Arusha: Risiti za vifo zaidi ya 50 zakutwa ndani ya nyumba ya Ramji Hatibu Mlacha

Dah

Dini gani jamaa?
 
Nahisi ni rambirambi.
 
200/- around 1990s ilikuwa kitita kikubwa cha pesa.
Nikiangalia hizo risiti naona zilikua printed and not typed( kutumia type writer),, sidhani kama miaka ya 90's printer zilikua common kiasi cha kuprint risiti kwa matumizi ya michango ya vifo (maybe).. Pengine wakongwe wanaweza eleza.
 
Nikiangalia hizo risiti naona zilikua printed and not typed( kutumia type writer),, sidhani kama miaka ya 90's printer zilikua common kiasi cha kuprint risiti kwa matumizi ya michango ya vifo (maybe).. Pengine wakongwe wanaweza eleza.
Kumbuka ni arusha mjini, sio kijijinii kwetu majohe.
Chini ni mfano wa thamani ya pesa ilivyokuwa miaka ya nyuma
 

Attachments

  • P-IMG-20230505-WA0089.jpg
    100.5 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…