Arusha: Wafanyabiashara wa maduka watishia kuandama, wafunga maduka

Arusha: Wafanyabiashara wa maduka watishia kuandama, wafunga maduka

Bushmamy

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2019
Posts
9,140
Reaction score
15,963
Wafanyabiashara wa maduka jijini Arusha wafunga maduka yao na kuitisha kikao cha dharura kutaka kuandamana baada ya kuambiwa na jiji kuwa hakuna ruhusa ya kutoa (kudisplay) bidhaa zao nje ya maduka yao bali ni ndani ya maduka tu. Hakuna ruhusa ya Kutoa hata mdoli wa nguo nje au pochi nje ya maduka yao, Yani samples

Hadi muda huu maduka yamefungwa yote
DSC_0871.JPG
I
 
Niko hapa sasa hivi kwenye kababy walker changu Toyota yaris navizia shift ya nne kwenda kudeliver msosi. Hadi na maliza saa sita usiku nataka nifanye shift siyo chini ya 30. Shift mmoja ni kama elfu 15-20 hivi za bongo.

Hao ndio wanasiasa wa Denmark wanatuwekea mazingira Mazur ya kupiga hela kihalali kwa kufanya kazi licha ya kutupiga kodi kubwa. Yenyewe yanaendeshaga baiskeli tu tunapishanaga nayo mtaani na sokoni na supermarket. Viwili tu yamepungukiwa ni hayaendagi kanisani na ishu ya ushoga. Isingekuwa hivyo yangekuwa PERFECT!
 
Sababu kubwa ya kuwazuia nini hii nchi kuna vitu viongoz wanafanya havina tija
 
Sasa kama wewe ni mfanyabiashara na una fremu ya biashara yako sababu ya wewe kuweka biashara yako nje ya fremu ni nini?

Alafu watu wa arusha bwana! Ujue kuweka mgomo ni sawa na kususa, Sasa unamsusia nani na kazi ni yako mwenyewe? Yani unasusa kutafuta ugali?
 
Wafanyabiashara wa maduka jijini Arusha wafunga maduka yao na kuitisha kikao cha dharura kutaka kuandamana baada ya kuambiwa na jiji kuwa hakuna ruhusa ya kutoa (kudisplay) bidhaa zao nje ya maduka yao bali ni ndani ya maduka tu. Hakuna ruhusa ya Kutoa hata mdoli wa nguo nje au pochi nje ya maduka yao..

Hadi muda huu maduka yamefungwa yoteView attachment 2002913I
Wanatakiwa wazijue kanuni za jiji kuhusu maduka ya biashara au wawaulize babu zao.
 
Maduka mengi hasa yaliyopo eneo la stend ndogo wana bidhaa nyingi kiasi kwamba hata ndani ya duka tuu hazienei. Usiku anafunika na turubali asubuh anafungua anaendelea kuuza hapo hapo barazani. Sasa kuwazuia hili litakuwa pigo kubwa sana kwao kwa upande wa serikali itaongeza kodi na ushuru maana atatakiwa kuongeza duka kama ana bidhaa ambazo hazitoshei ndani ya fremu yake. Serikali ingeliangalia hili upya waruhusiwe kuweka barazani tuu ila sio wale wa stend ndogo wanaweka mpaka barabarani. Na kama baraza ipo karibu sana na barabara basi wasiruhusiwe kabisa.
 
Maduka mengi hasa yaliyopo eneo la stend ndogo wana bidhaa nyingi kiasi kwamba hata ndani ya duka tuu hazienei. Usiku anafunika na turubali asubuh anafungua anaendelea kuuza hapo hapo barazani. Sasa kuwazuia hili litakuwa pigo kubwa sana kwao kwa upande wa serikali itaongeza kodi na ushuru maana atatakiwa kuongeza duka kama ana bidhaa ambazo hazitoshei ndani ya fremu yake. Serikali ingeliangalia hili upya waruhusiwe kuweka barazani tuu ila sio wale wa stend ndogo wanaweka mpaka barabarani. Na kama baraza ipo karibu sana na barabara basi wasiruhusiwe kabisa.
Waache longo longo, waweke bidhaa zao ndani, zinazo zidi waweke kwa stoo or waongeze fremu. Mbona Mini na Supermarkets wanauza bila ya kuweka sample nje..?? Analetaje bidhaa nyingi kuzidi space aliyonayo ya kuuzia..? Washikishwe adabu hao, wasiturudishe nyuma tena.
 
Niko hapa sasa hivi kwenye kababy walker changu Toyota yaris navizia shift ya nne kwenda kudeliver msosi. Hadi na maliza saa sita usiku nataka nifanye shift siyo chini ya 30. Shift mmoja ni kama elfu 15-20 hivi za bongo.

Hao ndio wanasiasa wa Denmark wanatuwekea mazingira Mazur ya kupiga hela kihalali kwa kufanya kazi licha ya kutupiga kodi kubwa. Yenyewe yanaendeshaga baiskeli tu tunapishanaga nayo mtaani na sokoni na supermarket. Viwili tu yamepungukiwa ni hayaendagi kanisani na ishu ya ushoga. Isingekuwa hivyo yangekuwa PERFECT!
Halafu kuna Nguruwe zipo Humu zinasema Bongo ni sawa na Europe.

Huwa nacheka sana.
 
Back
Top Bottom