Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Tatizo huo mzigo hapo....!Haya rudi upesi kwenye mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo huo mzigo hapo....!Haya rudi upesi kwenye mada
Wakaskani gani ?Hahaha...huko wanakaa wakaskazini wengi zaidi.
Nyie waswahili zenu ni mwananyamala, Tandale, Manzese na wengine mmetupwa nje ya jiji kabisa
UKWELI UNAUMA....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kudos brother... absolutely right! Sisi wa Arusha ni namba nyingine kabisa... thank you for your compliments broWewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Kuhusu chakula ni kweli kwasababu, tunakula vifuatavyo:-
-Ndizi za varieties nyingi- Mshare, Mkonosi, Ndizi ng'ombe, kisukari n.k
- Nyama, origional haswaa za Ng'ombe wa kienyeji sio sausages za Dsm.
- Maziwa na siyo ya pakiti
- Kitimoto
- kiburu
- Kisusio
Na sio kama wengine wa Mihogo, chips na matembere tu.
Halafu kikubwa zaidi ninarudia tena ni:-
¤ Kumhudumia Mzazi ipasavyo kwa kumpa Mtori na kumchinjia Mbuzi, ng'ombe au Kondoo na sio kumchinjia kuku mchana halafu kesho yake akachote maji kisimani.
Shauri yao.
Wakenya wana meno yaliyooza kwan?Na kweli arusha sio Tanzania, maana hata watu wa kule kama wakenya tu hata meno yao yameoza.....
Viduka au Maduka mpaka Maghorofa makubwa na Hotels? na nyie bado mpo hapo hapo. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakaskani gani ?
Hao waliotoroka ugumu wa maisha na kuja kuhemea dar kwa kufungua Viduka, bar, grocery, kufuga nguruwe na kuku huko Kimara Mbezi/ Mwisho ??
Hebu acheni ukabila fanyeni mambo ya maana
Ni ushamba tu ulikusumbua! Sio Tz kumbe ni wapi? Usiteme Big G kwa Katanga za kuonjeshwa.Yes!..imegwe iwe common region for all east Africa countries.it is East Africa diplomatic city
Yah ni kweli huko hakuna pweza wala vigodoro lakini kwa nguvu ya ustaarabu na mila za Pwani ni rahisi kukuta huko vitu hivyo. Miji ya kwanza kuendelea ni miji ya Pwani na hii ni kutokana na kutumia akili katika utendaji wa kazi (mental works) na ni kweli physical works kama kulima,kuchunga nk ni za huko kwenu vijijini.(kazi za kutumia nguvu sio sehem ya aina ya kazi za watu wa mijini). Kuhusu elimu ni rahisi mtu kuhesabu watu walio na elimu huko vijijini kwenu na katika idadi hiyo chache ndio mnajivunia. Huku mjini watu waliosoma ni wengi uki-compare na huko vijijini ambapo kuna kiwango kikubwa cha wasio na elimu. Wachache wanaobahatika wanakuja kuishi huku Pwani kwa wastaarabu.Hahaha...hata huoni aibu kuandika hayo?
Pwani imeizidi Arusha, Kilimanjaro na Nairobi kwa vigodoro na pweza...eeh!
Maana ukija kwenye juhudi za kufanya kazi na Elimu nyie ni Bashite origional.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu wa pwani na Dsm wanafanana mambo manne:-
1) UVIVU
2) UZEMBE
3) MAJUNGU
4) PODAAAAAA....!
Maghorofa gani na Hotels ? au unazungumzia guest house za kimara na buguruni ?Viduka au Maduka mpaka Maghorofa makubwa na Hotels? na nyie bado mpo hapo hapo. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha...Tunachozungumzia ni juhudi ya Wazawa kujenga miji yao.Yah ni kweli huko hakuna pweza wala vigodoro lakini kwa nguvu ya ustaarabu na mila za Pwani ni rahisi kukuta huko vitu hivyo. Miji ya kwanza kuendelea ni miji ya Pwani na hii ni kutokana na kutumia akili katika utendaji wa kazi (mental works) na ni kweli physical works kama kulima,kuchunga nk ni za huko kwenu vijijini.(kazi za kutumia nguvu sio sehem ya aina ya kazi za watu wa mijini). Kuhusu elimu ni rahisi mtu kuhesabu watu walio na elimu huko vijijini kwenu na katika idadi hiyo chache ndio mnajivunia. Huku mjini watu waliosoma ni wengi uki-compare na huko vijijini ambapo kuna kiwango kikubwa cha wasio na elimu. Wachache wanaobahatika wanakuja kuishi huku Pwani kwa wastaarabu.
Arusha ya 2017 ni sawa na Dar au Pwani ya 1907.(karne moja na muongo mmoja)
View attachment 505996
View attachment 505991
View attachment 505989
Dar 1907
View attachment 505990
Bagamoyo 1910
Arusha 2017 in coloured picture
View attachment 505992
View attachment 505994
View attachment 505995
Arusha 2017 (black and white) look the same as Dar in its early 1910s
View attachment 505993
So mna kazi sana kuwafikia wavivu wa Dar na Pwani mkuu
Mshamba mmoja wa kaskazini akikaa Upanga au Masaki wengine wote wanajihisi affiliated nae (no wonder sasa hivi utaanza kunitajia majina ya wanaoishi huko). Nyie kazi yenu hapa mjini zinajulikana mafundi viatu, mabarmaid na wauza k karibu wote ni Arusha au Kilimanjaro au Manyara,kuuza maduka na grocery,kuchoma nyama na kitimoto,upishi wa supu na mtori.Hahaha...huko wanakaa wakaskazini wengi zaidi.
Nyie waswahili zenu ni mwananyamala, Tandale, Manzese na wengine mmetupwa nje ya jiji kabisa
UKWELI UNAUMA....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yap...Ipo Laki laki Estate KisongoKuna ile mahakama ya mauaji ya kimbari ya Rwanda aisee ni pazuri...
Hizo zote hapo ulizozitaja ni biashara.Mshamba mmoja wa kaskazini akikaa Upanga au Masaki wengine wote wanajihisi affiliated nae (no wonder sasa hivi utaanza kunitajia majina ya wanaoishi huko). Nyie kazi yenu hapa mjini zinajulikana mafundi viatu, mabarmaid na wauza k karibu wote ni Arusha au Kilimanjaro au Manyara,kuuza maduka na grocery,kuchoma nyama na kitimoto,upishi wa supu na mtori.
Watu wa mjini hata mtu akiwa Rais hilo linamuhusu yeye na familia yake so wenyeji wanaoishi Upanga au Masaki au wengine wanamiliki nyumba huko hawababaikiwi isitoshe wengine wamepangisha malimbukeni.
Hahaha...hizo guest houses mbona ninyi hamuwezi kuzimiliki?Maghorofa gani na Hotels ? au unazungumzia guest house za kimara na buguruni ?
Ongezea hapo..Ndizi za varieties nyingi- Mshare, Mkonosi, Ndizi ng'ombe, kisukari n.k
Hawa jamaa tambo nyiingi unaweza kudhani kuna la maana. Biashara zenyewe walishakariri ni kufungua Duka, Bar, Grocery, Kuchoma Kitimoto, Kufuga nguruwe na kukuMshamba mmoja wa kaskazini akikaa Upanga au Masaki wengine wote wanajihisi affiliated nae (no wonder sasa hivi utaanza kunitajia majina ya wanaoishi huko). Nyie kazi yenu hapa mjini zinajulikana mafundi viatu, mabarmaid na wauza k karibu wote ni Arusha au Kilimanjaro au Manyara,kuuza maduka na grocery,kuchoma nyama na kitimoto,upishi wa supu na mtori.
Watu wa mjini hata mtu akiwa Rais hilo linamuhusu yeye na familia yake so wenyeji wanaoishi Upanga au Masaki au wengine wanamiliki nyumba huko hawababaikiwi isitoshe wengine wamepangisha malimbukeni.
A blessed land,Ongezea hapo..
Kimadu, kimalindi, kisimiti,