Arusha: Wafanyabiashara wa maduka watishia kuandama, wafunga maduka

Arusha: Wafanyabiashara wa maduka watishia kuandama, wafunga maduka

Niko hapa sasa hivi kwenye kababy walker changu Toyota yaris navizia shift ya nne kwenda kudeliver msosi. Hadi na maliza saa sita usiku nataka nifanye shift siyo chini ya 30. Shift mmoja ni kama elfu 15-20 hivi za bongo.

Hao ndio wanasiasa wa Denmark wanatuwekea mazingira Mazur ya kupiga hela kihalali kwa kufanya kazi licha ya kutupiga kodi kubwa. Yenyewe yanaendeshaga baiskeli tu tunapishanaga nayo mtaani na sokoni na supermarket. Viwili tu yamepungukiwa ni hayaendagi kanisani na ishu ya ushoga. Isingekuwa hivyo yangekuwa PERFECT!
Ukiona hivyo kuna kitu yanajua.

#MaendeleoHayanaChama
 
Niko hapa sasa hivi kwenye kababy walker changu Toyota yaris navizia shift ya nne kwenda kudeliver msosi. Hadi na maliza saa sita usiku nataka nifanye shift siyo chini ya 30. Shift mmoja ni kama elfu 15-20 hivi za bongo.

Hao ndio wanasiasa wa Denmark wanatuwekea mazingira Mazur ya kupiga hela kihalali kwa kufanya kazi licha ya kutupiga kodi kubwa. Yenyewe yanaendeshaga baiskeli tu tunapishanaga nayo mtaani na sokoni na supermarket. Viwili tu yamepungukiwa ni hayaendagi kanisani na ishu ya ushoga. Isingekuwa hivyo yangekuwa PERFECT!
Babu christianiaa bado pako alive

Ova
 
Maduka mengi hasa yaliyopo eneo la stend ndogo wana bidhaa nyingi kiasi kwamba hata ndani ya duka tuu hazienei. Usiku anafunika na turubali asubuh anafungua anaendelea kuuza hapo hapo barazani. Sasa kuwazuia hili litakuwa pigo kubwa sana kwao kwa upande wa serikali itaongeza kodi na ushuru maana atatakiwa kuongeza duka kama ana bidhaa ambazo hazitoshei ndani ya fremu yake. Serikali ingeliangalia hili upya waruhusiwe kuweka barazani tuu ila sio wale wa stend ndogo wanaweka mpaka barabarani. Na kama baraza ipo karibu sana na barabara basi wasiruhusiwe kabisa.

Wanapaswa kuwa na store ndogo mahala...issue ni wao kuziba miundombino kama mitaro na barabara za waenda kwa miguu...
 
Sasa kama wewe ni mfanyabiashara na una fremu ya biashara yako sababu ya wewe kuweka biashara yako nje ya fremu ni nini?

Alafu watu wa arusha bwana! Ujue kuweka mgomo ni sawa na kususa, Sasa unamsusia nani na kazi ni yako mwenyewe? Yani unasusa kutafuta ugali?
Unamsusia Mama wali na mapaja ya jogoo?! Ngoja aondoe sinia.
 
Wafanyabiashara wa maduka jijini Arusha wafunga maduka yao na kuitisha kikao cha dharura kutaka kuandamana baada ya kuambiwa na jiji kuwa hakuna ruhusa ya kutoa (kudisplay) bidhaa zao nje ya maduka yao bali ni ndani ya maduka tu. Hakuna ruhusa ya Kutoa hata mdoli wa nguo nje au pochi nje ya maduka yao, Yani samples

Hadi muda huu maduka yamefungwa yoteView attachment 2002913I
Viongozi ubongo tope
 
Hapa ndio tulikuwa tunapataka, ifahamike maeneo yote ya public ni public kama unataka kutumia lazima uonyeshwe njia bora ya kutumia, halmashauri au jiji wanaweza kuangalia athari za bidhaa zako na kukukodishia baadhi ya eneo na kulipia kwa mita za mraba!! Sioni sababu ya kulalamika wakubaliani gharama kwa mita ya mraba!! Vivyo hivyo kwa dar watu wamezuia mfumo wa watembea kwa miguu kwa kuweka generators na bidhaa nje ya maduka yao bila kulipia sehemu husika hii sio sawa
 
Maduka mengi hasa yaliyopo eneo la stend ndogo wana bidhaa nyingi kiasi kwamba hata ndani ya duka tuu hazienei. Usiku anafunika na turubali asubuh anafungua anaendelea kuuza hapo hapo barazani. Sasa kuwazuia hili litakuwa pigo kubwa sana kwao kwa upande wa serikali itaongeza kodi na ushuru maana atatakiwa kuongeza duka kama ana bidhaa ambazo hazitoshei ndani ya fremu yake. Serikali ingeliangalia hili upya waruhusiwe kuweka barazani tuu ila sio wale wa stend ndogo wanaweka mpaka barabarani. Na kama baraza ipo karibu sana na barabara basi wasiruhusiwe kabisa.
Nyumbani pangu ipo stoo, nyumbani pake mfanyabiashara ipo stoo, sasa inakuwaje dukani hana stoo! Utetezi usio na mshiko.
 
Sasa kama wewe ni mfanyabiashara na una fremu ya biashara yako sababu ya wewe kuweka biashara yako nje ya fremu ni nini?

Alafu watu wa arusha bwana! Ujue kuweka mgomo ni sawa na kususa, Sasa unamsusia nani na kazi ni yako mwenyewe? Yani unasusa kutafuta ugali?
Hauna uelewa na biashara, wanao elewa wanaweka sample nje na wanapo zuiliwa wanaandamana.
 
Wasuse ili wasiuze. Wajinga sana hawa. Mikoa ya Dodoma na Dar iige kinachofanyika Arusha.
 
View attachment 2002914wafanyabiashara wa maduka wakiwa na Kikao cha dharura
Acha mkome,Arusha ndiyo kitovu cha sias pinzani na walieneza maneno kwa hayati JPM kua ni dikteta hafai,naye akawa anawaambia kila mfanya biashara awe huru,wao wakaendelea kupaza sauti za kishenzi..nasema hivi acha wakome pumbavu,tena ikibidi wawe wanafungua kidirisha tu ili wasitishe tishe watalii
 
Wafanyabiashara wa maduka jijini Arusha wafunga maduka yao na kuitisha kikao cha dharura kutaka kuandamana baada ya kuambiwa na jiji kuwa hakuna ruhusa ya kutoa (kudisplay) bidhaa zao nje ya maduka yao bali ni ndani ya maduka tu. Hakuna ruhusa ya Kutoa hata mdoli wa nguo nje au pochi nje ya maduka yao, Yani samples

Hadi muda huu maduka yamefungwa yoteView attachment 2002913I
Laana ya wamachinga inaanza taaratibu .Dah tulizoea ukitaka shati za mtumba ni kwa wadada na wamama flani hivi maeneo ya karibu na stendi ndogo lakini sasa hawapo tena. 😒Huko walikohamia mpaka tuzoee ni 2022..
 
Wafanyabiashara wa maduka jijini Arusha wafunga maduka yao na kuitisha kikao cha dharura kutaka kuandamana baada ya kuambiwa na jiji kuwa hakuna ruhusa ya kutoa (kudisplay) bidhaa zao nje ya maduka yao bali ni ndani ya maduka tu. Hakuna ruhusa ya Kutoa hata mdoli wa nguo nje au pochi nje ya maduka yao, Yani samples

Hadi muda huu maduka yamefungwa yoteView attachment 2002913I
Nimepita samunge kwa wale wamama wa mbogamboga nimekuta nao wametolewa dah😒😒
 
Back
Top Bottom