Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Kuna watu watamsema Lema, ila kiukweli nchi yetu imekuwa ni ya kibaguzi na yenye upendeleo mwingi katika suala zima la ajira na pia elimu.

Watoto wa vigogo wa cha cha mapinduzi na serikali yake, huwezi kuwakuta kwenye shule za kata, na pia kwenye kazi za kawaida kama ualimu, bodaboda, unesi, nk. Wao utawakuta BOT, TRA, NHIF, TPA, PPRA, nk. Yaani ni full viyoyozi, huku wakiwa na uwezo wa kawaida kabisa vichwani mwao.

Hili jambo linahuzunisha sana.
 
Mkuu

Voicer

Ukimsikiliza jamaa KWA makini btn the lines ana hoja nzito kama umejikita kwenye hoja zinazotolewa!!!

Anayosema yana ukweli FULANI lakini je uwezo wa kuuishi ukweli huo wanao!!?hasa Katika dhiki kuu ya Chama Chao!?

Njaa HAINA baunsa mkuu hata kama ni WEWE ungekula tu hata kiujanja ujanja!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…