"Arusha sio Tanzania"

"Arusha sio Tanzania"

Historically, Watu wa Klm waliijenga Arusha kuanzia mwaka 1990 tu-

ILA, Kabla ya hapo majengo yote makubwa ya kwanza Arusha yalijengwa na wenyeji chini ya Vyama vya uuzaji wa NGOZI na KAHAWA.

Mfano Arusha Coffee Union (ARCU)

shule kubwa ya Ilboru, Mringa, Moringe pamoja na kanisa la Ilboru na Salei yalijengwa na wanawake wa kimasai (kuna kitabu cha refference)

Kule Monduli, tayari Edward Sokoine alishaidesign halmashauri ya Monduli pamoja na Bus stand kabla hata ya serikali kufanya hayo.

Unajua hilo?

Uongozi wa Meya wa kwanza mweusi wa Arusha, Letawo Laizer (Don King) pia ndio ulioudesign jiji la Arusha kwa upande wa Clock tower kule na posta ya Meru.

Kilimanjaro chini ya uongozi wa Mareale na (KNCU) ndio kabisaa walishaendelea...kabla ya uhuru tayari walikuwa na shule za secondary zaidi ya 38, barabara nzuri, system nzuri za maji n.k


Soma Historia...!


LONGLIVE & BIG UP WANAKASKAZINI


[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]
Nadhani japo sina uhakika Sana, meya wa kwanza mweusi alikuwa Joe Maeda.
 
Sidhani kama ni kukumbatia wazungu nadhani kuna kitu kingine wanatuzidi mi sio mwanasayansi lakini nadhani chakula tunavyokula pia vina matter kwenye brain development, sababu nyingine pia ni exposure may be walifunguka macho mapema wali interact na nchi jirani n.k instead ya kuwachukia kuna mawili matatu tu naweza jifunza
Kuhusu chakula ni kweli kwasababu, tunakula vifuatavyo:-

-Ndizi za varieties nyingi- Mshare, Mkonosi, Ndizi ng'ombe, kisukari n.k

- Nyama, origional haswaa za Ng'ombe wa kienyeji sio sausages za Dsm.

- Maziwa na siyo ya pakiti

- Kitimoto

- kiburu

- Kisusio


Na sio kama wengine wa Mihogo, chips na matembere tu.


Halafu kikubwa zaidi ninarudia tena ni:-

¤ Kumhudumia Mzazi ipasavyo kwa kumpa Mtori na kumchinjia Mbuzi, ng'ombe au Kondoo na sio kumchinjia kuku mchana halafu kesho yake akachote maji kisimani.

Shauri yao.
 
Watu wa Kenya na Arusha/Kilimanjaro wanafanana mambo mawili

¤ Ukabila/Nepotism

¤Misifa ya kijinga/Tamaa/Kuoza meno
Asee sasa si unaona halafu mji wenyewe hausaidii mapato kwa tanzania.
Misifa tuu ya kijinga.
 
Mji wa wavuta bangi

Wala Ngada mkabidhiwe nchi kweli? Nepotism imewajaa.. Mwalimu alisema ubaguzi hautaishia tu mchaga kumbagua Mzaramo, Tuseme leo Arusha muwe nchi mfano yan hamtaishia hapo tu mtataka hadi Unga limitted na Morombo iwe nchi pia,, Mtabaguana hadi kwenye familia zenu aisee,, na mlivyo waroho na walafi wa pesa ivo ninyi hiyo nchi haifkishi mwezi mmeigawana...!!

Kwa kweli acheni Anko Magu atutese tu ila kuwaamini nyie ni sawa na kujikaanga mwenyewe,,,!!! Mbaki tu kutuletea wazungu bongo kwa kweli ila sio kutuongoza TZ....!!

Msinimeze jamani wachaga watani wangu...!!!

Lema watsup!!!
 
Watu wa pwani na Dsm wanafanana mambo manne:-

1) UVIVU

2) UZEMBE

3) MAJUNGU

4) PODAAAAAA....!
Dsm ni mkoa pekee wenye makabila karibia yote yaliyopo Tanzania. In short kwa Tanzania, DSM ni mkoa wa Tofauti.

Unaruhusiwa kuilinganisha Chuga na mikoa mingine lakini sio DSM.
 
Lakini wanakaa MASAKI, MIKOCHENI na UPANGA, Ninyi mmekimbia kwenu mmekuja kufuga NGURUWE KIMARA MWISHO !!
Hahaha...huko wanakaa wakaskazini wengi zaidi.

Nyie waswahili zenu ni mwananyamala, Tandale, Manzese na wengine mmetupwa nje ya jiji kabisa

UKWELI UNAUMA....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ni kweli kabisa Mkuu, sababu mojawapo ya maendeleo ya watu wa Arusha ni interaction na Kenyans pamoja na watu wa nje.

Watu wa Arusha hawana ulelemama na uswahili chovu.
Acha ujinga...

Rorya hakuna interraction na Kenya..?

Rombo je......... hawana interaction na Kenya?

Kama wanayo kwanini hawajachangamka kama Arusha?

Ukifikiria utagundua kilichoineemesha arusha ni utalii pamoja na madini na sio hawa wakenya maana hata kwao kumewashinda huo uwezo wa kutuchangamsha sisi wautoe wapi?
 
jamani wa TANZANIA tuwe wamoja hii thread inazingua arusha ni mkoa uliopo tanzania na itabaki tanzania milele.......waliokuja na masuala ya ukabila hapa mshindwe.....na kuhusu dar huu ni mkoa uliokusanya makabila yote wengi wetu ni waamiaji tu na tukija kwenye asili wengi ni asili ya mikoa mingine
 
Acha ujinga...

Rorya hakuna interraction na Kenya..?

Rombo je......... hawana interaction na Kenya?

Kama wanayo kwanini hawajachangamka kama Arusha?

Ukifikiria utagundua kilichoineemesha arusha ni utalii pamoja na madini na sio hawa wakenya maana hata kwao kumewashinda huo uwezo wa kutuchangamsha sisi wautoe wapi?
Ni kweli lakini wanarorya wana kauboya flan hivi...!
 
Back
Top Bottom