Sweet16
JF-Expert Member
- Mar 10, 2014
- 5,314
- 9,215
Mbona wote ni watumishi kwann awajibishwe mmoja? Alafu waliigiza kitotoNdiye huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wote ni watumishi kwann awajibishwe mmoja? Alafu waliigiza kitotoNdiye huyu
Sasa kama alikuwa hana nia ya kupata chanjo alienda kufanya nini na video wanachukua? Kati ya watu wataomuona bonge la fala ni mkeweAcha aliwe kichwa tu maana kwa vodea of good conducts
Angekuwa Serikalini hachomoki but she did for the good will of promoting the so called "chanjo"
Hata DEO "ONYO" litamuhusuView attachment 1883102
Alikuwa anasaka "kutambulika zaidi" maisha kujipendekeza bwana !!!!!!Sasa kama alikuwa hana nia ya kupata chanjo alienda kufanya nini na video wanachukua? Kati ya watu wataomuona bonge la fala ni mkewe
Sasa ametambulika kwa kujipea fedheha yuAlikuwa anasaka "kutambulika zaidi" maisha kujipendekeza bwana !!!!!!
Ulimbukeni wa mitandaoSasa kama alikuwa hana nia ya kupata chanjo alienda kufanya nini na video wanachukua? Kati ya watu wataomuona bonge la fala ni mkewe
Umalaya wenu unasura nyingi Sana na mnazionyesha mnapomuwaza Tundu Mwanaume Antipas Mughway LissuCHADEMA waanzishee movement ya kuwatetea hawa jamaa haraka iwezekanavyo na iongozwe na mbelgiji wa ikungi...
Yaan unajiuliza mara mbili mbili kilichomtuma ni nn kufanya ivo unashindwa kuendelea 😀😀😀😀Ulimbukeni wa mitandao
Dahh... Mzaha mzahaa....Taarifa kutoka ofisi ya Rais-Tamisemi jioni hii ni kwamba watumishi wawili ambao ni afisa elimu(msingi) na muuguzi msaidizi hospitali ya mkoa wa Arusha wachukuliwa hatua za kinidhamu baada ya video kuvuja wakifanya igizo la chanjo ya corona ambayo watanzania wengi hawaonyeshi kukubaliana nayo.
Pia soma > #COVID19 - Afisa Elimu Mkoa wa Arusha na Muuguzi waliofanya maigizo ya chanjo wasimamishwe kazi mara moja
Soma taarifa kamili kwa chini
View attachment 1882948
Barua ya Muuguzi Scolastica kusimamishwa kazi
View attachment 1882988
View attachment 1882971
Weeee? Kwahiyo sikuhuzi anascore A TU kila pepaYaani Polepole siku hizi amekua na akili huwezi kuamini
muuguzi wa mwendokasi huyu...fala sanaHao wajinga walidhamiria kufanya hilo igizo ili kuwaaminisha wananchi wanaosema wamechanjwa sio wakweli, naunga mkono achukuliwe hatua za kinidhamu huyo muuguzi ana akili ndogo sana.
Kwa hiyo wewe unaamini kuwa chanjo SIO ya muhimu...Sasa mnaokataa leteni basi ya kwenu itusaidie?Kwani weupe wakitaka kukuhujumu lazima wapitie chanjo?Mitumba tu tunayovaa ni yao mosquito net tulipewa hapa za kutosha!!! Speed zenu za nyungu zimekwama waafrika bure kelele za nini.Kuna tunachokielewa Sisi tuitikie tu ndio afande acheni maigizo ya kupinga chanjo!!Na huu utafiti kuwa zina madhara mlifanyia wapi?Kwenye maabara ya nyungu....MAMA SAMIA KAMATA WOTE WANAODHOOFISHA JUHUDI ZA KUPAMBANA NA COVID 19. Loo! nachukia sana hizo propaganda za mitandaoni kwa sababu zinaharibu jamii.Leo hii kuna sehemu watoto wakiona gari ya chanjo za watoto chini ya MIAKA 5 wanakimbia.Tutumie mitandao kwa faida! Lakini SIO kwa upuuzi huu!!!Hilo igizo lingefanikiwa hakika walimu wangeshughulikiwa ipasavyo. "Kama afisa wako kachanjwa wewe ni nani uingie darasani hujachanjwa... " Na walimu walivyo na utii mamboleo !!