Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Mm bodaboda ila nafanya kwa weledi kazi yang na mpaka ss nishajenga na nna bodaboda zang tatu sio kama nyie majobless mnapiga kelele tu humu pumbav zenu ww mtoa mada na huyo lema wako
 
Baada ya Lema kutoa kauli za dharau na dhihaka kwa wananchi wa Arusha, hatimaye wananchi wameibuka na kumuuliza "Amewahi Kuwasaidia nini?" Wapo walioenda mbali na kusema kwamba kwa kuwa yeye anaishi bure Canada, anaanza kuwaletea dharau. Wananchi hao walipandwa na jazba wakati wakihojiwa kuhusu matamshi ya Lema.

Lema aliwatukana wanendesha bodaboda na pia aliwatukana hata watumishi wa Mungu. Amewakanyaga wananchi wa Arusha na watumishi wa Mungu, na yote haya ni sababu ya kutaka sifa na umaarufu, ambavyo hatimaye vimepelekea kumfikia mabaya.

Nimekuwekea video kama ushahidi ili kuonyesha kwamba siyo natunga.

 
Baada ya Lema kutoa kauli za dharau na dhihaka kwa wananchi wa Arusha, hatimaye wananchi wameibuka na kumuuliza "Amewahi Kuwasaidia nini?" Wapo walioenda mbali na kusema kwamba kwa kuwa yeye anaishi bure Canada, anaanza kuwaletea dharau. Wananchi hao walipandwa na jazba wakati wakihojiwa kuhusu matamshi ya Lema.

Lema aliwatukana wanendesha bodaboda na pia aliwatukana hata watumishi wa Mungu. Amewakanyaga wananchi wa Arusha na watumishi wa Mungu, na yote haya ni sababu ya kutaka sifa na umaarufu, ambavyo hatimaye vimepelekea kumfikia mabaya.

Nimekuwekea video kama ushahidi ili kuonyesha kwamba siyo natunga.
View attachment 2535722
Huu ni uzushi wa machawa ya CCM. Lema ni shujaa na tunaimani na kijana huyu 2025 arudishe jimbo la Arusha nyumbani CDM.
 
Huu ni uzushi wa machawa ya ccm. Lema ni shujaa na tunaimani na kijana huyu 2025 arudishe jimbo la Arusha nyumbani CDM.
Lema anataka kila mtu alelewe bure Kama yeye, haiwezekani kamwe. Yeye huwalipa nini wanaomlea?
 
Mbona mnapindisha pindisha sana vitu, Mkwere ndio rais anaeongoza nchi kwa sasa huyo hangaya yeye ni kuambiwa tu mguu pande mguu sawa mbele tembea. Mtu ambae halijui hili atakua ni mpumbavu sio mjinga! Na kwa haya maneno ya Lema , inaonyesha wazi kabisa kua genge la kina mkwere ndio lililopanga kumpeleka mwenda zake haiitaji rocket sayansi kulijua hili. Kama Lema alikua na uwezo wa kumpigia simu mkwere kuongea nae hivi basi ni huyo huyo mkwere ndio aliwaambia akina Lissu na huyo Lema watakavyompeleka mwendazake. Utabiri wa Lema kuhusu Mwendazake na uhakika aliokua nao Lissu kua JPM kawa mwendazake kuanzia March 9,2021 inaonesha kabisa walikua wanapata habari za uhakika za ndani kabisa toka kwa mkwere. I might be wrong but time will tell, You can't fool the people all the time. Nimemkumbuka rais wa Liberia alieuawa Samwel Doe- RIP.
 
Huyo Nabii mgawa pesa za kuzimu asipotubu!!! He will.......soon.
 
Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Ndugu Kenani Kihongosi amesikitishwa na kauli ya Mwanasiasa wa Upinzani Godbless Lema kunanga Vijana na Watanzania waliojiajiri kupitia Bodaboda.


Alichoongea Kihongosi:
Kuna mambo hayawezi kuongelewa na kiongozi ambaye amewahi kuwa analipwa mshahara na serikali. Wewe ukipata neema, Mungu amekupa uwezo hautakiwi kuona wasio na uwezo kama ni watu wasiotaka kufanikiwa.

Lema amezungumza kauli mbaya kusema bodaboda ni kazi ya laana, yeye amekaa Canada huko hatujui nani alikuwa namfuga na kumlisha, "Umekuja leo unaanza kusema hii ni kazi ya laana, sio kauli nzuri". Tuna ndugu zetu wanaendesha familia zao kwa kutumia bodaboda.

Serikali ya awamu ya sita inawathamini bodaboda na bajaj ndio maana imewarasimisha. Mimi nikimuona bodaboda na bajaj simtofautishi na daktari kwa kuwa kila mmoja amejiajiri kwa nafasi yake.
 
Back
Top Bottom