Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

"Nilimpigia Simu Rais Mstaafu Kikwete na kumwambia nataka kurudi Tanzania nae ( Kikwete ) akaniuliza nipo na nani na nataka Kurudi lini nikamjibu nae ( Kikwete ) akaniambia nisubiri waweke mambo sawa na nitarejea tu"

Akina GENTAMYCINE Kutwa tena kwa Kujiamini na kuwa na Uhakika kuwa Mstaafu Kikwete ana Nguvu katika Utawala wa Rais Samia na Rais Samia hapinduki ( hana Kauli ) kwa Kikwete na kwamba Kikwete bado ni Rais ( japo Kivuli ) huwa mnakataa na Kubisha.

Rais ni Samia kwanini Wewe umpigie Simu Rais Mstaafu Kikwete? Kama Lema kwa Kusema haya unadhani Umempaisha Kikwete basi ndiyo Umeharibu zaidi na Kututhibitishia kuwa Tanzania ya sasa Kikwete ndiyo mwenye Maamuzi ya Mwisho na wengine ni Ceremonial Presidents tu.
Huu ni uchonganishi mura. Kwetu huko hatujazoea kubadilisha badilisha maneno mughaka .

Kumpigia acting president simu na kuongea nae direct si kazi rahisi mura. Lazima upitie ama kwa wasaidizi wake au watu anaowaheshimu na kumfikia kwa haraka. Na hapa ndipo Rais mstaafu JK anapoangukia. So usimchonganishe Lema na msaada muhimu ktk maisha yake.

Kikubwa awamu ya tano ilikuwa ya watesi sana kwa watu wa itikadi tofauti. Nayo imeondolewa na Mungu bila magomvi
 
Pole,kanywe maji mengi bro.

Ila ukweli unabaki palepale.kwani Kikwete ni shetani ama!.Si rais mstaafu.

Pooooole,Kama unaipenda CCM vya nini kutupigia kelele.ni walewale kasoro ni namba za viatu.

Komaeni sana na richama Hilo,so hatutaki kelele.
Nonsensical.
 
Mkuu Genta, Mzee wa hizi kazi.. Kiongozi kabisa! Aisee tuongee mpira bhana, kama ni siasa basi za Rwanda.
 
"Nilimpigia Simu Rais Mstaafu Kikwete na kumwambia nataka kurudi Tanzania nae ( Kikwete ) akaniuliza nipo na nani na nataka Kurudi lini nikamjibu nae ( Kikwete ) akaniambia nisubiri waweke mambo sawa na nitarejea tu"

Akina GENTAMYCINE Kutwa tena kwa Kujiamini na kuwa na Uhakika kuwa Mstaafu Kikwete ana Nguvu katika Utawala wa Rais Samia na Rais Samia hapinduki ( hana Kauli ) kwa Kikwete na kwamba Kikwete bado ni Rais ( japo Kivuli ) huwa mnakataa na Kubisha.

Rais ni Samia kwanini Wewe umpigie Simu Rais Mstaafu Kikwete? Kama Lema kwa Kusema haya unadhani Umempaisha Kikwete basi ndiyo Umeharibu zaidi na Kututhibitishia kuwa Tanzania ya sasa Kikwete ndiyo mwenye Maamuzi ya Mwisho na wengine ni Ceremonial Presidents tu.
Ndio maana kila siku watu wanasema mbona mambo yaliyokuwa yanatokea awamu ya Kikwete yanajirudia vile vile? Hasa mgao wa umeme
 
Kumpata moja kwa moja Rais wa nchi kidogo ni procedure ndefu lakini kupitisha maombi yako fulani kwa Rais mstaafu ni rahisi kwakuwa hayupo busy sana kama Rais aliyeko madarakani.

Hata kuna baadhi ya watu waliokuwa na shida mbalimbali walipitia kwa Mstaafu Mkapa ili awafilishie ujumbe kwa Magufuli.

Sio kwamba Mkapa ndo alikuwa anaongoza nchi lahasha! Bali waliamini kupitia kwa Mkapa ingekuwa rahisi jambo lao kufikiriwa na kufanyiwa kazi.
Mapungufu ya Awali yanahalalishwa na Mapungufu ya sasa au yajayo? Kuna Watu ni Wapuuzi Tanzania hii hadi nawaza kwanini Corona ( Covid-19 ) haikuondoka nanyi.
 
"Nilimpigia Simu Rais Mstaafu Kikwete na kumwambia nataka kurudi Tanzania nae ( Kikwete ) akaniuliza nipo na nani na nataka Kurudi lini nikamjibu nae ( Kikwete ) akaniambia nisubiri waweke mambo sawa na nitarejea tu"

Akina GENTAMYCINE Kutwa tena kwa Kujiamini na kuwa na Uhakika kuwa Mstaafu Kikwete ana Nguvu katika Utawala wa Rais Samia na Rais Samia hapinduki ( hana Kauli ) kwa Kikwete na kwamba Kikwete bado ni Rais ( japo Kivuli ) huwa mnakataa na Kubisha.

Rais ni Samia kwanini Wewe umpigie Simu Rais Mstaafu Kikwete? Kama Lema kwa Kusema haya unadhani Umempaisha Kikwete basi ndiyo Umeharibu zaidi na Kututhibitishia kuwa Tanzania ya sasa Kikwete ndiyo mwenye Maamuzi ya Mwisho na wengine ni Ceremonial Presidents tu.
Ati ceremonial president 😅yawezekana kutokana na Baraza la mawaziri na wote anaowapa vyeo,asilimia kubwa wanalink na msoga,ngoja nitafute koneksheni ya mzee nipate cheo nimechoka kusimamiwa na watu nilowazid kuanzi,elimu,uwezo na experience ya kazi 🙏
 
Back
Top Bottom