Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi kumbe kweli huyu jamaa mdude alikuwa anauza! aisee,Kama wauza madawa ya kulevya kina Mdude kwa nini Sabaya asiachiwe?
MAHAKAMA IMESHINDWA KUTHIBITISHA PASI NA SHAKA TUHUMA ZINAZOMKABILI OLE SABAYA ZA UJAMBAZI WA KUTUMIA SILAHAOle Sabaya mtu mwenye tuhuma zisizo na idadi , leo tena amefikishwa mahakamani huko Arusha akiwa amevaa Suti iliyopauka ili kusikiza kesi zinazomkabili
Kesi za aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai, mkoa wa Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano, ambao wanakabiliwa na mashtaka sita na mawili ya ujambazi wa kutumia silaha zitaanza kusikilizwa leo
Unakumbuka kesi ya zombe wewe ?Eti atashinda Kesi,ashinde kivipi wakati Ushahidi dhidi ya tuhuma zake umenyooka kama rula!!!atachukua mvua ili aolewe kabisa Jela matako huyu,katutesa sana mjini hapa
anashindaje kesi wakati katiba na sheria zetu hazifai..?...au hazifai mkishindwa?Mdude hakuachiwa , ameshinda kesi
Tulia wewe mama, inatakiwa iwe hivyo hata miaka miwili. Hajamaliza hata miezi mi5 mshaanza kulalamika? Kuna waliokaa miaka 8Kwenye hii kesi ,Rais Samia shituka kila siku kesi inasogezwa mbele kisa mashahidi hakuna.
Watu walewale waliomzushia Bashiru kwamba amechota hela hazina mara baada ya Magufuli kufariki ndiyo walewale waliomzushia Sabaya tuhuma nyingi zisizo na ushahidi ndiyo maana hawatokei mahakamani.
Jana CAG amesema hakuna hela ypyote iliyochotwa mara baada ya kifo cha rais Magufuli.View attachment 1837735View attachment 1837736
Uyu jamaa soon ataachiwa na kupangiwa kazi nyingineKwenye hii kesi ,Rais Samia shituka kila siku kesi inasogezwa mbele kisa mashahidi hakuna.
Watu walewale waliomzushia Bashiru kwamba amechota hela hazina mara baada ya Magufuli kufariki ndiyo walewale waliomzushia Sabaya tuhuma nyingi zisizo na ushahidi ndiyo maana hawatokei mahakamani.
Jana CAG amesema hakuna hela ypyote iliyochotwa mara baada ya kifo cha rais Magufuli.View attachment 1837735View attachment 1837736
Hakuna kesi hapoTulia wewe mama, inatakiwa iwe hivyo hata miaka miwili. Hajamaliza hata miezi mi5 mshaanza kulalamika? Kuna waliokaa miaka 8