Wewe angekuwa Mama yako au Baba yako au watoto wako wamepotea hujaona hata makaburi yao ungekubali huo ujinga
Unaongea kwa kuwa hayajagusa familia yako, Watu wanasema msiba ni kwa jirani
Watu lazima watoe uchungu wao wote wa moyoni ndio maana wanasema iundwe Tume ya maridhiano kama yalivyofanyika Rwanda baada ya mauaji ya kimbari
Lazima ukweli usemwe ili yasijirudie tena kwa wajukuu zetu
Tena hii kampeni ilipasa ccm waiendeshe nchi nzima kusema utekaji na kupoteza kwa watu
CCM kama walivyo fanya kwa Ole Sabaya ilipasa wafanye kwa DPP, Paul Makonda, Humprey Pole Pole na Bashiru Ally
Wote Walio husika na kupora Mali za watu, Kuteka, kubaka Yapasa wasemwe hadharani na wachukuliwe hatua kama Sabaya