Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Tajiri aliyekuwa akiongoza kwa kukopa bungeni. Sasa hizo hela za migodi na biashara zote alikuwa anapeleka wapi.

Viongozi wa chadema wana story au hiyo migodi yake ilikuwa aitemi.

Lema mtu wa fantasy sana mara hii baada ya kutoka ulaya anashangaa struggle ambazo juzi alikuwa anaona kawaida.

Mtu ambae alikuwa akitaka kumuua kila mara alikuwa anaenda halipo, mara kadhaa Lema alikuwa sehemu ambazo Magufuli yupo atawenzake wakisusia na Magufuli akimwita anaenda mbio kakenua meno yote.

Hila watu wanavipaji vya uongo.

Lissu naona baada ya kuona hawana mpango na kushindana uchaguzi ujao kaone bora asepe awaachie utapeli wao hakina Mbowe, nyonyo anayopata Belgium inatosha kuendesha maisha.
 
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Hajui political climate ikoje...
Watu washachoshwa na siasa za harakati...na kushambuliana ..

Very soon watamchoka
Lkn ndio karud nchini kwa mara ya kwanza je haitakiw kusema madhira waliyopitia? Kusema ukwel uovu uliotaka kufanyiwa ni dhambi? Kwann mchukie watu kusema maumiv waliyopitia? Na kwann yasisemwe? Sheria ya Nchi inakataza? Kuna maumiv gan mnapata wahanga wakisema waliyopitia?
 
Wewe yanakusaidia nini au yanabadilisha nini kwenye hii bei ya mchele iliyopanda
 
Hata akisema nani atamuamini maana anayemtuhumu alishafariki
 
Matusi ya nini?

Wamepewa majukwaa ya siasa, tunategemea hoja za kimaendeleo na si za ubinafsi.

Hivyo basi, LENGO KUU la hoja zao kwenye hiyo mikutano, ni nini hasa?
Vishinikizo walivyopatiwa....waleee wenye gredi gredi , wanyamazishe lile lilioitwa 'vita ya uchumi'
Jiulize sana, nani anaueweza kufaidika na hayo....manake siyo CCM na Wala sio CHADEMA....ila hawana jinsi, lelote watalohitajiwa kulinenea hadharani, litakuwa hivyo. 'Its a Divine intervention' for crying out loud.

Tuombe tu huko nyuma la pazia pa 'Maridhiano' tukasikia wakasameheana.
Wanaweza kuwa wanaingia huko na kutoka na mabaibui 😂

Tutaja ambiwa imebidi kwa sababu za 'usalama wa taifa'? 😂
 

Chadema wanaongea mambo mengi ya msingi, ila huku jukwaani unaletewa hayo ya Magufuli. Na isitoshe Lema anajibu anacholizwa na waongoza vipindi. Ukitaka kujua wanachoongea CDM usisubiri post za huku jukwaani, nenda kawasikilize mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…