Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Ndio maana unaambiwa, kinachohitajika ili kupunguza hizo ajali ni elimu, hao madereva wa bodaboda wapewe elimu hasa tukizingatia serikali haina njia nyingine za kuwawezesha kujiajiri, au kuwaajiri.

Kuendelea kulaumu kuhusu uwepo wa ajali za bodaboda, na kuiita kazi ya laana, pasipo kuwa na njia mbadala, nalo ni tatizo kubwa zaidi, au mnataka hao vijana waache bodaboda wakawe panya road, kisha waje wakudhuru mpaka wewe unaewahurumia sana?
 
Aliyesema pikipiki haikuundwa kama chombo cha umma ni Nani?
Watengenezaji.

Pikipiki haijatengenezwa kwa lengo la kuwa chombo cha usafiri wa umma.

Motorbikes are not for passengers

A passenger will affect the handling characteristics of a motorcycle due to the extra weight and independent motion. A passenger tends to move forward in quick stops and may “bump” your helmet with theirs. Starting from a stop may require more throttle and clutch finesse. Braking procedures may be affected.
 
Vikoba ni umasikini.
Vimevunja ndoa nyingi.

Mashamba yameuzwa.
NYumba zimeuzwa.
Fanicha ndio usiseme.
Vp mikopo ya benki hakuna ndoa zilizovunjwa ?
Nyumba zilizouzwa
Fenicha zilizouzwa n.k ?
 
Ukifanya utafiti watu wanaoongoza kwa madeni lazima anacheza kikoba
 
Vicoba nilikuwa navichukia ila kuna kipindi nilipungukiwa sikuamini wife alinipa 3m
 
Unakuta mmama anacheza kikoba halafu hana pesa, ujiulize sasa atazitoa wapi?
 
Rubbish, ualimu ni laana pia kwa tanzania! Finland mwal;imu ana mshahara kuliko al;most kada zote! hapa ni Laana na ndiyo maana walikuwa wanakwenda form 4&6 failures

Teacher Average Salary in Finland 2023

How much money does a Teacher make in Finland?
A person working as a Teacher in Finland typically earns around 3,570 EUR per month. Salaries range from 1,750 EUR (lowest) to 5,570 EUR (highest).
 
Vikoba bila elim ya fedha ni laana. Imagine mtu anakopa Hela badala ya kuzalisha,anaenda kununua sofa,nyumba ya panya.
 
Akili ndogo haiwezi kuelewa positively ilichoongea akili kubwa. Lema analenga kuwamsha msiridhike na maisha hayo bali mdai Serikali iwajengee mazingira ya kupata maisha bora zaidi.
Hii dhana ya kusubiri eti serikali ifanye hiki/ifanye kile ndio inafanya baadhi ya mikoa wanafunzi bado wanakalia mawe darasani badala ya madawati
Hivi tutawezaje kuacha watoto wetu wakalie mawe darasani eti tunasubiri serikali ilete madawati?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…