Arusha: Stendi ya mabasi ya mikoani inapogeuzwa kuwa soko, pamoja na kituo cha kufanyia biashara haramu

Pale stend pagumu sana

Wapiga debe wanalala hapo na kujisaidia humo

Usiku kweli kunauzwa pussy zile za fasta fasta!! Kuna siku mornie kali nakakutana na vikaka poa ndo vinatoka doria

Stend ni ndogo sana kukidhi mahitaji ya abiria pamoja na parking

Zile bilion zilizokuwa zinasemwa za stend mpy ziliishia wapi enzi za mrisho gambo!??!!
 
we bwege una ushahidi au una chuki zako binafsi na mji wa Arusha? Pale kuna serikali na ulinzi masaa 24, biashara ni kwasababu ya uchangamfu wa mji na nafikiri ndio kilichokuuma maana huko kwenu kumepoa. Hayo mengine ni ya kwako binafsi we bladifackin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…