Arusha: Taa za barabarani🚥hazifanyi kazi muda sasa

Arusha: Taa za barabarani🚥hazifanyi kazi muda sasa

LA7

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
655
Reaction score
2,369
Ni ile njia kuu ya kati unakuta muda wowote inawaka taa ya njano pekee hali inayosababisha kuharibu utaratibu kwa watembea kwa miguu hasa wanaotoka Stendi Kuu kuelekea kupanda gari zinazoenda sehemu mbali mbali ndani ya jiji,

Mara nyingi wavuka kwa miguu ni wengi muda wowote hivyo huvuka baada tu ya dereva kuamua kusimama ila sio kwa kuongozwa na taa

Wahusika hamuoni hii hali ni hatari hasa kwa watembea kwa miguu?
 
Naunga mkono hoja.
Wahusika wamelala fofofofofofofooooooo!!!
Na mishahara wanakula kazi hawafanyi.
 
Back
Top Bottom