Arusha: Yaliyojiri mapokezi ya Godbless Lema, Adai VICOBA ni umasikini, Mama lishe ni utumwa, Samia asitukanwe, Mbowe ampa kazi ya Katiba Mpya

Kwahiyo wauwaji waliyokuwa wakimfuatilia wakashindwa kumtambua baada ya kuwa anavaa mabaibui?
 
Uwendawazimu huthibitisha na fikra za kiwendawazimu wakati wote, kama hivi unavyofanya.

Bahati mbaya una akili na upeo duni sana. Sidhani hata unastahili (kwa sababu ya uwezo duni mno) kuanzisha mada yoyote hapa JF.

Unashindwa kuelewa hata maana ya camouflage, hata huelewi huwa inafanywa kwa lengo gani!

Hivi kwa fikra zako ukiambiwa kuwa askari au mtu alitoroka au alijibanza mahali na ili maadui wake wasimwone aliamua kuvaa majani, unaelewa nini?

Very unfirtunately you are at the base of low minds people.
 
Ni majambazi. Majuzi hiyo hiyo mbowe alisema alitorokea Kenya kupitia njia za panya akaenda Dubai, alipokamatwa ugaidi akalia kuonewa. Hawa watu sasa tunaona in their true colours. Vyombo vya dola vipo, kosa la jinai halifi, kakiri mwenyewe, kifungo ni miaka 3 na kazi ngumu.
 
Haijalishi kama iliweza kuokoa maisha yake tatizo liko wapi!!?? Hoja za kipuuzi kabisa? Hili nalo linaongeza vipi uchumi wa nchi bwana Kisarawe kama akili haijajaa kamasi!!?

Au una stress za kuachwa??
😂😂😂
 
Kwani unamwonaje Lema ? Si ni mkubwa kuanzia kwa magoti kwenda juu ? Hivi unajua tabia za watu wenye maumbo makubwa kwenda juu kama lema?
 
Hili swali japo bado halijajibiwa na Prof Kitila Mkumbo lakini linafikirisha sana

Watoto wa Viongozi

Mungu wa mbinguni awabariki!
Kitu ambacho mboga mboga hawataki kusikia...
 

Attachments

  • Screenshot_20230305-114032.png
    229.3 KB · Views: 2


Kwani yeye amesema alivaa baibui kwa sababu ipi??-- sababu ya yeye kuvaa baibui iwe ndio msingi wa hoja.
 
Kwani yeye amesema alivaa baibui kwa sababu ipi??-- sababu ya yeye kuvaa baibui iwe ndio msingi wa hoja.
hao wajinga wa uporaji wa kura hupaswi kujibu kwa busara kiongoz unatakiwa uwajibu jiwe kwa jiwe.
 
Ni vzr ungetoa maelezo yote aliyosea kuhusu kuvaa baibui, acha kutengeneza concept yako!!
 
Sisi hatuongei na mbwa, tunaongea na mwenye mbwa. mbowe aliyewashikia akili kakubali, wewe nani Sasa?
wajane wa dikiteta jiandaen kupambana majukwaan maana mme wenu aliyekuwa anawapitisha ameshaoza na msipojiandaa nchi hii itajikuta inavichaa wengi kisa hakuna kubebwa kwenye uchaguz.
 
Kwa hiyo Hakuna shida lema kuvaa baibui na Madera?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…