Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Utumishi wa Umma Wa TAnzania ni Utumwa....
Balaza la Wauguzi limekuwa kimya wanachama wake wakihudumia wagonjwa wa covid-19 bil vifaa vya kujikinga ila kwenye kutoa matamko wanaibuka kwa speed ya 4G.
Pumbavu zenu TNMC mnakula hela zetu za Leseni bure, ipo siku yenu!
Balaza la Wauguzi limekuwa kimya wanachama wake wakihudumia wagonjwa wa covid-19 bil vifaa vya kujikinga ila kwenye kutoa matamko wanaibuka kwa speed ya 4G.
Pumbavu zenu TNMC mnakula hela zetu za Leseni bure, ipo siku yenu!