TANZIA Arusha Wing tumepata msiba wa mwenzetu Freetown

TANZIA Arusha Wing tumepata msiba wa mwenzetu Freetown

Preta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
24,320
Reaction score
18,852
Kwa masikitiko makubwa tunapenda kuwajulisha members wote kuwa, mwenzetu Freetown hatunae tena,ametwaliwa kutoka kwenye ulimwengu huu.

Kwa members wa zamani, nadhani mtakuwa mnaifahamu hii ID vizuri.

Kwa wale tuliofanikiwa kusafiri pamoja kuelekea Tarangire kipindi kile, niwape pole sana kwa msiba huu.

Member mwenzetu PakaJimmy atakuja kutupa habari kamili kama alivyozipokea.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.

Apumzike kwa amani......Amen

Nilipigiwa simu jana alfajiri na Jamaangu anayeishi eneo la UsaRiver akaniambia kuwa wako Kilimanjaro International Airport muda wa saa 1.00

Akaniambia kuwa wamefika hapo kuupokea mwili wa Rafiki yetu Freetown ambao umeletwa na Ndege ya Emirates.

Freetown alikuwa mfanyakazi wa UN na alikuwa akiishi Pakistan na kufanyia kazi huko kwa muda mrefu

Taarifa zinasema kuwa Freetown alifariki katikati ya mwezi wa 6, na suala la kuusafirisha mwili wake kumrudisha nyumbani lilikuwa tata kutokana na hali ya usafiri wa ndege lilivyo kwa sasa.

Mwili wa Freetown ulisafirishwa hiyohiyo jana kuelekea kwao Mkoa wa Njombe

Mungu aiweke pema peponi roho ya mwenzetu Freetown.

Prishaz Lily Flower MwanajamiiOne SaHaRa Voice Ncha Derimto Maxence Melo Geoff Asprin Kaizer Filipo Blaki Womani Cantalisia IGWE LiverpoolFC marejesho Mzee wa Rula sweetlady
 
Kwa masikitiko makubwa tunapenda kuwajulisha members wote kuwa, mwenzetu Freetown hatunae tena,ametwaliwa kutoka kwenye ulimwengu huu.
Kwa members wa zamani, nadhani mtakuwa mnaifahamu hii ID vizuri.
Kwa wale tuliofanikiwa kusafiri pamoja kuelekea Tarangire kipindi kile, niwape pole sana kwa msiba huu.
Member mwenzetu PakaJimmy atakuja kutupa habari kamili kama alivyozipokea.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Apumzike kwa aman......Amen
Prishaz.....@Lily Flower@mwanajamiione@Sahara Voice@Ncha@Derimto@Maxence Melo@Geoff@Asprin@Kaizer
Apumzike kwa Amani.
 
Poleni sana Preta Mwenyezi Mungu aipumzishe roho ya marehemu mahali pema peponi 🙏🏽

Kwa masikitiko makubwa tunapenda kuwajulisha members wote kuwa, mwenzetu Freetown hatunae tena,ametwaliwa kutoka kwenye ulimwengu huu.
Kwa members wa zamani, nadhani mtakuwa mnaifahamu hii ID vizuri.
Kwa wale tuliofanikiwa kusafiri pamoja kuelekea Tarangire kipindi kile, niwape pole sana kwa msiba huu.
Member mwenzetu PakaJimmy atakuja kutupa habari kamili kama alivyozipokea.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Apumzike kwa aman......Amen
Prishaz.....@Lily Flower@mwanajamiione@Sahara Voice@Ncha@Derimto@Maxence Melo@Geoff@Asprin@Kaizer
 
Kwa masikitiko makubwa tunapenda kuwajulisha members wote kuwa, mwenzetu Freetown hatunae tena,ametwaliwa kutoka kwenye ulimwengu huu.
Kwa members wa zamani, nadhani mtakuwa mnaifahamu hii ID vizuri.
Kwa wale tuliofanikiwa kusafiri pamoja kuelekea Tarangire kipindi kile, niwape pole sana kwa msiba huu.
Member mwenzetu PakaJimmy atakuja kutupa habari kamili kama alivyozipokea.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
Apumzike kwa aman......Amen
Prishaz.....@Lily Flower@mwanajamiione@Sahara Voice@Ncha@Derimto@Maxence Melo@Geoff@Asprin@Kaizer
Poleni sana wana Arushawing.....

Tuko pamoja katika wakati huu wa majonzi.
 
Back
Top Bottom