiti kuwekwa chini ya uvungu wa kitanda... Jaribu kusikiliza kwa umakini ufaham wako upanuke