Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Bodaboda Sio kazi ni kuangaika,
Hakuna mtu anaenda kutoa sadaka ya shukrani kwa kupata kazi ya bodaboda.
Angalia kinachowapata boda wa Kenya.
 

Attachments

  • 20230304_065213.jpg
    163.7 KB · Views: 1
Hajui political climate ikoje...
Watu washachoshwa na siasa za harakati...na kushambuliana ..

Very soon watamchoka
Huwa nakuona kama mtu unayeandika baada ya kufikiri kumbe sivyo.
Umeambiwa yalikuwa mahojiano sasa unashindwa nini kuelewa? Swali kama linaulizwa kilikupata nini awamu ya tano hadi ukakimbia yeye ajibu nini kama sio kueleza yaliyomsibu ili watu waelewe?
Ndivyo inavyotokea kwa Lissu, mnamuuliza hayo maswali na akijibu mnasema mmechoka kusikia huo si wehu?
Watu wa Chadema wengi wamepita wakati mgumu sana kipindi cha yule Lucifer na masaidizi yake mengine bado yapo hivyo ni vyema ubaya wao ujulikane na watu wote ili laana ile isirudi tena.
 
Bodaboda Sio kazi ni kuangaika,
Hakuna mtu anaenda kutoa sadaka ya shukrani kwa kupata kazi ya bodaboda.
Angalia kinachowapata boda wa Kenya.

Kutoa shukrani ni moyo WA MTU
Wapo Watu ni matajiri wakubwa na hawatoi Sadaka za shukrani.
Na wapo bodaboda wanatoa Sadaka za shukrani aidha Kwa kulindwa Kwa wiki nzima Huko mabarabarani na ajali, kama unavyojua kazi ya bodaboda ni kazi ngumu na hatari Mno.

Moja ya dalili kuwa MTU Fulani anaupeo mdogo WA kufikiri ni kuwa na mtazamo kuwa kazi Fulani ni Bora kuliko kazi Fulani.
Ukishakuwa na mtazamo huo ni wazi kuwa Upeo wako upo Chini Sana.
Hujui Maisha ni Jambo gani
 
Wakichafua hali ya hewa, wanakuja na yale ya kuonewa huruma.
[emoji56][emoji56][emoji56][emoji28]

Aikambe! Baibui tena, kwahiyo hata miziki yake kwenye ndinga ilikuwa ya mimbo ya kimduara duara!

Wacha nijichekeshe
Nyie mnaona ni mambo ya mzaha ndio maana mnakejeli waliyopitia wapambanaji hawa.
Hamna lolote mnaweza kufanya gumu kwa faida ya wengine
 
Mbona hata Mimi Lofa namiliki mgodi? Au unaposikia mgodi unaelewa nini?

Unadhani migodi yote ni kama Barrick?
 
Unaongea kitaarabu nani wa kukuelewa. After all si kila mtu ni mlamba asali. Wengine hutegemea juhudi zao. Acha kujidhalilisha.
 
Lakini mboga mboga hawataki kusikia hayo!!
 
Akili za aina hii zitakuzuiaje kuwa kama yule askari wa Zenji?
Ndani ya CCM kumbe mbaopelekewa moto ni wengi mno!
 
Wewe yanakusaidia nini au yanabadilisha nini kwenye hii bei ya mchele iliyopanda
Punguza akili kuganda!! Kila jambo lina conclusion zake kweny vyombo husika!! Acheni waseme waliyopitia ili nafsi zao ziridhike, mnaumia juu ya wao kusema wengi wenu ni wahusika wa mauaji na utekaji!!
 
Unamuua Mwanadamu mwenzio nawe hauishi milele si ujinga huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…