Hii haitakusaidia kuwatoa ndugu zako wa Dodoma kwenye ufukara uliotukuka..
Wala haitamsadia bibi yako aliyeko Manyoni na Babu yako wa Simiyu kunywa maji kwenye bwawa ambalo punda na ng'ombe huoga.. Mkuu hii haitasaidia mamako kule Ileje na Itigi kutembea kilomita 10 kutafuta maji, kilomita 50 kutafuta kituo cha afya na siku nzima kukesha msituni akitafuta kuni za kuchemshia uji wa chumvi..
Mkuu sie wazee wetu kule milimani hayo walishaachana nayo tangia miaka ya 50's, 60's.. Barabara safi, Umeme na Maji yalikuwako huko tangia miaka hiyo.. Wazee wetu kule kijijini sasa wanatumia gesi kupikia vyakula vyao..
Mkuu hasira zako na Wakaskazini ungeziamishia kwenye kutatua kero kijijini kwako wamama wenye macho mekundu na albino wasingeuwawa huko Usukumani kwenu..
And In case you didn't know.. Maeneo hayo ndiyo huwa tunatuliaga tukipata vinywaji murua kabisa na hali ya hewa ya kuvutia kule Machame angali wewe huko Geita unahangaika na magwangwala..
Protea Hotel - Machame kijijini
Sallinero Millie Lodge - Machame Kijijini
Kaliwa Lodge - Machame Mgombani
Hamtakaa muiweze Kaskazini, sisi ndugu zetu ni Wakenya sio nyinyi lelemama mnaofanya hii nchi iendelee kutawaliwa na watu wanaojua kusoma na kuandika tu..