"Arusha sio Tanzania"

"Arusha sio Tanzania"

Hawa jamaa tambo nyiingi unaweza kudhani kuna la maana. Biashara zenyewe walishakariri ni kufungua Duka, Bar, Grocery, Kuchoma Kitimoto, Kufuga nguruwe na kuku
Ninyi biashara zenu ni zipi? [emoji23]
 
Hawa jamaa tambo nyiingi unaweza kudhani kuna la maana. Biashara zenyewe walishakariri ni kufungua Duka, Bar, Grocery, Kuchoma Kitimoto, Kufuga nguruwe na kuku
Ona maisha ya Arusha haya watu wanaishi kwenye vitundu alafu silently anajivunia kuishi mjini kuuza supu au kuwa mabarmaid (wanapenda kujipachika mbele ya miji ya watu soon utasikia Mwanza tumeijenga sisi,Dodoma tumeijenga aua Mwanza tumeijenga)

mt+kilimanjaro+-+mmg.jpg


c-fakepath-tour-arusha-village-experience-lead.jpg

100425_a81b358e122a2fbebec54afc910d96b2_large.jpg
 
Hahahahah....Arusha Times(gazeti kongwe la Kingereza)

Siku hizi silioni tena...Hata online halipo
Ni gazeti zuri sanaa, wageni walikuwa wakija hawahangaiki na migazeti mingine.

Sasahv ukuaji wa Teknolojia, mfano uwepo wa applications za:-

Map, Trip advisor, Arushamailing zinawapa urahisi watu wakiwa chuga waaccess huduma mbalimbali.
 
Ona maisha ya Arusha haya watu wanaishi kwenye vitundu alafu silently anajivunia kuishi mjini kuuza supu au kuwa mabarmaid (wanapenda kujipachika mbele ya miji ya watu soon utasikia Mwanza tumeijenga sisi,Dodoma tumeijenga aua Mwanza tumeijenga)

View attachment 505998

View attachment 505999
View attachment 505997
Hahaha....Miji yote mikubwa pia ina sehemu ambazo si nzuri

Hebu weka na pics za Arusha mjini

Halafu nakuambia tena Pwani na Dsm ilijengwa na Wakoloni na Serikali ya Tanzania na sio WAZAWA.

Wazawa waswahili hawana muda wala akili ya kujenga kwao.

Mbona huelewi?

Wewe una ubashite kichwani eeh....!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Wapi!
 
Watu wa Kenya na Arusha/Kilimanjaro wanafanana mambo mawili

¤ Ukabila/Nepotism

¤Misifa ya kijinga/Tamaa/Kuoza meno
Hii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..

Wala haitamsadia bibi yako aliyeko Manyoni na Babu yako wa Simiyu kunywa maji kwenye bwawa ambalo punda na ng'ombe huoga.. Mkuu hii haitasaidia mamako kule Ileje na Itigi kutembea kilomita 10 kutafuta maji, kilomita 50 kutafuta kituo cha afya na siku nzima kukesha msituni akitafuta kuni za kuchemshia uji wa chumvi..

Mkuu sie wazee wetu kule milimani hayo walishaachana nayo tangia miaka ya 50's, 60's.. Barabara safi, Umeme na Maji yalikuwako huko tangia miaka hiyo.. Wazee wetu kule kijijini sasa wanatumia gesi kupikia vyakula vyao..

Mkuu hasira zako na Wakaskazini ungeziamishia kwenye kutatua kero kijijini kwako wamama wenye macho mekundu na albino wasingeuwawa huko Usukumani kwenu..

And In case you didn't know.. Maeneo hayo ndiyo huwa tunatuliaga tukipata vinywaji murua kabisa na hali ya hewa ya kuvutia kule Machame angali wewe huko Geita unahangaika na magwangwala..

Protea Hotel - Machame kijijini
proteaaishimachame1.jpg


Sallinero Millie Lodge - Machame Kijijini
salinero-millie-lodge-machame-27817-5f16984287c74a30a2a1f339524548dc1d2b3682.jpeg
salinero-millie-lodge-machame-27817-f5ea48c8bc2becd053625d843532daa031ce689a.jpeg


Kaliwa Lodge - Machame Mgombani
kaliwa-lodge.jpg
kaliwa-lodge-main3.jpg
kaliwa-lodge.jpg


Hamtakaa muiweze Kaskazini, sisi ndugu zetu ni Wakenya sio nyinyi lelemama mnaofanya hii nchi iendelee kutawaliwa na watu wanaojua kusoma na kuandika tu..
 
Hahaha....Miji yote mikubwa pia ina sehemu ambazo si nzuri

Hebu weka na pics za Arusha mjini

Halafu nakuambia tena Pwani na Dsm ilijengwa na Wakoloni na Serikali ya Tanzania na sio WAZAWA.

Wazawa waswahili hawana muda wala akili ya kujenga kwao.

Mbona huelewi?

Wewe una ubashite kichwani eeh....!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama sikosei wewe utakuwa mangi wa kishumundu umejibanza kwenye mji wa Arusha na sio Muarusha. Normally thread nyingi watu wa Kilimanjaro hupenda kujinasibu na Arusha au Nairobi.
Kama nyie hamjengi kwenu sio sawa na watu wa mjini. Ushawahi kuona mswahili kajenga huko kijijini kwenu? Nope..
 
Hii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..

Wala haitamsadia bibi yako aliyeko Manyoni na Babu yako wa Simiyu kunywa maji kwenye bwawa ambalo punda na ng'ombe huoga.. Mkuu hii haitasaidia mamako kule Ileje na Itigi kutembea kilomita 10 kutafuta maji, kilomita 50 kutafuta kituo cha afya na siku nzima kukesha msituni akitafuta kuni za kuchemshia uji wa chumvi..

Mkuu sie wazee wetu kule milimani hayo walishaachana nayo tangia miaka ya 50's, 60's.. Barabara safi, Umeme na Maji yalikuwako huko tangia miaka hiyo.. Wazee wetu kule kijijini sasa wanatumia gesi kupikia vyakula vyao..

Mkuu hasira zako na Wakaskazini ungeziamishia kwenye kutatua kero kijijini kwako wamama wenye macho mekundu na albino wasingeuwawa huko Usukumani kwenu..

And In case you didn't know.. Maeneo hayo ndiyo huwa tunatuliaga tukipata vinywaji murua kabisa na hali ya hewa ya kuvutia kule Machame angali wewe huko Geita unahangaika na magwangwala..

Protea Hotel - Machame kijijini
proteaaishimachame1.jpg


Sallinero Millie Lodge - Machame Kijijini
salinero-millie-lodge-machame-27817-5f16984287c74a30a2a1f339524548dc1d2b3682.jpeg
salinero-millie-lodge-machame-27817-f5ea48c8bc2becd053625d843532daa031ce689a.jpeg


Kaliwa Lodge - Machame Mgombani
kaliwa-lodge.jpg
kaliwa-lodge-main3.jpg
kaliwa-lodge.jpg


Hamtakaa muiweze Kaskazini, sisi ndugu zetu ni Wakenya sio nyinyi lelemama mnaofanya hii nchi iendelee kutawaliwa na watu wanaojua kusoma na kuandika tu..
Nilikuwa nakuchukulia kama mtu mwenye uelewa mkubwa lakini kwa comment yako hii..i was totally wrong

Nimetokea kagera na pia kijiji ninachotoka kuna facilities zote in exception ya maji though tunayapata kiurahisi kupitia njia binafsi na facilities zilizopo kule ni nadra kwa baadhi ya wilaya za nchini petu lakini sikuwahi katika maisha yangu kuwadharau watu ambao hawana....


unasema ndugu zenu ni wakenya je,watu wa pwani ya kenya walio na Tabia za pwani ya Tanzania si ndugu zako au nawe wachukulia PWANI SI KENYA....

You are better than that brother
 
Hii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..

Wala haitamsadia bibi yako aliyeko Manyoni na Babu yako wa Simiyu kunywa maji kwenye bwawa ambalo punda na ng'ombe huoga.. Mkuu hii haitasaidia mamako kule Ileje na Itigi kutembea kilomita 10 kutafuta maji, kilomita 50 kutafuta kituo cha afya na siku nzima kukesha msituni akitafuta kuni za kuchemshia uji wa chumvi..

Mkuu sie wazee wetu kule milimani hayo walishaachana nayo tangia miaka ya 50's, 60's.. Barabara safi, Umeme na Maji yalikuwako huko tangia miaka hiyo.. Wazee wetu kule kijijini sasa wanatumia gesi kupikia vyakula vyao..

Mkuu hasira zako na Wakaskazini ungeziamishia kwenye kutatua kero kijijini kwako wamama wenye macho mekundu na albino wasingeuwawa huko Usukumani kwenu..

And In case you didn't know.. Maeneo hayo ndiyo huwa tunatuliaga tukipata vinywaji murua kabisa na hali ya hewa ya kuvutia kule Machame angali wewe huko Geita unahangaika na magwangwala..

Protea Hotel - Machame kijijini
proteaaishimachame1.jpg


Sallinero Millie Lodge - Machame Kijijini
salinero-millie-lodge-machame-27817-5f16984287c74a30a2a1f339524548dc1d2b3682.jpeg
salinero-millie-lodge-machame-27817-f5ea48c8bc2becd053625d843532daa031ce689a.jpeg


Kaliwa Lodge - Machame Mgombani
kaliwa-lodge.jpg
kaliwa-lodge-main3.jpg
kaliwa-lodge.jpg


Hamtakaa muiweze Kaskazini, sisi ndugu zetu ni Wakenya sio nyinyi lelemama mnaofanya hii nchi iendelee kutawaliwa na watu wanaojua kusoma na kuandika tu..
Hahahah nilitaka nikuite wewe na Nicholas kumbe ushofika.[emoji23] [emoji23]
 
Nilikuwa nakuchukulia kama mtu mwenye uelewa mkubwa lakini kwa comment yako hii..i was totally wrong

Nimetokea kagera na pia kijiji ninachotoka kuna facilities zote in exception ya maji though tunayapata kiurahisi kupitia njia binafsi na facilities zilizopo kule ni nadra kwa baadhi ya wilaya za nchini petu lakini sikuwahi katika maisha yangu kuwadharau watu ambao hawana....


unasema ndugu zenu ni wakenya je,watu wa pwani ya kenya walio na Tabia za pwani ya Tanzania si ndugu zako au nawe wachukulia PWANI SI KENYA....

You are better than that brother
Mkuu huu uzi kwanza sikutaka kabisa kutia neno langu mpaka pale wapuuzi wachache ambao waliingiza mambo ya kikabila na kikanda kwasababu ambazo wanazijua wao wenyewe. Kuna watu nchi hii ukiwatajia Kilimanjaro na Arusha tu kinachofata ni matusi, kebehi na dharau zisizo na msingi wowote.. Hicho nilichomjibu huyo nadhani kinaendana kabisa na aina ya jibu ambalo limempendeza.. Huwa tunawavumilia sana lakini nasi pia tuna mioyo..

Wazungu husema "You can't force a person to show you respect; but you can refuse to be disrespected"
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Hahahah nilitaka nikuite wewe na Nicholas kumbe ushofika.[emoji23] [emoji23]
Hawa mkuu dawa yao ninayo mimi.. Sasahivi watarudi machakani hehehehehe

Hawataki kusikia mikoa fulani ikisifiwa kwa lolote, kwasababu tu huko kunaongozwa na chama wasichokipenda..
 
Mkuu huu uzi kwanza sikutaka kabisa kutia neno langu mpaka pale wapuuzi wachache ambao waliingiza mambo ya kikabila na kikanda kwasababu ambazo wanazijua wao wenyewe. Kuna watu nchi hii ukiwatajia Kilimanjaro na Arusha tu kinachofata ni matusi, kebehi na dharau zisizo na msingi wowote.. Hicho nilichomjibu huyo nadhani kinaendana kabisa na aina ya jibu ambalo limempendeza.. Huwa tunawavumilia sana lakini nasi pia tuna mioyo..

Wazungu husema "You can't force a person to show you respect; but you can refuse to be disrespected"
Nimekuelewa bro kwa sababu hata mimi ninapotokea huwa pamekaririka vibaya maana ukitaja kagera humu ni kashfa tu zitaendelea lakini mwisho wa siku unagundua inferiority inawasumbua so,unaachana nao lakini kwa uzi kama huu unakuwa kama "you are attacking the unknown"....

Haina shida mkuu
 
Hawa mkuu dawa yao ninayo mimi.. Sasahivi watarudi machakani hehehehehe

Hawataki kusikia mikoa fulani ikisifiwa kwa lolote, kwasababu tu huko kunaongozwa na chama wasichokipenda..
Haha kwakweli binafsi nimeishi kaskazini for many years naijua vyema...ni jamii ya watu waliostaarabika mapema
 
Wewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Asante baba nakupendaga kwa kuwa uchi moyini mwako (mkweli)
 
Haha kwakweli binafsi nimeishi kaskazini for many years naijua vyema...ni jamii ya watu waliostaarabika mapema
Indeed, watu wa Kaskazini ni wastaarabu sana na ndio maana wameweza kuishi na jamii nyingine nyingi za Tz bila tatizo lolote..

Unajua humu kuna zile "back and forth" za wa Dar na Arusha/Mikoani ambazo ni utani wa kawaida kabisa and huwezi mtu kuchukulia serious sana. Mtu wa Arusha atamwita wa Dar legelege, mpaka poda, mwanaume wa dar na vile vile wa Dar atamwita wa Arusha mvuta bange, muoza meno, bilionea wa Arusha au wa kijijini na kusiwe na tatizo lolote kwasababu ni part ya utani tu.. Lakini watu wanapoanza kuingiza makabila ya watu na kuonyesha chuki zao ndipo hapo nasi tunajibu mashambulizi..
 
Wewe huwa unahesabu A-city kama Tanzania, hujajiuliza mbona watu wa pale wapo kwenye level nyingine kwa kila kitu ikiwemo kujitambua kisiasa. Tanzania yote mngekua na hulka ya watu wa Arusha aisei tungekua tunasoma namba sisi majirani zenu.
Kawaida kama unaendesha gari na kuingia Arusha mtu huwa anahisi kama yupo Nairobi vile. Ukiangalia wanavyochangamka na kuchakarika.
Well said
 
Back
Top Bottom