Mkalukungone mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 862
- 1,755
Utakuwa mchawi chiefHata hivyo hilo tamasha limeandaliwa na uk embassy, bashite Yuko kama chambo TU
Mwijaku na Baba levo hawana land rover?
KumbeeeHata hivyo hilo tamasha limeandaliwa na uk embassy, bashite Yuko kama chambo TU
Ningekuletea mpaka ushahidi sema sitaki Ugomvi na watu,Utakuwa mchawi chief
Inauma kuona mtu usiyempenda akifanikiwa.Ningekuletea mpaka ushahidi sema sitaki Ugomvi na watu,
Vipi mauzo ya the state?Kuna mtu mpuuzi hapo ARUSHA anaitwa BASHITE . Kwake huu ni ubunifu mkubwa
UtaliiDhumuni ni nini au lipi kwenye hili?
kama tamasha limeandaliwa na UK embassy, basi wamefanya jambo jema sana na bashite hatuwezi kuondoka bila kumpa maua yake. that means soon tutaliona BBC na CNN.Hata hivyo hilo tamasha limeandaliwa na uk embassy, bashite Yuko kama chambo TU
Kwenye Utalii gari zinazotumika nying ni Land Cruiser. Hii ya Makonda hata sikufahamu malengu yake hasa yalikuwa nini, mara mwalimu nyerere memorial wewe unasema utalii.Utalii