"Arusha sio Tanzania"

Unakurupukaga sana na wewe, unatuletea mambo yako ya ukenya hapa, hata hukumwelewa mleta mada...
Kwa taarifa yako pamoja na changamoto zilizopo kanda ya Kati na Magharibi, Tz imebalance maendeleo pande zote..
Kusini, magharibi na Kaskazini kote kuko poa
 
Very true, Arusha imejengwa na watu wa Kilimanjaro ila kimsingi maeneo yote ya kaskazini watu wako tofauti, wanajitambua
Historically, Watu wa Klm waliijenga Arusha kuanzia mwaka 1990 tu-

ILA, Kabla ya hapo majengo yote makubwa ya kwanza Arusha yalijengwa na wenyeji chini ya Vyama vya uuzaji wa NGOZI na KAHAWA.

Mfano Arusha Coffee Union (ARCU)

shule kubwa ya Ilboru, Mringa, Moringe pamoja na kanisa la Ilboru na Salei yalijengwa na wanawake wa kimasai (kuna kitabu cha refference)

Kule Monduli, tayari Edward Sokoine alishaidesign halmashauri ya Monduli pamoja na Bus stand kabla hata ya serikali kufanya hayo.

Unajua hilo?

Uongozi wa Meya wa kwanza mweusi wa Arusha, Letawo Laizer (Don King) pia ndio ulioudesign jiji la Arusha kwa upande wa Clock tower kule na posta ya Meru.

Kilimanjaro chini ya uongozi wa Mareale na (KNCU) ndio kabisaa walishaendelea...kabla ya uhuru tayari walikuwa na shule za secondary zaidi ya 38, barabara nzuri, system nzuri za maji n.k


Soma Historia...!


LONGLIVE & BIG UP WANAKASKAZINI


[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]
 
Hiyo yote sababu mlikubali kulamba miguu ya wazungu kwa kukumbatia ukatoliki wao.
 
Hatusikilizi maneno yenu ya kwenye vijiwe vya kahawa ramani tu, angalie wakenya mbeleni watapiga vita juu yetu ili waitwae Arusha.
 
Living style, Starehe, Hali ya hewa, Uchangamfu, Style ya ujenzi Arusha sounds like Nairobi......

Hata Matatu zao ni mziki mnene, Mapambo etc
Ukifanikiwa kufika Nairobi maeneo haya:-

-Lavington

-Muthaiga

-Hurlingham na

-Karen...

Ukiishi tena na ARUSHA basi wewe huwezi kuwa na pupa ya kukimbilia Las Vegas au Johannesburg.


OVA,
 
Hata kuoa kwa wale waoaji...Oeni Kilimanjaro na Arusha

Mkioa wachora ina na kupaka rangi 24/7 shauri yenu.
 
Huyu mleta mada sio mtanzania na thread yake ina ajenda fulani isiyo wazi. Fuatilieni threads anazoanzisha na comments zake.

Huyo jamaa amekuwa akipigia debe sana suala la jumuiya ya Afrika mashariki kwa sababu wameona watanzania wanalipuuza sasa amekuja na hoja ya kipumbavu kabisa. Baadae watasema Kagera na Kigoma sio Tanzania. Tuwe makini na hao watu wa nchi jirani. Huwezi kwenda makao makuu ya UN New York halafu ukasema New York sio Marekani.

Watu aina ya mleta mada ni wa kuwafungulia mashtaka ya uhaini.
 

Ni kweli kabisa Mkuu, sababu mojawapo ya maendeleo ya watu wa Arusha ni interaction na Kenyans pamoja na watu wa nje.

Watu wa Arusha hawana ulelemama na uswahili chovu.


Ni kweli kabisa Mkuu, sababu mojawapo ya maendeleo ya watu wa Arusha ni interaction na Kenyans pamoja na watu wa nje.

Watu wa Arusha hawana ulelemama na uswahili chovu.
Naona watu wa Kilimanjaro, Arusha na Nairobi mmeungana na lengo lenu kuichimba Dar es Salaam na watu wa Pwani...acheni wivu vijana aliyetangulia ameshatangulia cha msingi mjipange mrudi na mjenge makwenu ili miji hiyo ifikie standard za Miji na ustarabu wa Pwani.
No offense just reality.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…