Dah kwamba watatisha wataliiAcha mkome,Arusha ndiyo kitovu cha sias pinzani na walieneza maneno kwa hayati JPM kua ni dikteta hafai,naye akawa anawaambia kila mfanya biashara awe huru,wao wakaendelea kupaza sauti za kishenzi..nasema hivi acha wakome pumbavu,tena ikibidi wawe wanafungua kidirisha tu ili wasitishe tishe watalii