#COVID19 Arusha: Watumishi waliofanya igizo kwenye chanjo ya Corona wasimamishwa kazi

MR TOXIC

Senior Member
Joined
Jun 4, 2019
Posts
190
Reaction score
525
Taarifa kutoka ofisi ya Rais-Tamisemi jioni hii ni kwamba watumishi wawili ambao ni afisa elimu(msingi) na muuguzi msaidizi hospitali ya mkoa wa Arusha wachukuliwa hatua za kinidhamu baada ya video kuvuja wakifanya igizo la chanjo ya corona ambayo watanzania wengi hawaonyeshi kukubaliana nayo.

Pia soma > #COVID19 - Afisa Elimu Mkoa wa Arusha na Muuguzi waliofanya maigizo ya chanjo wasimamishwe kazi mara moja

Soma taarifa kamili kwa chini




Barua ya Muuguzi Scolastica kusimamishwa kazi


Your browser is not able to display this video.


PIA, SOMA:
- Arusha: Aliyesimamishwa kwa mzaha wa chanjo ashangazwa na hatua dhidi yake
 
Ongeza na ile nyingine. Hii hapa. CCM wqnafanya maigizo sana



 
Hao wajinga walidhamiria kufanya hilo igizo ili kuwaaminisha wananchi wanaosema wamechanjwa sio wakweli, naunga mkono achukuliwe hatua za kinidhamu huyo muuguzi ana akili ndogo sana.

Update.

Utetezi alioutoa huyo Afisa Elimu umenifanya nitake apewe nafasi ya kujitetea kabla hajahukumiwa, kwa umri wake nikimuangalia anaonekana mtu mzima sana, kufanya ule utoto unaoonekana kwenye ile video napata shaka, zaidi anasema ile video imechezewa na chanjo alishachanja na ushahidi anao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…