#COVID19 Arusha: Watumishi waliofanya igizo kwenye chanjo ya Corona wasimamishwa kazi

#COVID19 Arusha: Watumishi waliofanya igizo kwenye chanjo ya Corona wasimamishwa kazi

Ushauri:Serikali ya Samia Na viongozi wake wote wapitishwe pale THT kubrashiwa kidogo
 
Siamini kama wanaweza tu kuamua kuigiza from no where,ivi ni kweli kuwa hawakuwa wanafikiri matokeo hasi kwa walichokuwa wanafanya?Badala ya mamlaka husika kuishia hapo kwa hatua walizozichukua kungekuwa na namna ya kufahamu motive(lengo)la wao kufanya hivyo na kuliweka wazi.Tukumbuke hao wote wawili ni watu wenye elimu ya kiwango fulani Cha kuitwa Afisa elimu na Muuguzi.Ivi kama tunashuhudia haya mapema hivi tena kwa watu wa aina hii,vipi kuhusu kwa watu wa kawaida kabisa kuhusu uelewa na mitazamo yao baada ya kuona video clip hii.Naunga mkono Serekali mna cha kujifunza kupitia hili.
 
kitendo cha kuwachukulia hatua muuguzi na Afisa elimu Arusha nimefurahi kidogo

hongera sana baraza la Wauguzi na wakunga

hongera sana wizara ya Afya

hongera sana OR Tamisemi

lakini kiukweli sijaridhishwa kabisa na hatua zilizochukuliwa

ilitakiwa hawa watu kwanza wawekwe ndani kwa saa 48,

kisha wafukuzwe kazi kabisa sio kusimamishwa,

mambo serious wao wanaleta mizaha ya kijinga,

serikali na wizara wanajitahidi kuelimisha Raia wake ili tupone na janga hili la dunia halafu wapuuzi wachache wanaleta ujinga, ni dharau dhidi ya Rais au?


hawa watu wawekwe ndani mara moja
 
kitendo cha kuwachukulia hatua muuguzi na Afisa elimu Arusha nimefurahi kidogo

hongera sana baraza la Wauguzi na wakunga

hongera sana wizara ya Afya

hongera sana OR Tamisemi

lakini kiukweli sijaridhishwa kabisa na hatua zilizochukuliwa

ilitakiwa hawa watu kwanza wawekwe ndani kwa saa 48,

kisha wafukuzwe kazi kabisa sio kusimamishwa,

mambo serious wao wanaleta mizaha ya kijinga,

serikali na wizara wanajitahidi kuelimisha Raia wake ili tupone na janga hili la dunia halafu wapuuzi wachache wanaleta ujinga, ni dharau dhidi ya Rais au?


hawa watu wawekwe ndani mara moja
kitendo cha kuwachukulia hatua muuguzi na Afisa elimu Arusha nimefurahi kidogo

hongera sana baraza la Wauguzi na wakunga

hongera sana wizara ya Afya

hongera sana OR Tamisemi

lakini kiukweli sijaridhishwa kabisa na hatua zilizochukuliwa

ilitakiwa hawa watu kwanza wawekwe ndani kwa saa 48,

kisha wafukuzwe kazi kabisa sio kusimamishwa,

mambo serious wao wanaleta mizaha ya kijinga,

serikali na wizara wanajitahidi kuelimisha Raia wake ili tupone na janga hili la dunia halafu wapuuzi wachache wanaleta ujinga, ni dharau dhidi ya Rais au?


hawa watu wawekwe ndani mara moja
Hujui unachokiongea.Hawa watu wanajua athari za hiyo,chanjo ndio maana wanafanya hivyo.Kimsingi ni kwamba wanapenda kazi zao,lakini pia hawapendi kuchanja.It is an extremely hard choice to make.
 

images (21).jpeg
Huyu na wenzake tuwachukulie hatua gani kwa mizaha waliyofanya na watu wengi kupoteza maisha hasa miezi ya January na February?

Hawa walijua upande na njia zipi ni sahihi na wakabaki kufuata njia isiyo sahihi..

Hawa adhabu yao na wataaluma wengine kama Kigwangalla waliosomeshwa kwa pesa za umma ila wakaja kuidhalilisha fani tuwape adhabu gani?
 
View attachment 1883773
View attachment 1883774Huyu na wenzake tuwachukulie hatua gani kwa mizaha waliyofanya na watu wengi kupoteza maisha hasa miezi ya January na February?

Hawa walijua upande na njia zipi ni sahihi na wakabaki kufuata njia iliyo sahihi..

Hawa adhabu yao na wataaluma wengine kama Kigwangalla waliosomeshwa kwa pesa za umma ila wakaja kuidhalilisha fani tuwape adhabu gani?
hawa walishauri watu watumie njia asilia, wakati huo chanjo haijawa distributed duniani, ulitaka wafanyeje, ?
 
View attachment 1883773
View attachment 1883774Huyu na wenzake tuwachukulie hatua gani kwa mizaha waliyofanya na watu wengi kupoteza maisha hasa miezi ya January na February?

Hawa walijua upande na njia zipi ni sahihi na wakabaki kufuata njia iliyo sahihi..

Hawa adhabu yao na wataaluma wengine kama Kigwangalla waliosomeshwa kwa pesa za umma ila wakaja kuidhalilisha fani tuwape adhabu gani?
Duh amakweli kuwa uyaone.
 
kitendo cha kuwachukulia hatua muuguzi na Afisa elimu Arusha nimefurahi kidogo

hongera sana baraza la Wauguzi na wakunga

hongera sana wizara ya Afya

hongera sana OR Tamisemi

lakini kiukweli sijaridhishwa kabisa na hatua zilizochukuliwa

ilitakiwa hawa watu kwanza wawekwe ndani kwa saa 48,

kisha wafukuzwe kazi kabisa sio kusimamishwa,

mambo serious wao wanaleta mizaha ya kijinga,

serikali na wizara wanajitahidi kuelimisha Raia wake ili tupone na janga hili la dunia halafu wapuuzi wachache wanaleta ujinga, ni dharau dhidi ya Rais au?


hawa watu wawekwe ndani mara moja
Serikali ipi inayojitahidi na waziri yupi Gwajima?.....hahahaha utakuwa umechanganyikiwa bwashee
 
huoni kwamba wewe ndiye hujui unachoongea? halafu acha wehu
Unapo ongea with facts,bila facts unaonekana mjinga.Wakati Ulaya wanaandamana kupinga chanjo, ninyi mnaunga mkono chanjo,very stupid indeed.Angalia attachements zifuatazo labda utazinduka.







IMG-20210804-WA0000.jpg
 

Attachments

  • VID-20210729-WA0001.mp4
    40.3 MB
  • VID-20210723-WA0002.mp4
    6 MB
  • VID-20210729-WA0002.mp4
    7.7 MB
Mpaka sasa nashindwa kuamini kama hawa watu walifanya lile igizo kwa utashi wao tu, bali nahisi huenda walitumwa na kama sio kutumwa, basi watakuwa wameponzwa na ukada wakisaka uteuzi
kwa kumfutahisha Mwenyekiti au ni Maafisa Vipenyo waliokoesa kazi waliyotakiwa kuifanya.

Mambo mengine hayaingii akilini.
 
Hao wajinga walidhamiria kufanya hilo igizo ili kuwaaminisha wananchi wanaosema wamechanjwa sio wakweli, naunga mkono achukuliwe hatua za kinidhamu huyo muuguzi ana akili ndogo sana.

Update.

Utetezi alioutoa huyo Afisa Elimu umenifanya nitake apewe nafasi ya kujitetea kabla hajahukumiwa, kwa umri wake nikimuangalia anaonekana mtu mzima sana, kufanya ule utoto unaoonekana kwenye ile video napata shaka, zaidi anasema ile video imechezewa na chanjo alishachanja na ushahidi anao.
Ila watu wengine akili zao! Kulikuwa na umuhimu gani wa kurekodi na kusambaza?
 
Back
Top Bottom