ARUSHA wamejitofautisha na Mikoa Mingine kuhusu LODGE-Wifi

ARUSHA wamejitofautisha na Mikoa Mingine kuhusu LODGE-Wifi

bulabo

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
628
Reaction score
780
Katika pita pita zangu mikoa mbali mbali hapa Tanzania, ARUSHA wamejitofautisha sana na mikoa mingine mingi hapa nchini kwa sbb hotel au lodge ya kawaida tu wana service ya Wifi kitu ambacho huwezi kukipata mikoa mingine hapa nchini.
Kwa hili Arusha niwape maua yenu, Mikoa mingine igeni basi lodge ya 40,000 au 30,000 haina wifi kwa mikoa mingi. DUnia ya sasa ni teknolojia na habari zote unazipata kupita mitandao ya kijamii. Tokeni huko mliko
 
Na pia nyingi ya hizo wana huduma ya kifungua kinywa. Mikoa mingine unalala sehemu nzuri ila habari ya chai asubuhi ni mpaka uweke order. Arusha ukiamka tu meza imechafuka mapochopocho ni wewe na hela yako, sometimes gharama zinakuwa kwenye package.
 
Arusha ni mji wa kitalii, una wageni wengi kutoka nje ya nchi
Yeah!....wanajitahidi sana
Na pia nyingi ya hizo wana huduma ya kifungua kinywa. Mikoa mingine unalala sehemu nzuri ila habari ya chai asubuhi ni mpaka uweke order. Arusha ukiamka tu meza imechafuka mapochopocho ni wewe na hela yako, sometimes gharama zinakuwa kwenye package.
 
Katika pita pita zangu mikoa mbali mbali hapa Tanzania, ARUSHA wamejitofautisha sana na mikoa mingine mingi hapa nchini kwa sbb hotel au lodge ya kawaida tu wana service ya Wifi kitu ambacho huwezi kukipata mikoa mingine hapa nchini.
Kwa hili Arusha niwape maua yenu, Mikoa mingine igeni basi lodge ya 40,000 au 30,000 haina wifi kwa mikoa mingi. DUnia ya sasa ni teknolojia na habari zote unazipata kupita mitandao ya kijamii. Tokeni huko mliko

Unawalaumu bure, Arusha Ttcl internet ime cover sehemu kubwa na ni cheap, ni rahisi kuweka Wi-Fi!
 
Katika pita pita zangu mikoa mbali mbali hapa Tanzania, ARUSHA wamejitofautisha sana na mikoa mingine mingi hapa nchini kwa sbb hotel au lodge ya kawaida tu wana service ya Wifi kitu ambacho huwezi kukipata mikoa mingine hapa nchini.
Kwa hili Arusha niwape maua yenu, Mikoa mingine igeni basi lodge ya 40,000 au 30,000 haina wifi kwa mikoa mingi. DUnia ya sasa ni teknolojia na habari zote unazipata kupita mitandao ya kijamii. Tokeni huko mliko
Umepita mikoa mingapi we boya... Mi niko bar hapa natumia wifi ya bar bure...
Punguzeni pompo
 
Jambo zuri ukizingatia wageni ni wengi
 
Katika pita pita zangu mikoa mbali mbali hapa Tanzania, ARUSHA wamejitofautisha sana na mikoa mingine mingi hapa nchini kwa sbb hotel au lodge ya kawaida tu wana service ya Wifi kitu ambacho huwezi kukipata mikoa mingine hapa nchini.
Kwa hili Arusha niwape maua yenu, Mikoa mingine igeni basi lodge ya 40,000 au 30,000 haina wifi kwa mikoa mingi. DUnia ya sasa ni teknolojia na habari zote unazipata kupita mitandao ya kijamii. Tokeni huko mliko
Hapo wabongo wataenda kuangalia porn tuu.
 
Back
Top Bottom