Arusha: Watoto wawili watuhumiwa kumlawiti mdogo wao baada ya baba na mama kuikimbia familia

hYo siyo dawa ya kutatua haya matatizo
 
Hayo majamaa mashenz kwel,yaan hayana hata na huruma na mdogo wao,kwanza kwa umri wao huo walipokimbiwa na wazazi walitakiwa kuingia mtaan na kusaka kazi ili waendeleze maisha yao na kumtunza mdogo wao

iNawezekana hata yenyew yameshajikula yachunguzwe
 
Haya matukio yanatokea uswahilini zaidi na sio kwa watoto wa matajiri wanaoishinda kwenye mitanda na television.
 
Kamata mama, kamata baba tupa jela maisha....

Watoto wachukuliwe na kulelewa na serikali kupitia vituo vya kulelea yatima.

Serikali ianze kumilikia vituo vya malezi kwa kulea watoto wenye kesi kama hizi, kama tuna hela nyingi za kuiba kwanini tusijenge vituo speacial vya malezi..
 
Kuna mtu atakuja kusema kulea watoto kwa kuwadekeza ndio kunafanya wawe mashoga (akili za kimaskini sana hizi) akati data zinasugest mashoga wengi wanatokea kwenye mazingira magumu..........
 
Hao watoto huenda waliwaona wazazi wao wananyanduana.
Inasikitisha kwa kweli umasikini ni shiidaa kubwa sana.
Akina mama vikundi vya ajabu ajabu mara vikoba saccos uchwara ni janga katika jamii full stress.
 
Baba sishangai sana so as long as anatuma pesa za matumizi yote. Ila mama hapana.
 
Hio mitoto jela inaihusu daah nimeumia sana imemuangamiza mno mdogo wao
 
ifike mahala tuwe sasa jamhuri ianze kuhukumu hata wale wanaoshindwa malezi ya watoto na ikifikia hatua hiyo Serikali inawanyang'anya watoto na kwenda kuwalea kusikojulikana na kuwafunga wazazi maisha au kuwanyonga kabisa.

Mijinga ya namna hii ndio inaleta matatizo yasiyoisha kwenye jamii na kuifanya jamii kupambana na mikwamo kila uchwao.
 
Hao watoto huenda waliwaona wazazi wao wananyanduana.
Inasikitisha kwa kweli umasikini ni shiidaa kubwa sana.
Akina mama vikundi vya ajabu ajabu mara vikoba saccos uchwara ni janga katika jamii full stress.
Hao wala sio kwamba hawajui wanachokifanya,miaka 17 kama anasoma ni form three huko,itakuwa wanatumia makitu yao yale ya Arusha,wapewe kibano na kifungo washenzi sana
 
Miaka 17 na 15 sio watoto na wala kwa kigezo cha wazazi kutokuwepo hao watoto hawana ubinadamu inapaswa wait we either kwenye vyombo vya sheria/ustawi wakanywe
 
Kuna story nilisoma sehemu, matokeo yake alichapwa viboko kadhaa Basi mbakaji alikuwa na umri miaka 17, wakati Kuna magereza ya watoto.
 
Watu kama hawa pamoja na umri wao ni kuwafunga kwenye nguzo na kuwapiga risasi hadharani..huu ni ukatili wa kiwango cha lami.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…