Sasa yule afisa alimrubuni au ilikuwaje? Na huyo afisa atafanywa nini ? Wote walifanya Jambo la ovyo na kuleta picha mbaya kwa jamii!Semina za mara kwa mara ni muhimu,ili kukumbushia wajibu wa wafanyakazi.
Kwa jinsi nilivyosikiliza hiyo clip, wahusika wakidai haki zao hawaweza kufukuzwa. Yaani hakuna ushahidi usiotia shaka, so ni usumbufu tu wanawapa.Ndiye huyu
Kaitizame tena ni kuwa huyo Nurse hakumchoma sindano yoyote huyo Afisa Elimu na bado waliibeza Serikali na chanjo ya UVIKO hasa pale anapokosea tarehe au kuulizia cheti kwani haukuwa hivyo huo utaratibu nzima. Huwezi toka utokake ukaigize uongo Serikalini kwani Chanjo ni hiari asingewabeza waliochanjwaHapa bado sijaelewa vizuri taarifa haijakamilika baada ya kumaliza hilo zoezi alimpa cheti?na kama alituma mtandaoni kuna maneno yoyote ya uchochezi aliyaandika?Kama jibu ni hapana sioni kosa hapo
HakikaMkuu Chuga kuna rasilimali nyingi ilitakiwa zizungushiwe ukuta...
yaani hao CHADEMA piga ndani wote, mpaka wakumbuke kile kipigo cha mbwakoko hapa Arusha wakati wa Ndesa na mke wa SlaaCHADEMA waanzishee movement ya kuwatetea hawa jamaa haraka iwezekanavyo na iongozwe na mbelgiji wa ikungi...
yaani hao CHADEMA piga ndani wote, mpaka wakumbuke kile kipigo cha mbwakoko hapa Arusha wakati wa Ndesa na mke wa Slaa
hawana adabu kabisa sisi tunazungumzia uchanjaji wao wanaleta ugaidi
Mbona kipindi cha Mwendazake jamaa wa Ikungi alikimbia Nchi bila kukimbizwa?
Siku yaki kukuta utakuja kufuta huu ujingaCHADEMA waanzishee movement ya kuwatetea hawa jamaa haraka iwezekanavyo na iongozwe na mbelgiji wa ikungi...
Ndio maana unapokuwa sehemu ya kutafutia chakula kuwa makin na watu kila mudaALIYEWAREKODI NI BONGE YA SNITCH.
Hilo igizo lingefanikiwa hakika walimu wangeshughulikiwa ipasavyo. "Kama afisa wako kachanjwa wewe ni nani uingie darasani hujachanjwa... " Na walimu walivyo na utii mamboleo !!Hao wajinga walidhamiria kufanya hilo igizo ili kuwaaminisha wananchi wanaosema wamechanjwa sio wakweli, naunga mkono achukuliwe hatua za kinidhamu huyo muuguzi ana akili ndogo sana.