basi nyinyi wezi mna sifa! Wauaji mna sifa!Lema katoa Siri aliyokatazwa asiseme tena akafungulia Sauti kubwa mbele ya mkewe
Lema amepoteza Sifa ya kuwa Kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi nyinyi wezi mna sifa! Wauaji mna sifa!Lema katoa Siri aliyokatazwa asiseme tena akafungulia Sauti kubwa mbele ya mkewe
Lema amepoteza Sifa ya kuwa Kiongozi
Lema hana kifua cha kufichua Siribasi nyinyi wezi mna sifa! Wauaji mna sifa!
Miaka 10 tena kwa Mama Samia.Jana nimemsikiliza Godbless Lema akisema Rais Samia 'ana nidhamu ya demokrasia'. Ni maneno yanayofanana na kile ambacho Mbowe amekuwa akikisema mara zote, ndicho ambacho Lissu anakisema.
Rais Samia Suluhu ni mwanadamu, ana makosa mengi tu.
Lakini hakuna jambo zuri sana kwa nchi kama kuwa na Rais mwenye utu, msikivu na mnyenyekevu. Hivi vyote tunavipata kwa Rais Samia Suluhu.
Nchi iko salama, tumeungana kama Taifa na mambo yote yanaenda kwa uzuri sana.
Tuujenge uchumi wetu, tusaidiane na Rais Samia.
CCM ni wataalam wa kubadilisha maneno.Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Ndugu Kenani Kihongosi amesikitishwa na kauli ya Mwanasiasa wa Upinzani Godbless Lema kunanga Vijana na Watanzania waliojiajiri kupitia Bodaboda.
Duu Basi mkalitazameCCM ni wataalam wa kubadilisha maneno.
Nilikuwepo uwanjani, nilimsikia Lema akiongea kuhusu bodaboda. Concern ya Lema ni kwamba, baada ya muda mfupi, vijana wa bodaboda wataugua maradhi ya kifua.
Sio njema kutumainia kazi ya bodaboda. Serikali ifungue viwanda, serikali iwawezeshe vijana kwenye kilimo. Sio kuwaacha kutegemea Tsh 7000 kwa siku. Huo ndio ulikuwa ushauri wa Lema.
Sasa kwa vile CCM mnawaona Watanzania ni wajinga, mnabadilisha maneno kuwahadaa ambao hawakuwepo kwenye mkutano. Shame on you.... Muda wa kuwahadaa Watanzania umesha pita.
Lema amelaaniwaHuyo Nabii asipotubu!!! He will.......soon.
Lema ni mbarikiwa, huwezi mlaani ulielaaniwa.Lema amelaaniwa
Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Ndugu Kenani Kihongosi amesikitishwa na kauli ya Mwanasiasa wa Upinzani Godbless Lema kunanga Vijana na Watanzania waliojiajiri kupitia Bodaboda.
Matapeli wakubwa...Bravo Nabii LemaBaada ya Lema kutoa kauli za dharau na dhihaka kwa wananchi wa Arusha, hatimaye wananchi wameibuka na kumuuliza "Amewahi Kuwasaidia nini?" Wapo walioenda mbali na kusema kwamba kwa kuwa yeye anaishi bure Canada, anaanza kuwaletea dharau. Wananchi hao walipandwa na jazba wakati wakihojiwa kuhusu matamshi ya Lema.
Lema aliwatukana wanendesha bodaboda na pia aliwatukana hata watumishi wa Mungu. Amewakanyaga wananchi wa Arusha na watumishi wa Mungu, na yote haya ni sababu ya kutaka sifa na umaarufu, ambavyo hatimaye vimepelekea kumfikia mabaya.
Nimekuwekea video kama ushahidi ili kuonyesha kwamba siyo natunga.
View attachment 2535722
Vipi ile migao uliyo kuwa una pewa na Sabaya? Kihongosi kaa kimya usitafute watu wfungue file lako kipindi uko Arusha.Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Ndugu Kenani Kihongosi amesikitishwa na kauli ya Mwanasiasa wa Upinzani Godbless Lema kunanga Vijana na Watanzania waliojiajiri kupitia Bodaboda.
Kama akili ya Viongozi wa vijana ndiyo hii ...... No wonder, nimesikia kuwa vijana waliomaliza Vyuo vikuu waende VETA kujifunza....!!Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa Ndugu Kenani Kihongosi amesikitishwa na kauli ya Mwanasiasa wa Upinzani Godbless Lema kunanga Vijana na Watanzania waliojiajiri kupitia Bodaboda.
Watu wa CCM ni wajinga fullstop yaani wanatakiwa wapanue akili kuhusu ajira boraCCM ni wataalam wa kubadilisha maneno.
Nilikuwepo uwanjani, nilimsikia Lema akiongea kuhusu bodaboda. Concern ya Lema ni kwamba, baada ya muda mfupi, vijana wa bodaboda wataugua maradhi ya kifua.
Sio njema kutumainia kazi ya bodaboda. Serikali ifungue viwanda, serikali iwawezeshe vijana kwenye kilimo. Sio kuwaacha kutegemea Tsh 7000 kwa siku. Huo ndio ulikuwa ushauri wa Lema.
Sasa kwa vile CCM mnawaona Watanzania ni wajinga, mnabadilisha maneno kuwahadaa ambao hawakuwepo kwenye mkutano. Shame on you.... Muda wa kuwahadaa Watanzania umesha pita.
Lema amezoea kulelewa bure na wanaume wenzake Canada, anataka kila mtu aishi hivyo? Wananchi wamekataaMatapeli wakubwa...Bravo Nabii Lema
Upigaji kwenye selikali ya kipenzi chako samiaCheap politics, mbona huongelei upigaji unaoendelea.
Lema ana laana ya asili, anafikiri kila mtu anaweza kulelewa bure au kuwa mwizi wa magariKwa bwan country wide huwa nakuelewa San kwenye mamb fln kiukweli hi kauli ya lema haikubalik kwa namna yoyote ile kudharu na kutweza Kaz na utu wa mtu leo hi lema akiambia ataje watoto au wamam alowasadia yey Hadi kufika vyiuo vikuu hakuna hata mmoja leo hi anakuja kuadharau watu arusha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Wapigaji wamo CCM.Upigaji kwenye selikali ya kipenzi chako samia
Bwana Lema lawama yake ielekezwe kwa ujinga wake wa elimu ndogo aliyonayo kuhuaiana na utajiri mwingi wa nchi zilizo endelea.Godbless Lema amewatukana vijana Waliojiajiri kwa kuwaambia wanafanya kazi za laana, hii suala limeacha simanzi kwa vijana wengi sana.
Jana nilikua Arusha nimezunguka sehemu mbalimbali kuona wamepokeaje kauli hii yenye dharau kubwa sana. Hakika walio wengi wanajuta kwa Nini walienda Kumpokea Lema.
Serikali inapambana usiku na mchana ili vijana wapate ajira na wajiajiri alafu leo lema anakuja kuwatukana?
Lema anapaswa kuomba radhi kwa kauli hii. Yeye kwa kuwa anakula na kulala bure kule canada basi anataka watu wote waishi hivyo kitu ambacho hakiwezekani. Imeandikwa kwenye vitabu takatifu kuwa mwanaume atakula kwa jasho, wewe inakuaje unakula bure alafu unaleta dharau kwa wanaokula kwa jasho?
Lema anapaswa kuomba radhi mara moja kwa kauli hii.