Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Zitto leo amekuwa shujaa wenu?😂😂😂Huyo anayedaiwa alikua mwizi wa magari atakua na sababu gani zaidi ya kuleta uongo mtupu. Eti alitaka kuwawa na nani. Kwanza hakua tishio lolote kisiasa kwa serikali ya ccm. Na tunamshukuru zitto kwa kutueleza ukweli. Vibaraka hawa walipewa offer na mabeberu wakimbilie nje kama wakimbizi ili kutumika dhidi ya nchi yao. Badala ya kuruhusiwa kupatiwa makaribisho ya kupanga walitakiwa kukamatwa kwa usaliti.
Propaganda mavi.Nyie bodaboda mliokuwa mnajishaua kwenye msafara wa Lema, mmemsikia mtu mliekuwa mnamshobokea?
Bodaboda ni kazi ya laana.Mwenzenu kasharidhika na maisha ya Canada.
Endeleeni na ujinga wenu
Wewe kama huamini, hakika wewe ndiye CHIZI na JUHA HALISI..!!Hv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano..
Muuaji ni kama jambazi. Anaweza kukuua kwa sababu ya sh milioni 1 au kwa sababu ya bilioni 10.Hv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano...
Mkuu unapoteza nguvu bure! Umeona anaitwa nani?Muuaji ni kama jambazi. Anaweza kukuua kwa sababu ya sh milioni 1 au kwa sababu ya bilioni 10.
Ben Sanane, Azory, Kanguye, walikuwa na nini cha pekee hadi awapoteze / awaue? Hao walikuwa ni tishio kubwa kwa utawala waķe?
Hadi wamemtoa bawasiri kudadadeqSabaya ni mfirwa mwanawane
Huko gerezani wahuni wana mpiga mtungo ninavyosikia
Na pia anajinyea sana tu [emoji55][emoji58]
Vimada wa marehemu mna shida sanaNa wengine ndio kisa cha kutokua na imani na samia. Kumtema kijana mzalendo na mwanamapinduzi sabaya na kumfunguliwa mashitaka feki huku akimuachia gaidi mbowe.
Sabaya gerezani na boss wake jehanumYani Lema anapokelewa kifalme Arusha Sabaya yuko Gerezani?
Maisha yanaenda kasi sana tutende wema jamani maisha yetu ni Mafupi.
Hongera sana Rais Samia kwa kutufundisha kwa Vitendo ubinadamu na upendo.
Maisha yako yatakuwa ya amani sana baada ya kumaliza kipindi chako.
Safi sana wacha wahuni wa Kisongo wamfokoeSabaya gerezani na boss wake jehanum
Nani alijua simba atafungwa 3-0 kwa mkapa?Nani alijua Lugemalila atatoka jela?
Nani alijua ATCL inaendeshwa kwa hasara?
Walikuja kujionea mwizi aliye uraianiMmeumia sana leo huyo ndo Nabii Lema
Kwa MTITI wa leo Chugastan chawa na kunguni wamekimbia mji
Wewe endelea kuokwa kama ndafu huko jehanam muuaji mkubwaHv kweli umeishi Canada miaka yote hiyo, Leo unarudi bongo baada ya kazi uliyopata huko ya mkataba kuisha na sasa huna kazi ya kufanya unaitisha mkutano. Unasumbua watu wenye akili zao waache kusaka noti wakasomeshe watoto wao, unatumia masaa 2 kulalamika kuwa ulitaka kuuawa.
Wewe una impact gan had wakuue? Umeona huna agenda ya kuwaaambia wananchi zaidi ya kulalamika kuwa ulitaka kuuawa ili wananchi wakuonee huruma, siasa za kijinga kabisa.
Haya sasa umerudi fanya siasa kaka lema.
Wee nyau unaacha kuwalaani viongozi wako wezi unatafutiza vitu vya kizushi visivyo na tija.Nyie bodaboda mliokuwa mnajishaua kwenye msafara wa Lema, mmemsikia mtu mliekuwa mnamshobokea?
Bodaboda ni kazi ya laana.Mwenzenu kasharidhika na maisha ya Canada.
Endeleeni na ujinga wenu
Nyie bodaboda mliokuwa mnajishaua kwenye msafara wa Lema, mmemsikia mtu mliekuwa mnamshobokea?
Bodaboda ni kazi ya laana.Mwenzenu kasharidhika na maisha ya Canada.
Endeleeni na ujinga wenu
Sukuma gangus ( kubali jpm kafa period)Nani alijua Lugemalila atatoka jela?
Nani alijua ATCL inaendeshwa kwa hasara?